< Esta 3 >
1 Baada ya mambo haya, Mfalme Ahusiero alimpandisha cheo Hamani mwana wa Hammedatha mwagagi, na akaweka kiti chake cha ukuu juu ya wakuu wote waliokuwa pamoja naye.
Nogen Tid efter gav Kong Ahasverus Agagiten Haman, Hammedatas Søn, en høj Stilling og udmærkede ham og gav ham Forsædet blandt alle Fyrsterne, som var hos ham.
2 Na watumishi wote wa mfalme waliokuwa katika lango la mfalme walipaswa kupiga magoti na kusujudia Hamani, kama mfalme alivyoagiza. Lakini Modekai hakupiga magoti wala kusujudu mbele ya Hamani.
Og alle Kongens Tjenere, som var i Kongens Port, faldt paa Knæ og kastede sig til Jorden for Haman, thi den Ære havde Kongen paabudt at vise ham. Men Mordokaj faldt ikke paa Knæ og kastede sig ikke til Jorden.
3 Kisha watumishi wa mfalme waliokuwa langoni mwa mfalme walimwambia Modekai, kwa nini hautii amri ya mfalme?
Kongens Tjenere, som var i Kongens Port, sagde da til Mordokaj: »Hvorfor overtræder du Kongens Bud?«
4 Walisema naye siku kwa siku, lakini alikataa kufuata matakwa yao. Hivyo wakaongea na Hamani kuona kama swala la Modekai lingebaki hivyo alikuwa amewataarifu kuwa Modekai alikuwa Muyahudi.
Og da de havde sagt det til ham flere Dage i Træk, uden at han ænsede det, meldte de Haman det for at se, om Mordokajs Ord vilde blive taget for gyldige; thi han havde gjort gældende over for dem, at han var Jøde.
5 Hamani alipoona kuwa Modekai hapigi magoti wala kumsujudia, alipatwa na hasira.
Da nu Haman saa, at Mordokaj hverken faldt paa Knæ eller kastede sig til Jorden for ham, blev han saare opbragt.
6 Alikuwa na wazo la kumuua Modekai, watumishi wa mfalme walikuwa wamemueleza kuwa Modekai na jamaa zake walikuwa Wayahudi. Hamani akaazimu kuwaangamiza Wayahudi wote, watu wa Modekai, ambao walikuwa katika ufalme wa Ahusiero.
Og da det blev fortalt ham, hvilket Folk Mordokaj tilhørte, var han ikke tilfreds med kun at lægge Haand paa Mordokaj, men satte sig til Maal at faa alle Jøderne i hele Ahasverus's Rige udryddet, fordi det var Mordokajs Folk.
7 Katika mwezi wa kwanza, (ambao ni mwezi wa Nisani) ndani ya mwaka wa kumi na mbili wa Mfalme Ahusiero, walipiga kura mbele ya Hamani kura kila siku na mwezi, kuchagua siku na mwezi hadi walipochagua mwezi wa kumi na mbili, (mwezi wa Adari.
I den første Maaned, det er Nisan Maaned, i Kong Ahasverus's tolvte Regeringsaar kastede man i Hamans Paasyn Pur, det er Lod, om hver enkelt Dag og hver enkelt Maaned, og Loddet traf den trettende Dag i den tolvte Maaned, det er Adar Maaned.
8 Kisha Hamani akamwambia mfalme Ahusiro, “kuna watu fulani katika majimbo yote ya ufalme wako wasiofuata sheria zako. Na kwa tabia yao ya kutofuata sheria zako hawapasi kuendelea kuwa hai.
Haman sagde derpaa til Kong Ahasverus: »Der findes et Folk, som bor spredt og lever for sig selv iblandt Folkene i alle dit Riges Dele; deres Love er anderledes end alle andre Folks, og Kongens Love holder de ikke. Derfor er det ikke Kongen værdigt at lade dem være i Fred.
9 Kama ikimpendeza mfalme, toa amri watu hawa wote wakatiliwe mbali, nami nitapima talanta elfu kumi za fedha katika mikono ya wale ambao ni wasimamizi wa maswala ya mfalme, ili kwamba waweke katika hazina ya mfalme.”
Hvis Kongen synes, lad der saa udgaa skriftlig Befaling til at udrydde dem; jeg vil da kunne tilveje Embedsmændene 10 000 Talenter Sølv til at lægge i Kongens Skatkamre.«
10 Ndipo mfamle akavua pete yake ya muhuri na kumpa Hamani, adui wa Wayahudi.
Da tog Kongen Seglringen af sin Haand og gav den til Agagiten Haman, Hammedatas Søn, Jødernes Fjende,
11 Mfalme akamwambia Hamani, “Nitahakikisha kwamba fedha inarudi kwako na kwa watu wako. Ili muitumie kama mpendavyo.”
og Kongen sagde til Haman: »Sølvet skal tilhøre dig, og med Folket kan du gøre, hvad du finder for godt!«
12 Kisha waandishi wa mfalme walikusanyika katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kwanza, na mbiu iliyokuwa na matakwa ya Hamani yalikuwa yameandikwa na kupelekwa kwa wasimamizi wa majimbo, na wale wote waliokuwa juu ya wasimamizi wa majimbo yote, na wasimamizi wa watu, na kwa kila jimbo kwa andiko lao, na kila watu na lugha yao. Mbiu hii ilikuwa imeandikwa kwa jina la mfalme Ahusiero na kupigwa muhuri wa pete yake.
Kongens Skrivere blev saa tilkaldt den trettende Dag i den første Maaned; og ganske som Haman bød, affattedes Skrivelser til de kongelige Satraper og Statholdere over hver enkelt Landsdel og til hvert enkelt Folks Fyrster, til hver Landsdel med dens egen Skrift og til hvert Folk paa dets eget Sprog. I Kong Ahasverus's Navn blev de skrevet, og de forsegledes med Kongens Seglring.
13 Barua hizi za kutaka kuwakatilia mbali Wayahudi wote zilizambazwa katika majimbo yote ya Mfalme Ahusiero, kuangamiza, kuua na kuwaharibu Wayahudi wote, tangu mdogo hadi mkubwa, watoto na wanawake, ndani ya siku moja katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili (ambao ni mwezi wa Adari) na kuteka mali zo.
Skrivelser sendtes saa ved Ilbud ud i alle Kongens Lande med Befaling til at udrydde, ihjelslaa og tilintetgøre alle Jøder, unge og gamle, Børn og Kvinder, paa een Dag, den trettende Dag i den tolvte Maaned, det er Adar Maaned, og at prisgive deres Ejendele.
14 Nakala ya ilifanywa kuwa sheria na kupelekwa kila jimbo. Taarifa juu ya maangamizi ya Wayahudi ilienea katika kila jimbo kwamba watu wote wajiandae katika siku hiyo.
En Afskrift af Skrivelsen, der skulde udstedes som Forordning i alle Rigets Dele, blev kundgjort for alle Folkene, for at de kunde være rede til den Dag.
15 Wasambazajia walisambaza agizo la mfalme. Tangazo hili pioa lilitolewa na kusambazwa katika mji wa Shushani. Mfalme alikuwa na Hamani walikaa na kunywa, lakini mji wa Shushani, lakini mjiwa Shushani ulikuwa katika uangamivu.
Ilbudene skyndte sig af Sted paa Kongens Bud, saa snart Forordningen var udgaaet i Borgen Susan. Kongen og Haman satte sig saa til at drikke; men Byen Susan var rædselsslagen.