< Esta 7 >

1 Kwa hiyo mfalme na Hamani wakaenda kausherekea na malkia Esta.
Kralj i Haman dođoše na gozbu kraljici Esteri.
2 Katika siku ya pili, baada ya kuletwa mvinyo, mfalme akamwambia Esta, “Ni nini haja ya moyo wako? Na nini ombi lako? Hata nusu ya ufalme wangu utapewa.”
I toga drugoga dana, dok se pilo vino, reče kralj Esteri: "Koja ti je molba, kraljice Estero? Bit će ti udovoljena! Koja je tvoja želja? Ako je i pola kraljevstva, bit će ti!"
3 Kisha Malkia amwambia mfalme, kama nimepata kibali machoni pako, na kama ikikupendeza, nipewe maisha yangu, na hili ndio haja ya moyo wangu, na hili pia ni ombi kwa watu wangu pia.
Kraljica Estera odgovori: "Ako sam, kralju, našla milost u tvojim očima i ako ti je s voljom, neka mi se u ime molbe pokloni život, a u ime želje moj narod!
4 Kwa kuwa mimi na watu wangu tumeuzwa, ili tuharibiwe, tuuwawe, na tungamizwe. Kama tungeuzwa utumwani, kama wanaume na wanawake, ningenyamaza kimya, na nisingeweza kumsumbua mfame.”
Jer smo ja i narod moj predani za zator, klanje, uništenje. Da smo predani u roblje, šutjela bih jer nevolja ne bi bila štetna po kralja."
5 Kisha Mfalme Ahusiero akamwambia malkia Esta, “Ni nani huyo? Ni nani aliyekusudia moyoni mwake kutenda jambo hili?
Ali kralj Ahasver upade kraljici Esteri u riječ pa je upita: "Tko je taj? Gdje je taj koji je namislio takvo što učiniti?" Estera tada odgovori: "Progonitelj i neprijatelj jest Haman, ovaj zlikovac!"
6 Esta akasema, “Ni huyu mwovu Hamani, adui!” Hamani akashikwa na Hofu mbele za mfalme na malkia.
Haman se zaprepasti pred kraljem i kraljicom.
7 Na kwa ghadhabu mfalme akatoka karamuni katika sehemu ya mvinyo na akaenda katika bustani ya ikulu, Lakini Hamani alibaki akimsihi Malkia Esta ili aokoe maisha yake. Kwa sababu aliona mfalme amemkusudia ubaya.
Kralj, gnjevan, ostavi vino te ode u vrt palače. Haman osta uz kraljicu da je moli za svoj život, jer je uvidio da je njegova nesreća pred kraljem gotova.
8 Mfalme akarudi kutoka katika bustani ya ikulu, na kuingia katika chumba ambamo kulikuwamo mvinyo. Hamani alikuwa ameanguka chini ya kochi alilokuwa ameketi Esta. Mfalme akakasirika na kusema, “atamdharirisha malkia mbele zangu katika nyumba yangu?” Mara tu maneno haya yalipotoka kinywani mwa mfalme, watumizhi wakafunika uso wa Hamani.
Kralj se vrati iz vrta u dvoranu gdje se pilo vino. Dotle Haman bijaše pao na počivaljku na kojoj se nalazila Estera. "Pokušavaš još i nasilje nad kraljicom, i to u mome vlastitom domu?" - povika kralj. Tek što su te riječi izletjele iz kraljevih usta, pokriše lice Hamanu.
9 Kisha Habona, mmoja wa watumishi aliye mtumikia mfalme akamwambia mfalme, “Mti wenye urefu wa futi hamsini uko nyumbani kwa Hamani. Ulikuwa umeandaliwa kwa ajili ya Modekai, aliye toa taarifa kuhusu mpango wa kuangamizwa kwako.” Mfalme akesema,”Mtundikeni Hamani juu yake.”
Tada kaza Harbona, jedan od dvorana koji su stajali u službi kraljevoj: "Eno i vješala što ih je Haman pripravio za Mordokaja koji je govorio u korist kraljevu. Nalaze se kraj Hamanove kuće i visoka su pedeset lakata." Kralj zapovjedi: "Objesite ga na njih!"
10 Kwa hiyo wakamtundika Hamani kwenye mti aliuandaa kwa ajili ya Modekai. Na hasira ya mfalme ikatulia.
Hamana objesiše na vješala koja bijaše pripravio Mordokaju, i kraljeva se srdžba utiša.

< Esta 7 >