< Esta 4 >
1 Modeka aliposikia kilichokuwa kimepangwa dhidi yao, alirarua mavazi yake na kuvaa maguni na majivu. Akaenda katikati mwa mji na kulia kwa sauti na uchungu mwingi.
and Mordecai to know [obj] all which to make: do and to tear Mordecai [obj] garment his and to clothe sackcloth and ashes and to come out: come in/on/with midst [the] city and to cry out outcry great: large and bitter
2 Akaenda hadi langoni mwa mfalme; kwa sababu hakuna aliye ruhusiwa kuingia akiwa amevaa magunia.
and to come (in): come till to/for face: before gate [the] king for nothing to/for to come (in): come to(wards) gate [the] king in/on/with clothing sackcloth
3 Amri hii ilipofika katika kila jimbo, kulikuwa na kilio kikubwa kwa Wayahudi, na kufunga, kulia na maombolezo. Wengi wao walilala katika magunia na majivu.
and in/on/with all province and province place which word [the] king and law his to touch mourning great: large to/for Jew and fast and weeping and mourning sackcloth and ashes to lay to/for many
4 Malkia Esta alipopata habari kutoka kwa wahudumu wake, alipatwa na majonzi. Akatuma watu wampelekee nguo Modekai ili avue magunia na kuvaa nguo nzuri, lakini Modekai hakukubali.
(and to come (in): come *Q(k)*) maiden Esther and eunuch her and to tell to/for her and to twist: tremble [the] queen much and to send: depart garment to/for to clothe [obj] Mordecai and to/for to turn aside: remove sackcloth his from upon him and not to receive
5 kisha Esta akamwita Hathaki, mmoja wa wasimamizi wa mfalme, ambaye alikuwa amepewa wajibu wa kumuhudumia. Akamwagiza kwenda kwa Modekai ili afahamu kwa nini Modekai ameamua kufanya hivyo.
and to call: call to Esther to/for Hathach from eunuch [the] king which to stand: appoint to/for face: before her and to command him upon Mordecai to/for to know what? this and upon what? this
6 Hivyo Hathaki akaenda kwa Modekai katika mji mbele ya lango la mfalme.
and to come out: come Hathach to(wards) Mordecai to(wards) street/plaza [the] city which to/for face: before gate [the] king
7 Modekai akamweleza Hathaki mambo yote kuhusu maangamizi ya Wayahudi yaliyo pangwa na kiasi cha fedha ambacho Hamani ameahidi kuwapa wahazini wa mfalme, ili kuwaua Wayahudi.
and to tell to/for him Mordecai [obj] all which to meet him and [obj] declaration [the] silver: money which to say Haman to/for to weigh upon treasury [the] king (in/on/with Jew *Q(k)*) to/for to perish them
8 Na kisha akampa nakala ya mbiu ambayo ilitolewa Shushani kwa uangamivu wa Wayahudi. Alifanya hiivyo ili kwamba Hathaki amwambie Esta achukue jukumu la kwenda na kumuomba mfalme na kumsihi kwa niaba ya Wayahudi.
and [obj] copy writing [the] law which to give: give in/on/with Susa to/for to destroy them to give: give to/for him to/for to see: see [obj] Esther and to/for to tell to/for her and to/for to command upon her to/for to come (in): come to(wards) [the] king to/for be gracious to/for him and to/for to seek from to/for face: before his upon people her
9 Hivyo, Hathaki akaenda na kumweleza Esta kile alicho ambiwa na Modekai.
and to come (in): come Hathach and to tell to/for Esther [obj] word: speaking Mordecai
10 Esta akaongea na Hathaki na akamwambia arudi kwa Modekai.
and to say Esther to/for Hathach and to command him to(wards) Mordecai
11 Esta akamwambia Hathaki, “Watumishi wote wa mfalme na watu wote katika majimbo yote wanafahamu kuwa mtu yeyote aingiae kwa mfalme bila kibali anapaswa kufa isipokuwa yule ambaye mfalme atamunyoshea fimbo yake ya dhahabu. Ni siku thelathini sasa sijaenda mbele ya mfalme.
all servant/slave [the] king and people province [the] king to know which all man and woman which to come (in): come to(wards) [the] king to(wards) [the] court [the] inner which not to call: call to one law his to/for to die to/for alone from whence to extend to/for him [the] king [obj] scepter [the] gold and to live and I not (to call: call to *L(abh)*) to/for to come (in): come to(wards) [the] king this thirty day
12 Hathaki akamwambia Modekai maneno aliyoambiwa na Esta.
and to tell to/for Mordecai [obj] word: speaking Esther
13 Modekai akarudisha ujumbe: “usifikiri kwamba wewe utasalimika kuliko Wayahudi wote.
and to say Mordecai to/for to return: reply to(wards) Esther not to resemble in/on/with soul: myself your to/for to escape house: home [the] king from all [the] Jew
14 Kama ukikaa kimya kwa wakati huu, Mungu ataleta wokovu kwa njia nyingine, lakini wewe na nyumba ya baba yako mtaangamia. Ni nani ajuaye umekuja katika nafasi hii kwa wakati muafaka kama huu.
that if: except if: except be quiet be quiet in/on/with time [the] this space and deliverance to stand: rise to/for Jew from place another and you(f. s.) and house: household father your to perish and who? to know if to/for time like/as this to touch to/for royalty
15 Kisha Esta akatuma ujumbe kwa Modekai,
and to say Esther to/for to return: reply to(wards) Mordecai
16 “Nenda, uwakusanyea Wayahudi wote wanaoishi katika mji wa Shushani, na wafunge kwa ajili yangu. Wasile wala kunywa kwa muda wa siku tatu. Mimi na watumishi watumishi wangu wa kike tutafunga kwa siku hizo. Na kisha nitaenda mbele ya mfalme kinyume cha sheria. Na kama nitakufa na nife.
to go: went to gather [obj] all [the] Jew [the] to find in/on/with Susa and to fast upon me and not to eat and not to drink three day night and day also I and maiden my to fast so and in/on/with so to come (in): come to(wards) [the] king which not like/as law and like/as as which to perish to perish
17 Modekai akaenda na akafanya yote ambayo Esta aliyo mwagiza kufanya.
and to pass Mordecai and to make: do like/as all which to command upon him Esther