< Esta 2 >

1 Baada ya mambo haya na baada ya hasira ya mfalme Ahusiero kutulia, alifikiri kuhusu Malkia Vashiti na alichokuwa amekifanya na tangazo alilokuwa ameamuru litolewe ya Vashiti kupoteza sifa za kuwa malkia.
Sedan detta skedt var, när Konungens Ahasveros vrede hade saktat sig, kom han Vasthi ihåg, hvad hon gjort hade, och hvad om henne beslutet var.
2 Kisha vijana waliomtumikia mfalme wakasema, mfalme atafutiwemabikira warembo.
Då sade Konungens svenner, som honom tjente: Man söke Konungenom upp dägeliga unga jungfrur;
3 Mfalme na achague wasimamizi katika majimbo yote ya ufalme wake, ili wawakusanye mabikira warembo wote harem katika ikulu ya Susa. Mabikira hawa wawe chini ya usimamizi wa Hegai, msimamizi, ambaye ni mkuu wa wanawake, na wapewe vipodozi vyao vyote.
Och Konungen beställe skådare i all land i sitt rike, att de låta komma tillhopa alla dägeliga unga jungfrur, intill den staden Susan i fruhuset, under Hegai hand, Konungens kamererares, hvilken qvinnorna vakta skulle, och få dem deras skrud;
4 Na binti yule atakaye mfurahisha mfalme ndiye atakaye kuwa Malkia badala ya Vashiti.” Mfalme alupenda ushauri na akafanya kama alivoshauriwa,
Och hvilken pigan Konungenom täckes, den blifve Drottning i Vasthis stad. Det behagade Konungenom, och han gjorde så.
5 Katika mji wa Shushani alikuwepo Myahudi aliyeitwa Modekai mwana wa Jaira mwana wa Shimei mwana wa Kishi, aliye kuwa wa kabila la Benjamini.
Då var en Judisk man i Susans stad, han het Mardechai, Jairs son, Simei sons, Kis sons, Jemini sons;
6 Yeye ni miongoni mwa Wayahudi waliochukuliwa pamoja na Yekonia, mfalme wa Yuda kutoka Yerusalemu na kupelekwa uhamishoni na mfalme Nebukadreza.
Den med bortförd var ifrå Jerusalem, då Jechonia, Juda Konung, bortförd var, hvilken NebucadNezar, Konungen i Babel, bortförde.
7 Modekai alikuwa akimlea, Hadasa, yaani Esta, binti wa mjomba wake kwa sababu hakuwa na wazaai wake wote wawili. Modekai alimchukuwa kama binti yake. Esta alikuwa na umbo zuri na uso wa kupendeza.
Och han var förmyndare till Hadassa, denna är Esther, sins faderbroders dotter; förty hon hade hvarken fader eller moder, och hon var en fager och dägelig piga; och då hennes fader och moder blefvo döde, tog Mardechai henne för sin dotter.
8 Wasichana wengi waliletwa ikulu Shushani, baada ya tangazo na amri ya mfalme kutolewa. Waliwekwa chini ya usimamizi wa Hegai. Esta naye alikuwa ni miongoni mwa wasichana walioletwa na kuwekwa chini ya usimamizi wa Hegai, mwangalizi wa wanawake.
Då Konungens bud och beslut vardt kunnigt, och många pigor voro tillhopahemtade till staden Susan, under Hegai hand, vardt Esther ock tagen uti Konungshuset, under Hegai hand, qvinnovaktarens.
9 Esta alimfurahisha, na akapata kibali mbele ya Hegai. Akampa vipodozi na sehemu ya chakula. Akampa wahudumu wa kike saba kutoka katika ikulu ya mfalme, na akampeleka na wahudumu wa kike katika sehemu bora katika nyumba ya wanawake.
Och pigan täcktes honom, och hon fann barmhertighet för honom; och han skyndade sig med hennes skrud, att han skulle få henne hennes del, och sju dägeliga pigor utaf Konungshuset dertill; och han satte henne med hennes pigor uti bästa rummet i fruhuset.
10 Esta hakuwa amemweleza mtu yeyote kuhusu jamaa zake kwa sababu Modekai alikuwa amemzuia.
Och Esther sade honom intet utaf sitt folk, eller sitt slägte; förty Mardechai hade budit henne, att hon skulle icke sägat.
11 kila siku Modekai alienda na kurudi mbele nje ya ua wa nyumba ya wanawake, ili kwamba asikie kuhusu mambo ya Esta na atakachofanyiwa.
Och Mardechai spatserade hvar dag i gårdenom åt fruhuset, att han måtte förnimma, om väl ginge med Esther, och hvad med henne ske kunde.
12 Zamu ilipofika ya kila msichana kwenda kwa mfalme Ahusero kwa kufuata maelekezo kwa wanawake, kila msichana alitakiwa kumaliza miezi kumi na miwili ya urembo, miezi sita ya mafuta ya manemane na miezi sita ya vipodozi.
Då nu hvarjo pigones bestämda tid kom, att hon skulle komma till Konungen Ahasveros, sedan hon hade varit i tolf månader i fruprydning; förty deras prydelse måste så mycken tid hafva, nämliga sex månader med balsam och myrrham, och sex månader med godt speceri, så voro då qvinnorna tillprydda;
13 wakati msichana alipoenda kwa mfalme, alipewa chochote alichotamani kutoka katika nyumba ya wanawake ili aende nacho katika nyuma ya mfalme.
Och så gick då en piga in till Konungen; och hvilka hon ville, måste man få henne, som med henne gå skulle ifrå fruhuset till Konungshuset.
14 Msichana alipaswa kwenda wakati wa usiku na kurudi katika nyumba ya wanawake, na kwa msimamizi Shaashigazi, msimamizi wa mfalme, ambaye alikuwa mwenye kuwalinda masulia. Msichana hakuruhusiwa kwenda tena kwa mfalme isipokuwa amemfurahiha mfalme na mfalme akaamuru arudi tena.
Och när en om aftonen inkom, gick hon om morgonen ifrå honom in uti det andra fruhuset, under Saasgas hand, Konungens kamererares, frillovaktarens; och hon måste icke komma igen till Konungen, utan Konungenom täcktes, och han lät kalla henne vid namn.
15 Zamu ya Esta ilipotimia( mwana wa Abihaili, mjomba wa Modekai alikuw amemchukua kama kama binti yake) kwenda mbele ya mfalme, hakutaka kitu chochote isipokuwa vile ambavyo Hegai, msimamizi wa wanawake alimtaka avichukue.
Då nu Esthers tid kom, Abihails dotters, Mardechai faderbroders, den henne för dotter tagit hade, att hon skulle komma till Konungen, begärade hon intet annat, än det Hegai, Konungens kamererare, qvinnovaktaren, sade henne före. Och Esther fann nåd för alla dem, som sågo uppå henne.
16 Esta akapata kibali mbele ya kila aliyemwona. Esta akapelekwa kwa Mfalme Ahusiero katika makazi ya kifalme mwezi wa kumi, ambao ni mwezi wa Tabeti, katika mwaka wa saba wa utawala wake.
Men Esther vardt tagen till Konungen Ahasveros, uti Konungshuset, i tionde månadenom, den Thebeth kallas; i sjunde årena hans rikes.
17 Mfalme alimpenda Esta zaidi kuliko wanawake wengine, na alipata kibali kuliko na wema mbele zake zaidi kuliko mabikira wengine na hivyo mfalme akamvika taji ya kimalkia badala ya Vashiti.
Och Konungen fick Esther kär öfver alla qvinnor, och hon fann nåd och barmhertighet för honom, för alla jungfrur; och han satte Drottningakrono uppå hennes hufvud, och gjorde henne till Drottning i Vasthis stad.
18 mfalme akawafanyia karamu kubwa wasimamizi na wahudumu wake wote, karamu ya Esta na akawapa unafuu wa kodi katika majimbo. Pia akawapa zawadi kwa ukarimu.
Och Konungen gjorde ett stort gästabåd, till alla sina Förstar och tjenare; det gästabådet var för Esthers skull; och lät landen hafva rolighet, och gaf ut Konungsliga skänker.
19 Modekai alikuwa ameketi katika lango la mfalme wakati mabikira walipokuwa wamekusanyika kwa mara ya pili.
Och då man annan gång församlade jungfrur, satt Mardechai vid Konungens dörr.
20 Esta alifuata ushauri Modekai ya kutomwambia mtu yeyote kuhusu jamaa zake. aliendelea kufuata ushauri wa Modekai kama alivyofanya alipokuwa mdogo.
Och Esther hade ännu icke sagt sitt slägte, eller folk, såsom Mardechai henne budit hade; ty Esther gjorde efter Mardechai ord, lika som då han hennes förmyndare var.
21 katika siku hizo ambazo Modekai alikuwa ameketi getini kwa mfalme, Bighani na Tereshi, wasimamizi wa mfalme walio linda lando, walikasirika na wakatafuta kumuua mfalme Ahusiero.
På samma tiden, då Mardechai vid Konungens dörr satt, vordo två Konungens kamererare vrede, Bigthan och Theres, som dörrena vaktade, och hade i sinnet, att de ville slå uppå Konungen Ahasveros.
22 Jambo lilipowekwa wazi kwa Modekai, alimtaarifu Malkia Esta na Esta akamweleza kile achoelezwa na Modekai.
Det förnam Mardechai, och lät Drottningena Esther få veta det; och Esther sade det för Konungenom, på Mardechai vägnar.
23 Habari hii ilipepelelezwa na kuonekana kuwa kweli na wanaume wawili walinyongwa juu ya mti. Na habari hii ikaandikwa katika kitabu cha taarifa mbele ya mfalme.
Och då man ransakade derefter, vardt det så funnet; och de vordo både hängde i trän; och det vardt beskrifvet i Chrönicon för Konungenom.

< Esta 2 >