< Esta 2 >

1 Baada ya mambo haya na baada ya hasira ya mfalme Ahusiero kutulia, alifikiri kuhusu Malkia Vashiti na alichokuwa amekifanya na tangazo alilokuwa ameamuru litolewe ya Vashiti kupoteza sifa za kuwa malkia.
И по словесех сих утолися царь от гнева, и не воспомяну ктому Астини, воспоминая, елика глагола и како осуди ея.
2 Kisha vijana waliomtumikia mfalme wakasema, mfalme atafutiwemabikira warembo.
И реша слуги царевы: да изыщутся царю девицы нерастленны, красны зраком, и да поставит царь взыскатели во всех странах царствия своего,
3 Mfalme na achague wasimamizi katika majimbo yote ya ufalme wake, ili wawakusanye mabikira warembo wote harem katika ikulu ya Susa. Mabikira hawa wawe chini ya usimamizi wa Hegai, msimamizi, ambaye ni mkuu wa wanawake, na wapewe vipodozi vyao vyote.
и да изберут отроковиц девственных доброзрачных в Сусы град, в чертог женский, и да отдадутся евнухови цареву стражу жен, и да дадутся масти и прочыя потребы:
4 Na binti yule atakaye mfurahisha mfalme ndiye atakaye kuwa Malkia badala ya Vashiti.” Mfalme alupenda ushauri na akafanya kama alivoshauriwa,
и жена, юже возлюбит царь, да будет царицею вместо Астини. И угодно бе царю слово, и сотвори тако.
5 Katika mji wa Shushani alikuwepo Myahudi aliyeitwa Modekai mwana wa Jaira mwana wa Shimei mwana wa Kishi, aliye kuwa wa kabila la Benjamini.
И муж бе Иудеанин во граде Сусех, и имя ему Мардохей сын Иаиров, сына Семеина, сына Кисеова, от племене Вениаминя,
6 Yeye ni miongoni mwa Wayahudi waliochukuliwa pamoja na Yekonia, mfalme wa Yuda kutoka Yerusalemu na kupelekwa uhamishoni na mfalme Nebukadreza.
иже бяше пленен от Иерусалима Навуходоносором царем Вавилонским:
7 Modekai alikuwa akimlea, Hadasa, yaani Esta, binti wa mjomba wake kwa sababu hakuwa na wazaai wake wote wawili. Modekai alimchukuwa kama binti yake. Esta alikuwa na umbo zuri na uso wa kupendeza.
и бяше ему отроковица воспитана, дщерь Аминадава брата отцу его, и имя ей Есфирь. По преставлении же родителей ея, прия ю Мардохей во дщере место: и бяше девица красна и доброзрачна.
8 Wasichana wengi waliletwa ikulu Shushani, baada ya tangazo na amri ya mfalme kutolewa. Waliwekwa chini ya usimamizi wa Hegai. Esta naye alikuwa ni miongoni mwa wasichana walioletwa na kuwekwa chini ya usimamizi wa Hegai, mwangalizi wa wanawake.
И егда услышано бысть повеление царево, собраны быша девицы многи во град Сусы, под руку Гаиеву, и приведена бысть Есфирь ко Гаию хранителю жен:
9 Esta alimfurahisha, na akapata kibali mbele ya Hegai. Akampa vipodozi na sehemu ya chakula. Akampa wahudumu wa kike saba kutoka katika ikulu ya mfalme, na akampeleka na wahudumu wa kike katika sehemu bora katika nyumba ya wanawake.
и угодна бысть ему отроковица и окрете благодать пред ним: и потщася дати ей масти и участие, и седмь девиц пристави к ней из дому царева, и снабдеваше ю и рабынь ея добре в дому женстем.
10 Esta hakuwa amemweleza mtu yeyote kuhusu jamaa zake kwa sababu Modekai alikuwa amemzuia.
И не поведа Есфирь рода своего, ниже отечества, Мардохей бо заповеда ей не возвещати.
11 kila siku Modekai alienda na kurudi mbele nje ya ua wa nyumba ya wanawake, ili kwamba asikie kuhusu mambo ya Esta na atakachofanyiwa.
На всяк же день хождаше Мардохей по двору женскому, назирая, что Есфири случится.
12 Zamu ilipofika ya kila msichana kwenda kwa mfalme Ahusero kwa kufuata maelekezo kwa wanawake, kila msichana alitakiwa kumaliza miezi kumi na miwili ya urembo, miezi sita ya mafuta ya manemane na miezi sita ya vipodozi.
Сие же бе время девиц входити ко царю, егда исполнятся дванадесять месяцей: тако бо наполняхуся дние украшения, шесть месяц во ароматех и в мастех женских, и шесть месяц намазующяся смирновым елеем,
13 wakati msichana alipoenda kwa mfalme, alipewa chochote alichotamani kutoka katika nyumba ya wanawake ili aende nacho katika nyuma ya mfalme.
и тогда вхождаху ко цареви: и емуже аще речет привести ю, входит с ним купно из дому женскаго даже до дому царева:
14 Msichana alipaswa kwenda wakati wa usiku na kurudi katika nyumba ya wanawake, na kwa msimamizi Shaashigazi, msimamizi wa mfalme, ambaye alikuwa mwenye kuwalinda masulia. Msichana hakuruhusiwa kwenda tena kwa mfalme isipokuwa amemfurahiha mfalme na mfalme akaamuru arudi tena.
на вечер вхождаше и заутра возвращашеся в дом женский вторый, идеже Гай евнух царев хранитель жен, и не вхождаше паки ко царю, аще не будет позвана именем.
15 Zamu ya Esta ilipotimia( mwana wa Abihaili, mjomba wa Modekai alikuw amemchukua kama kama binti yake) kwenda mbele ya mfalme, hakutaka kitu chochote isipokuwa vile ambavyo Hegai, msimamizi wa wanawake alimtaka avichukue.
Егда же исполнися время Есфири дщери Аминадава, брата отца Мардохеова, (иже поял ю себе в дщере место, ) внити ко цареви, ничтоже преступи от сих, яже заповеда ей евнух хранитель жен: бе бо Есфирь обретающая благодать пред всеми зрящими ю.
16 Esta akapata kibali mbele ya kila aliyemwona. Esta akapelekwa kwa Mfalme Ahusiero katika makazi ya kifalme mwezi wa kumi, ambao ni mwezi wa Tabeti, katika mwaka wa saba wa utawala wake.
И вниде Есфирь ко царю Артаксерксу во вторыйнадесять месяц, иже есть Адар, в лето седмое царства его.
17 Mfalme alimpenda Esta zaidi kuliko wanawake wengine, na alipata kibali kuliko na wema mbele zake zaidi kuliko mabikira wengine na hivyo mfalme akamvika taji ya kimalkia badala ya Vashiti.
И возлюби царь Есфирь, и обрете благодать паче всех девиц, и возложи венец женский на главу ея.
18 mfalme akawafanyia karamu kubwa wasimamizi na wahudumu wake wote, karamu ya Esta na akawapa unafuu wa kodi katika majimbo. Pia akawapa zawadi kwa ukarimu.
И сотвори царь пир всем другом своим и силам седмь дний, и вознесе брак Есфирин, и сотвори отраду сущым во царствии его.
19 Modekai alikuwa ameketi katika lango la mfalme wakati mabikira walipokuwa wamekusanyika kwa mara ya pili.
Мардохей же служаше во дворе (цареве).
20 Esta alifuata ushauri Modekai ya kutomwambia mtu yeyote kuhusu jamaa zake. aliendelea kufuata ushauri wa Modekai kama alivyofanya alipokuwa mdogo.
Есфирь же не поведа рода своего, (ни людий своих): сице бо заповеда ей Мардохей боятися Бога и творити заповеди Его, якоже бе с ним, Есфирь же не измени обычая своего.
21 katika siku hizo ambazo Modekai alikuwa ameketi getini kwa mfalme, Bighani na Tereshi, wasimamizi wa mfalme walio linda lando, walikasirika na wakatafuta kumuua mfalme Ahusiero.
И опечалистася два евнуха царева началнейшии стражы тела его, яко предпочтен бысть Мардохей, и искаста убити Артаксеркса царя.
22 Jambo lilipowekwa wazi kwa Modekai, alimtaarifu Malkia Esta na Esta akamweleza kile achoelezwa na Modekai.
И возвестися слово Мардохею, и сказа Есфири: она же поведа царю, яже наветуют.
23 Habari hii ilipepelelezwa na kuonekana kuwa kweli na wanaume wawili walinyongwa juu ya mti. Na habari hii ikaandikwa katika kitabu cha taarifa mbele ya mfalme.
Царь же испыта дву евнуху, (и исповедаста, ) и обеси их. И повеле царь вписати на память в царстей книгохранителнице о благодеянии Мардохеове в похвалу.

< Esta 2 >