< Esta 7 >
1 Kwa hiyo mfalme na Hamani wakaenda kausherekea na malkia Esta.
Le roi et Haman vinrent donc au banquet avec la reine Esther.
2 Katika siku ya pili, baada ya kuletwa mvinyo, mfalme akamwambia Esta, “Ni nini haja ya moyo wako? Na nini ombi lako? Hata nusu ya ufalme wangu utapewa.”
Le roi dit encore à Esther, le deuxième jour, au banquet du vin: « Quelle est ta demande, reine Esther? Elle te sera accordée. Quelle est ta requête? Elle sera exécutée jusqu'à la moitié du royaume. »
3 Kisha Malkia amwambia mfalme, kama nimepata kibali machoni pako, na kama ikikupendeza, nipewe maisha yangu, na hili ndio haja ya moyo wangu, na hili pia ni ombi kwa watu wangu pia.
Alors la reine Esther prit la parole et dit: Si j'ai trouvé grâce à tes yeux, ô roi, et si le roi le trouve bon, que ma vie me soit accordée selon ma demande, et mon peuple selon ma requête.
4 Kwa kuwa mimi na watu wangu tumeuzwa, ili tuharibiwe, tuuwawe, na tungamizwe. Kama tungeuzwa utumwani, kama wanaume na wanawake, ningenyamaza kimya, na nisingeweza kumsumbua mfame.”
Car nous sommes vendus, moi et mon peuple, pour être détruits, pour être tués et pour périr. Mais si nous avions été vendus pour des esclaves mâles et femelles, je me serais tu, bien que l'adversaire n'ait pu compenser la perte du roi. »
5 Kisha Mfalme Ahusiero akamwambia malkia Esta, “Ni nani huyo? Ni nani aliyekusudia moyoni mwake kutenda jambo hili?
Alors le roi Assuérus dit à la reine Esther: « Qui est-il, et où est-il, celui qui a osé présumer dans son cœur d'agir ainsi? »
6 Esta akasema, “Ni huyu mwovu Hamani, adui!” Hamani akashikwa na Hofu mbele za mfalme na malkia.
Esther dit: « Un adversaire et un ennemi, même ce méchant Haman! » Alors Haman eut peur devant le roi et la reine.
7 Na kwa ghadhabu mfalme akatoka karamuni katika sehemu ya mvinyo na akaenda katika bustani ya ikulu, Lakini Hamani alibaki akimsihi Malkia Esta ili aokoe maisha yake. Kwa sababu aliona mfalme amemkusudia ubaya.
Le roi, dans sa colère, se leva du banquet de vin et alla dans le jardin du palais. Haman se leva pour demander sa vie à la reine Esther, car il voyait que le roi avait décidé de lui faire du mal.
8 Mfalme akarudi kutoka katika bustani ya ikulu, na kuingia katika chumba ambamo kulikuwamo mvinyo. Hamani alikuwa ameanguka chini ya kochi alilokuwa ameketi Esta. Mfalme akakasirika na kusema, “atamdharirisha malkia mbele zangu katika nyumba yangu?” Mara tu maneno haya yalipotoka kinywani mwa mfalme, watumizhi wakafunika uso wa Hamani.
Alors le roi revint du jardin du palais dans le lieu du banquet du vin, et Haman était tombé sur le divan où se trouvait Esther. Le roi dit alors: « Ira-t-il jusqu'à agresser la reine devant moi, dans la maison? » Comme la parole sortait de la bouche du roi, on couvrit le visage d'Haman.
9 Kisha Habona, mmoja wa watumishi aliye mtumikia mfalme akamwambia mfalme, “Mti wenye urefu wa futi hamsini uko nyumbani kwa Hamani. Ulikuwa umeandaliwa kwa ajili ya Modekai, aliye toa taarifa kuhusu mpango wa kuangamizwa kwako.” Mfalme akesema,”Mtundikeni Hamani juu yake.”
Alors Harbonah, l'un des eunuques qui étaient avec le roi, dit: « Voici que la potence haute de cinquante coudées, qu'Haman a fabriquée pour Mardochée, qui a dit du bien du roi, se trouve à la maison d'Haman. » Le roi a dit: « Pendez-le! »
10 Kwa hiyo wakamtundika Hamani kwenye mti aliuandaa kwa ajili ya Modekai. Na hasira ya mfalme ikatulia.
Et ils pendirent Haman au gibet qu'il avait préparé pour Mardochée. Et la colère du roi fut apaisée.