< Esta 5 >

1 Baada ya siku tatu, Esta akajivika mavazi yake ya kimalkia na akasimama sehemu ya ndani ya ua wa ikulu ya mfalme, mbele ya nyumba ya mfalme. mfalme alikuwa ameketi katika kiti chake cha enzi na akitazama mlango wa kuingilia.
Or, le troisième jour, Esther se revêtit de vêtements royaux et se présenta dans le vestibule de la maison du roi, lequel était intérieur, contre la chambre du roi: or il était assis sur son trône, dans la chambre du conseil du palais, contre la porte de la maison.
2 Mfalme alipomwona malkia Esta alipata kibali kwa mfalme. Alimpa fimbo ya dhahabu mikononi mwa Esta. Hivyo Esta akamsogelea mfalme na kuishika fimbo ya utawala.
Et lorsqu’il vit la reine Esther devant lui, elle plut à ses yeux, et il étendit vers elle le sceptre d’or qu’il avait à la main. Esther, s’approchant, baisa le bout de son sceptre.
3 Kisha mfalme akamwambia Malkia Esta, “Unahitaji upewe nini? Ombi lako ni lipi? Hata nusu ya ufalme wangu utapewa.”
Et le roi lui dit: Que voulez-vous, reine Esther? Quelle est votre demande? Quand vous me demanderiez la moitié de mon royaume, elle vous serait donnée.
4 Malkia Esta akamwambia mfalme, kama nimepata kibali machoni pako, naomba wewe na Hamani muhudhurie leo katika karamu niliyoiandaa kwa ajili yake.”
Mais elle répondit: S’il plaît au roi, je vous conjure de venir, et Aman avec vous, au festin que j’ai préparé.
5 Mfalme akasema, “Mleteni haraka Hamani sawa sawa na matakwa ya Malkia Esta.” Mfalme pamoja na Hamani wakahuduria katika karamu aliyoandaa malkia Esta.
Et aussitôt le roi: Appelez vite Aman, dit-il, afin qu’il obéisse à la volonté d’Esther. C’est pourquoi le roi et Aman vinrent au festin que la reine leur avait préparé.
6 Mvinyo ulipohudumiwa katika karamu, mfalme akamuuliza Malkia Esta hitaji lako ni nini? Na ombi lako ni lipi? Utapewa hata nusu ya ufalme.”
Or le roi lui dit, après qu’il eut bu abondamment: Que désirez-vous que je vous donne, et que demandez-vous? Quand vous me demanderiez la moitié de mon royaume, vous l’obtiendriez.
7 Esta akajibu mfalme, “Hitaji na ombi langu ni hili,
Esther lui répondit: Voici ma demande et mes prières:
8 kama ikikupendeza mfalme, kwa kunipa haja yangu na kuheshimu ombi langu, wewe na Hamani muhudhurie tena katika karamu nitakayoiandaa kesho na hapo ndipo nitakapo kuambia haja yangu.
Si j’ai trouvé grâce en présence du roi, et s’il plaît au roi de me donner ce que je demande, et de remplir mon désir, que le roi vienne et Aman au festin que je leur ai préparé, et demain je découvrirai ma volonté au roi.
9 Hamani akaenda nyumbani kwakwe huku akiwa amejawa na furaha moyoni mwake. Lakini alipomwona Modekai katika lango la mfalme, modekai hasimami wala kutetemeka mbele zake, alijawa na ghadhabu kwa ajili ya Modekai.
Aman sortit donc, ce jour-là, joyeux et dispos. Mais, lorsqu’il eut vu Mardochée assis devant la porte du palais, et que non seulement il ne s’était pas levé pour lui, mais qu’une s’était pas même remué de la place où il était assis, il fut fort indigné;
10 Lakini akajizuia na akaenda nyumbani kwake. Akawaarika marafiki zake wakakusanyika pamoja na Zereshi, mkewe.
Et dissimulant sa colère, il retourna à sa maison, et réunit auprès de lui ses amis et Zarès, sa femme.
11 Hamani akawaeleza juu ya utukufu wa mali na idadi ya watoto aliokuwa nao, na vile alivyo juu kuliko wasimamizi na watumishi wote wa mfalme.
Or il leur exposa la grandeur de ses richesses, le grand nombre de ses enfants, et à quelle grande gloire le roi l’avait élevé au-dessus de tous les grands de la cour et de ses serviteurs.
12 Hamani akawambia, “Hata jana Malkia Esta aliandaa karamu kwa ajili ya mfalme na ni mimi tu na mfalme tulio hudhuria katika karamu aliyoiandaa Malkia Esta. Na hata kesho tuna mwaliko mwingine pamoja na mfalme.
Et après cela il dit: La reine Esther aussi n’a appelé nul autre au festin avec le roi, hors moi: et c’est chez elle qu’encore demain je dois dîner avec le roi.
13 Lakini haya yote sio kitu kama Modekai ataendelea kukaa katika lango la mfalme.
Et quoique j’aie tous ces avantages, je crois que je n’ai rien, tant que je verrai Mardochée, le Juif, assis devant la porte du roi.
14 Kisha Zereshi, mkewe Hamani akamwambia Mmewe na rafiki zake wote, “Andaeni mti wenye urefu wa futi hamsini. Na wakati wa ahsubuhi ongea na mfalme ili Modekai atundikwe katika mti huo. Kisha nenda kwa furaha na mfalme katika karamu aliyoiandaa Malkia.
Or Zarès, sa femme, et tous les autres, ses amis, lui dirent: Commande qu’on prépare une potence fort élevée, ayant cinquante coudées de hauteur, et dis dès le matin au roi qu’on y suspende Mardochée, et c’est ainsi que, joyeux, tu iras avec le roi au festin. Ce conseil lui plut, et il commanda qu’on préparât une croix fort élevée.

< Esta 5 >