< Esta 3 >

1 Baada ya mambo haya, Mfalme Ahusiero alimpandisha cheo Hamani mwana wa Hammedatha mwagagi, na akaweka kiti chake cha ukuu juu ya wakuu wote waliokuwa pamoja naye.
Efter disse Tildragelser gjorde Kong Ahasverus Haman, Ham-Medathas Søn, Agagiten, stor og ophøjede ham og satte hans Stol over alle Fyrsters, som vare hos ham.
2 Na watumishi wote wa mfalme waliokuwa katika lango la mfalme walipaswa kupiga magoti na kusujudia Hamani, kama mfalme alivyoagiza. Lakini Modekai hakupiga magoti wala kusujudu mbele ya Hamani.
Og alle Kongens Tjenere, som vare i Kongens Port, knælede og bøjede sig ned for Haman, thi Kongen havde saa budet om ham; men Mardokaj knælede ikke og nedbøjede sig ikke.
3 Kisha watumishi wa mfalme waliokuwa langoni mwa mfalme walimwambia Modekai, kwa nini hautii amri ya mfalme?
Da sagde Kongens Tjenere, som vare i Kongens Port, til Mardokaj: Hvorfor overtræder du Kongens Bud?
4 Walisema naye siku kwa siku, lakini alikataa kufuata matakwa yao. Hivyo wakaongea na Hamani kuona kama swala la Modekai lingebaki hivyo alikuwa amewataarifu kuwa Modekai alikuwa Muyahudi.
Og det skete, der de sagde det daglig til ham, og han hørte dem ikke, da gave de Haman det til Kende for at se, om Mardokajs Ord skulde bestaa; thi han havde tilkendegivet dem, at han var en Jøde.
5 Hamani alipoona kuwa Modekai hapigi magoti wala kumsujudia, alipatwa na hasira.
Der Haman saa, at Mardokaj ikke knælede eller nedbøjede sig for ham, da blev Haman opfyldt med Harme.
6 Alikuwa na wazo la kumuua Modekai, watumishi wa mfalme walikuwa wamemueleza kuwa Modekai na jamaa zake walikuwa Wayahudi. Hamani akaazimu kuwaangamiza Wayahudi wote, watu wa Modekai, ambao walikuwa katika ufalme wa Ahusiero.
Og han fandt det altfor lidet i sine Øjne, at lægge Haand paa Mardokaj alene (thi de havde givet ham til Kende, af hvad Folk Mardokaj var); og Haman søgte at ødelægge alle Jøderne, som vare udi Ahasverus's ganske Rige, Mardokajs Folk.
7 Katika mwezi wa kwanza, (ambao ni mwezi wa Nisani) ndani ya mwaka wa kumi na mbili wa Mfalme Ahusiero, walipiga kura mbele ya Hamani kura kila siku na mwezi, kuchagua siku na mwezi hadi walipochagua mwezi wa kumi na mbili, (mwezi wa Adari.
I den første Maaned, det er Nisan Maaned, i Ahasverus's tolvte Aar, kastede man Pur, det er Lod, for Hamans Ansigt, fra Dag til Dag og fra Maaned til den tolvte Maaned, det er Adar Maaned.
8 Kisha Hamani akamwambia mfalme Ahusiro, “kuna watu fulani katika majimbo yote ya ufalme wako wasiofuata sheria zako. Na kwa tabia yao ya kutofuata sheria zako hawapasi kuendelea kuwa hai.
Og Haman sagde til Kong Ahasverus: Her er et Folk adspredt og fordelt iblandt Folkene i alle dit Riges Landskaber; og deres Love ere anderledes end alt Folkets, de gøre ikke heller efter Kongens Love, derfor er det ikke Kongen nyttigt at lade dem blive i Ro.
9 Kama ikimpendeza mfalme, toa amri watu hawa wote wakatiliwe mbali, nami nitapima talanta elfu kumi za fedha katika mikono ya wale ambao ni wasimamizi wa maswala ya mfalme, ili kwamba waweke katika hazina ya mfalme.”
Dersom det synes godt for Kongen, saa lad der udstedes en Skrivelse om at udrydde dem: Saa vil jeg veje ti Tusinde Centner Sølv i Embedsmændenes Hænder, at de kunne føre dem i Kongens Skatkammer.
10 Ndipo mfamle akavua pete yake ya muhuri na kumpa Hamani, adui wa Wayahudi.
Da tog Kongen sin Ring af sin Haand og gav den til Haman, Ham-Medathas Søn, Agagiten, Jødernes Fjende.
11 Mfalme akamwambia Hamani, “Nitahakikisha kwamba fedha inarudi kwako na kwa watu wako. Ili muitumie kama mpendavyo.”
Og Kongen sagde til Haman: Det Sølv skal være dig skænket, og Folket tillige, at gøre med det, som det synes godt for dine Øjne.
12 Kisha waandishi wa mfalme walikusanyika katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kwanza, na mbiu iliyokuwa na matakwa ya Hamani yalikuwa yameandikwa na kupelekwa kwa wasimamizi wa majimbo, na wale wote waliokuwa juu ya wasimamizi wa majimbo yote, na wasimamizi wa watu, na kwa kila jimbo kwa andiko lao, na kila watu na lugha yao. Mbiu hii ilikuwa imeandikwa kwa jina la mfalme Ahusiero na kupigwa muhuri wa pete yake.
Da bleve Kongens Skrivere kaldte i den første Maaned, paa den trettende Dag i den, og der blev skrevet aldeles, som Haman havde befalet, til Kongens Statholdere og til Landshøvdingerne, som vare over hvert Landskab, og til hvert Folks Øverster, til hvert Landskab efter dets Skrift og til hvert Folk efter dets Tungemaal; i Kong Ahasverus's Navn blev der skrevet og beseglet med Kongens Ring.
13 Barua hizi za kutaka kuwakatilia mbali Wayahudi wote zilizambazwa katika majimbo yote ya Mfalme Ahusiero, kuangamiza, kuua na kuwaharibu Wayahudi wote, tangu mdogo hadi mkubwa, watoto na wanawake, ndani ya siku moja katika siku ya kumi na tatu ya mwezi wa kumi na mbili (ambao ni mwezi wa Adari) na kuteka mali zo.
Og Brevene bleve sendte ved Løbere til alle Kongens Landskaber om at ødelægge, at ihjelslaa og at omkomme alle Jøderne, baade unge og gamle, smaa Børn og Kvinder, paa en Dag, nemlig paa den tolvte Maaneds trettende Dag, det er Adar Maaned, og om at røve Bytte hos dem.
14 Nakala ya ilifanywa kuwa sheria na kupelekwa kila jimbo. Taarifa juu ya maangamizi ya Wayahudi ilienea katika kila jimbo kwamba watu wote wajiandae katika siku hiyo.
En Genpart af Skrivelsen var, at der skulde gives en Lov i alle og ethvert Landskab, at det skal være vitterligt for alle Folk, at de skulde være rede til den Dag.
15 Wasambazajia walisambaza agizo la mfalme. Tangazo hili pioa lilitolewa na kusambazwa katika mji wa Shushani. Mfalme alikuwa na Hamani walikaa na kunywa, lakini mji wa Shushani, lakini mjiwa Shushani ulikuwa katika uangamivu.
Løberne gik ud og skyndte sig efter Kongens Ord, og den Lov blev given i Borgen Susan; og Kongen og Haman sade for at drikke, medens Staden Susan var i Forvirring.

< Esta 3 >