< Esta 3 >

1 Baada ya mambo haya, Mfalme Ahusiero alimpandisha cheo Hamani mwana wa Hammedatha mwagagi, na akaweka kiti chake cha ukuu juu ya wakuu wote waliokuwa pamoja naye.
Po tych wydarzeniach król Aswerus uczynił wielkim Hamana, syna Hammedaty, Agagitę, wywyższył go i umieścił jego tron ponad wszystkimi książętami, którzy [byli] przy nim.
2 Na watumishi wote wa mfalme waliokuwa katika lango la mfalme walipaswa kupiga magoti na kusujudia Hamani, kama mfalme alivyoagiza. Lakini Modekai hakupiga magoti wala kusujudu mbele ya Hamani.
A wszyscy słudzy króla, którzy [stali] w bramie królewskiej, klękali przed Hamanem i oddawali mu pokłon. Tak bowiem rozkazał co do niego król. Ale Mardocheusz nie klękał przed nim ani nie oddawał mu pokłonu.
3 Kisha watumishi wa mfalme waliokuwa langoni mwa mfalme walimwambia Modekai, kwa nini hautii amri ya mfalme?
Dlatego też słudzy króla, którzy [stali] w bramie królewskiej, pytali Mardocheusza: Czemu przekraczasz rozkaz króla?
4 Walisema naye siku kwa siku, lakini alikataa kufuata matakwa yao. Hivyo wakaongea na Hamani kuona kama swala la Modekai lingebaki hivyo alikuwa amewataarifu kuwa Modekai alikuwa Muyahudi.
A gdy tak do niego dzień po dniu mówili, a on ich nie słuchał, donieśli [o tym] Hamanowi, aby się przekonać, czy Mardocheusz będzie obstawał przy swoim. Powiedział im bowiem, że jest Żydem.
5 Hamani alipoona kuwa Modekai hapigi magoti wala kumsujudia, alipatwa na hasira.
A gdy Haman zobaczył, że Mardocheusz nie klęka ani nie oddaje mu pokłonu, Haman napełnił się gniewem.
6 Alikuwa na wazo la kumuua Modekai, watumishi wa mfalme walikuwa wamemueleza kuwa Modekai na jamaa zake walikuwa Wayahudi. Hamani akaazimu kuwaangamiza Wayahudi wote, watu wa Modekai, ambao walikuwa katika ufalme wa Ahusiero.
Uważał to za rzecz zbyt łagodną podnieść rękę na samego Mardocheusza, ponieważ doniesiono mu, z jakiego ludu pochodzi Mardocheusz. Szukał więc Haman sposobności, aby wytracić wszystkich Żydów, którzy byli w całym królestwie Aswerusa, to jest lud Mardocheusza.
7 Katika mwezi wa kwanza, (ambao ni mwezi wa Nisani) ndani ya mwaka wa kumi na mbili wa Mfalme Ahusiero, walipiga kura mbele ya Hamani kura kila siku na mwezi, kuchagua siku na mwezi hadi walipochagua mwezi wa kumi na mbili, (mwezi wa Adari.
[Tak więc] w pierwszym miesiącu, w miesiącu Nisan, w dwunastym roku króla Aswerusa, rzucano przed Hamanem Pur, czyli los, od dnia do dnia i od miesiąca do miesiąca, [aż] do dwunastego [miesiąca], to jest miesiąca Adar.
8 Kisha Hamani akamwambia mfalme Ahusiro, “kuna watu fulani katika majimbo yote ya ufalme wako wasiofuata sheria zako. Na kwa tabia yao ya kutofuata sheria zako hawapasi kuendelea kuwa hai.
Potem Haman powiedział do króla Aswerusa: Jest pewien lud rozproszony i rozsypany pomiędzy ludami we wszystkich prowincjach twego królestwa. Jego prawa są inne od [praw] wszystkich ludów, a praw króla nie przestrzega. Dlatego więc nie jest korzystne dla króla tak go pozostawić.
9 Kama ikimpendeza mfalme, toa amri watu hawa wote wakatiliwe mbali, nami nitapima talanta elfu kumi za fedha katika mikono ya wale ambao ni wasimamizi wa maswala ya mfalme, ili kwamba waweke katika hazina ya mfalme.”
Jeśli król uzna to za słuszne, niech zostanie zapisane, że [ten lud] ma być wytracony. A [ja] odważę dziesięć tysięcy talentów srebra do rąk przełożonych nad tą pracą, aby je wnieśli do skarbca królewskiego.
10 Ndipo mfamle akavua pete yake ya muhuri na kumpa Hamani, adui wa Wayahudi.
Wtedy król zdjął pierścień ze swojej ręki i dał go Hamanowi Agagicie, synowi Hammedaty, wrogowi Żydów.
11 Mfalme akamwambia Hamani, “Nitahakikisha kwamba fedha inarudi kwako na kwa watu wako. Ili muitumie kama mpendavyo.”
Król powiedział do Hamana: Przekazuję ci to srebro i ten lud, abyś uczynił z nim, co ci się podoba.
12 Kisha waandishi wa mfalme walikusanyika katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kwanza, na mbiu iliyokuwa na matakwa ya Hamani yalikuwa yameandikwa na kupelekwa kwa wasimamizi wa majimbo, na wale wote waliokuwa juu ya wasimamizi wa majimbo yote, na wasimamizi wa watu, na kwa kila jimbo kwa andiko lao, na kila watu na lugha yao. Mbiu hii ilikuwa imeandikwa kwa jina la mfalme Ahusiero na kupigwa muhuri wa pete yake.
Wezwano więc pisarzy króla w pierwszym miesiącu, dnia trzynastego tego miesiąca, i napisano wszystko tak, jak Haman rozkazał, do satrapów królewskich, do namiestników z każdej prowincji i do dowódców każdego ludu z każdej prowincji według jej pisma i do każdego narodu według jego języka. [Listy] napisano w imieniu króla Aswerusa i opieczętowano [je] sygnetem króla.
13 Barua hizi za kutaka kuwakatilia mbali Wayahudi wote zilizambazwa katika majimbo yote ya Mfalme Ahusiero, kuangamiza, kuua na kuwaharibu Wayahudi wote, tangu mdogo hadi mkubwa, watoto na wanawake, ndani ya siku moja katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili (ambao ni mwezi wa Adari) na kuteka mali zo.
Potem rozesłano je przez gońców do wszystkich prowincji królewskich, aby zgładzono, wymordowano i wytracono wszystkich Żydów, od młodego do starca, dzieci i kobiety, w jeden dzień, mianowicie trzynastego [dnia] dwunastego miesiąca, miesiąca Adar, a ich mienie zagrabiono.
14 Nakala ya ilifanywa kuwa sheria na kupelekwa kila jimbo. Taarifa juu ya maangamizi ya Wayahudi ilienea katika kila jimbo kwamba watu wote wajiandae katika siku hiyo.
A odpis tego pisma [miał być] podany we wszystkich prowincjach, ogłoszony wszystkim ludom, aby były gotowe na ten dzień.
15 Wasambazajia walisambaza agizo la mfalme. Tangazo hili pioa lilitolewa na kusambazwa katika mji wa Shushani. Mfalme alikuwa na Hamani walikaa na kunywa, lakini mji wa Shushani, lakini mjiwa Shushani ulikuwa katika uangamivu.
Gońcy więc wyruszyli przynaglani rozkazem króla, a dekret ogłoszono także w pałacu Suza. A król i Haman zasiedli, aby pić, lecz miasto Suza było zatrwożone.

< Esta 3 >