< Esta 2 >
1 Baada ya mambo haya na baada ya hasira ya mfalme Ahusiero kutulia, alifikiri kuhusu Malkia Vashiti na alichokuwa amekifanya na tangazo alilokuwa ameamuru litolewe ya Vashiti kupoteza sifa za kuwa malkia.
Poslije tih događaja, kako mu se utiša gnjev, kralj Ahasver sjeti se Vaštije, onoga što je ona učinila i što je bilo odlučeno protiv nje.
2 Kisha vijana waliomtumikia mfalme wakasema, mfalme atafutiwemabikira warembo.
Rekoše tada momci što služahu kralja: "Neka se potraže za kralja mlade djevojke, djevice lijepa izgleda.
3 Mfalme na achague wasimamizi katika majimbo yote ya ufalme wake, ili wawakusanye mabikira warembo wote harem katika ikulu ya Susa. Mabikira hawa wawe chini ya usimamizi wa Hegai, msimamizi, ambaye ni mkuu wa wanawake, na wapewe vipodozi vyao vyote.
Kralj neka odredi u svim pokrajinama svojega kraljevstva povjerenike da mu sakupe sve djevice pristala izgleda u tvrđavi grada Suze, u haremu, pod upravom Hegeja, kraljeva eunuha, čuvara žena. On će se pobrinuti za njihovu njegu.
4 Na binti yule atakaye mfurahisha mfalme ndiye atakaye kuwa Malkia badala ya Vashiti.” Mfalme alupenda ushauri na akafanya kama alivoshauriwa,
Ona djevojka koja se najviše svidi očima kraljevim neka kraljuje umjesto Vaštije." Bijaše to po volji kralju, i on tako uradi.
5 Katika mji wa Shushani alikuwepo Myahudi aliyeitwa Modekai mwana wa Jaira mwana wa Shimei mwana wa Kishi, aliye kuwa wa kabila la Benjamini.
U tvrđavi grada Suze bio je neki Židov koji se zvao Mordokaj, sin Jaira, sina Šimeja, sina Kišova, iz plemena Benjaminova.
6 Yeye ni miongoni mwa Wayahudi waliochukuliwa pamoja na Yekonia, mfalme wa Yuda kutoka Yerusalemu na kupelekwa uhamishoni na mfalme Nebukadreza.
On je bio protjeran iz Jeruzalema među prognanicima koje je babilonski kralj Nabukodonozor odveo zajedno s judejskim kraljem Jekonijom.
7 Modekai alikuwa akimlea, Hadasa, yaani Esta, binti wa mjomba wake kwa sababu hakuwa na wazaai wake wote wawili. Modekai alimchukuwa kama binti yake. Esta alikuwa na umbo zuri na uso wa kupendeza.
On je odgajao Hadasu, to jest Esteru, kćerku strica svoga, jer ona ne imađaše ni oca ni majke. Djevojka je bila pristala i lijepa izgleda. Poslije smrti njezina oca i njezine majke Mordokaj je uze k sebi kao kćerku.
8 Wasichana wengi waliletwa ikulu Shushani, baada ya tangazo na amri ya mfalme kutolewa. Waliwekwa chini ya usimamizi wa Hegai. Esta naye alikuwa ni miongoni mwa wasichana walioletwa na kuwekwa chini ya usimamizi wa Hegai, mwangalizi wa wanawake.
Kako se začu za kraljevu riječ i njegovu naredbu, mnogo se djevojaka sabra u tvrđavi grada Suze pod Hegejevim nadzorom. Tako dovedoše i Esteru u kraljevu palaču, pod nadzor Hegeja, čuvara žena.
9 Esta alimfurahisha, na akapata kibali mbele ya Hegai. Akampa vipodozi na sehemu ya chakula. Akampa wahudumu wa kike saba kutoka katika ikulu ya mfalme, na akampeleka na wahudumu wa kike katika sehemu bora katika nyumba ya wanawake.
Djevojka se svidje njegovim očima, steče ona njegovu naklonost i on se pobrinu za njezino uljepšavanje i uzdržavanje. Uz to joj dade sedam najvrednijih ropkinja kraljevskog dvora i premjesti je, skupa s djevojkama, u najudobnije prostorije harema.
10 Esta hakuwa amemweleza mtu yeyote kuhusu jamaa zake kwa sababu Modekai alikuwa amemzuia.
Estera ne spomenu ni naroda ni obitelji kojoj je pripadala, jer joj Mordokaj bijaše zabranio da to učini.
11 kila siku Modekai alienda na kurudi mbele nje ya ua wa nyumba ya wanawake, ili kwamba asikie kuhusu mambo ya Esta na atakachofanyiwa.
Svakoga je dana Mordokaj šetao pred dvorištem harema da bi doznao kako se Estera osjeća i kako se prema njoj odnose.
12 Zamu ilipofika ya kila msichana kwenda kwa mfalme Ahusero kwa kufuata maelekezo kwa wanawake, kila msichana alitakiwa kumaliza miezi kumi na miwili ya urembo, miezi sita ya mafuta ya manemane na miezi sita ya vipodozi.
Svaka je djevojka morala ući kralju kad je na nju, prema uredbi za žene, došao red, to jest nakon dvanaest mjeseci. Jer tada se završavalo razdoblje njihova uljepšavanja: šest mjeseci uljem iz mirne, a šest mjeseci balzamom i ostalim pomastima za žensku njegu.
13 wakati msichana alipoenda kwa mfalme, alipewa chochote alichotamani kutoka katika nyumba ya wanawake ili aende nacho katika nyuma ya mfalme.
Pa kad bi djevojka ulazila kralju, bilo joj je dopušteno da sa sobom iz harema u kraljevsku palaču ponese sve što bi zatražila.
14 Msichana alipaswa kwenda wakati wa usiku na kurudi katika nyumba ya wanawake, na kwa msimamizi Shaashigazi, msimamizi wa mfalme, ambaye alikuwa mwenye kuwalinda masulia. Msichana hakuruhusiwa kwenda tena kwa mfalme isipokuwa amemfurahiha mfalme na mfalme akaamuru arudi tena.
Ona bi ulazila uvečer, a ujutro bi se vraćala u drugi harem, pod nadzorom Šaašgaza, kraljeva eunuha, čuvara priležnica. Više se ne bi vraćala kralju, osim ako bi je posebno zaželio i dozvao je k sebi poimence.
15 Zamu ya Esta ilipotimia( mwana wa Abihaili, mjomba wa Modekai alikuw amemchukua kama kama binti yake) kwenda mbele ya mfalme, hakutaka kitu chochote isipokuwa vile ambavyo Hegai, msimamizi wa wanawake alimtaka avichukue.
Kada dođe red na Esteru, kćerku Abihajla, koji je bio stric Mordokaja koji ju je bio pokćerio, da uđe kralju, ona ne zatraži ništa osim onoga što joj bijaše rekao Hegej, kraljev eunuh, čuvar žena. Ipak je pobuđivala udivljenje svih koji su je gledali.
16 Esta akapata kibali mbele ya kila aliyemwona. Esta akapelekwa kwa Mfalme Ahusiero katika makazi ya kifalme mwezi wa kumi, ambao ni mwezi wa Tabeti, katika mwaka wa saba wa utawala wake.
Esteru, dakle, uvedoše kralju Ahasveru, u njegovu kraljevsku palaču, u desetom mjesecu, mjesecu Tebetu, sedme godine njegova vladanja.
17 Mfalme alimpenda Esta zaidi kuliko wanawake wengine, na alipata kibali kuliko na wema mbele zake zaidi kuliko mabikira wengine na hivyo mfalme akamvika taji ya kimalkia badala ya Vashiti.
Kralj zavolje Esteru više od svih drugih žena; više nego sve ostale djevice ona mu omilje i predobi ona njegovu naklonost. I položi on na njezinu glavu kraljevsku krunu, pa mjesto Vaštije ona posta kraljicom.
18 mfalme akawafanyia karamu kubwa wasimamizi na wahudumu wake wote, karamu ya Esta na akawapa unafuu wa kodi katika majimbo. Pia akawapa zawadi kwa ukarimu.
Nakon toga priredi kralj u čast Estere veliku gozbu za svoje knezove i službenike; svim pokrajinama odredi odmor i razda darove kraljevski darežljivo.
19 Modekai alikuwa ameketi katika lango la mfalme wakati mabikira walipokuwa wamekusanyika kwa mara ya pili.
Kad su drugi put djevojke bile sakupljene, Mordokaj sjeđaše na vratima kraljevim.
20 Esta alifuata ushauri Modekai ya kutomwambia mtu yeyote kuhusu jamaa zake. aliendelea kufuata ushauri wa Modekai kama alivyofanya alipokuwa mdogo.
Estera ne oda ni naroda ni obitelji iz koje je potjecala, kao što joj Mordokaj bijaše naredio. Estera se i dalje držala svih Mordokajevih uputa kao kad se nalazila pod njegovim skrbništvom.
21 katika siku hizo ambazo Modekai alikuwa ameketi getini kwa mfalme, Bighani na Tereshi, wasimamizi wa mfalme walio linda lando, walikasirika na wakatafuta kumuua mfalme Ahusiero.
U ono vrijeme kad je Mordokaj sjedio na vratima kraljevim, Bigtan i Tereš, dva kraljeva dvoranina, čuvari praga, planuše gnjevom i počeše snovati da podignu ruku na kralja Ahasvera.
22 Jambo lilipowekwa wazi kwa Modekai, alimtaarifu Malkia Esta na Esta akamweleza kile achoelezwa na Modekai.
Za tu njihovu namjeru sazna Mordokaj. On je dojavi kraljici Esteri, a Estera je u Mordokajevo ime saopći kralju.
23 Habari hii ilipepelelezwa na kuonekana kuwa kweli na wanaume wawili walinyongwa juu ya mti. Na habari hii ikaandikwa katika kitabu cha taarifa mbele ya mfalme.
Sve se izvidje i otkri se zavjera, pa obojica budu obješena o stup. To se pred kraljem zapisa u knjizi Ljetopisa.