< Esta 7 >
1 Kwa hiyo mfalme na Hamani wakaenda kausherekea na malkia Esta.
And he went the king and Haman to drink with Esther the queen.
2 Katika siku ya pili, baada ya kuletwa mvinyo, mfalme akamwambia Esta, “Ni nini haja ya moyo wako? Na nini ombi lako? Hata nusu ya ufalme wangu utapewa.”
And he said the king to Esther also on the day second at [the] feast of wine what? [is] petition your O Esther the queen so it may be given to you and what? [is] request your up to half of the kingdom and it may be done.
3 Kisha Malkia amwambia mfalme, kama nimepata kibali machoni pako, na kama ikikupendeza, nipewe maisha yangu, na hili ndio haja ya moyo wangu, na hili pia ni ombi kwa watu wangu pia.
And she answered Esther the queen and she said if I have found favor in view your O king and if [is] on the king good let it be given to me life my for petition my and people my for request my.
4 Kwa kuwa mimi na watu wangu tumeuzwa, ili tuharibiwe, tuuwawe, na tungamizwe. Kama tungeuzwa utumwani, kama wanaume na wanawake, ningenyamaza kimya, na nisingeweza kumsumbua mfame.”
For we have been sold I and people my to annihilate to kill and to destroy and if to male slaves and to female slaves we had been sold I kept quiet for not the distress [is] equal for [the] injury of the king.
5 Kisha Mfalme Ahusiero akamwambia malkia Esta, “Ni nani huyo? Ni nani aliyekusudia moyoni mwake kutenda jambo hili?
And he said the king Ahasuerus and he said to Esther the queen who? [is] he this and where? this [is] he whom it has filled him heart his to do thus.
6 Esta akasema, “Ni huyu mwovu Hamani, adui!” Hamani akashikwa na Hofu mbele za mfalme na malkia.
And she said Esther a man an opponent and an enemy Haman evil this and Haman he was terrified from to before the king and the queen.
7 Na kwa ghadhabu mfalme akatoka karamuni katika sehemu ya mvinyo na akaenda katika bustani ya ikulu, Lakini Hamani alibaki akimsihi Malkia Esta ili aokoe maisha yake. Kwa sababu aliona mfalme amemkusudia ubaya.
And the king he rose up in rage his from [the] feast of wine into [the] garden of the palace and Haman he remained to seek on life his from Esther the queen for he saw that it was determined against him harm from with the king.
8 Mfalme akarudi kutoka katika bustani ya ikulu, na kuingia katika chumba ambamo kulikuwamo mvinyo. Hamani alikuwa ameanguka chini ya kochi alilokuwa ameketi Esta. Mfalme akakasirika na kusema, “atamdharirisha malkia mbele zangu katika nyumba yangu?” Mara tu maneno haya yalipotoka kinywani mwa mfalme, watumizhi wakafunika uso wa Hamani.
And the king he returned from [the] garden of the palace to [the] house of - [the] feast of wine and Haman [was] falling on the couch which Esther [was] on it and he said the king ¿ also to violate the queen with me in the house the word it came out from [the] mouth of the king and [the] face of Haman people covered.
9 Kisha Habona, mmoja wa watumishi aliye mtumikia mfalme akamwambia mfalme, “Mti wenye urefu wa futi hamsini uko nyumbani kwa Hamani. Ulikuwa umeandaliwa kwa ajili ya Modekai, aliye toa taarifa kuhusu mpango wa kuangamizwa kwako.” Mfalme akesema,”Mtundikeni Hamani juu yake.”
And he said Harbona one of the eunuchs before the king also there! the gallows which he has made Haman for Mordecai who he spoke good on the king [is] standing at [the] house of Haman high fifty cubit[s] and he said the king hang him on it.
10 Kwa hiyo wakamtundika Hamani kwenye mti aliuandaa kwa ajili ya Modekai. Na hasira ya mfalme ikatulia.
And they hanged Haman on the gallows which he had prepared for Mordecai and [the] rage of the king it subsided.