< Esta 10 >

1 Kisha Mfalme Ahusiero akaweka kodi juu ya nchi na maeneo ya bahari.
And King Ahasuerus laid tribute upon the land, and upon the shores of the sea.
2 Mafanikio yote na nguvu na ukuu wake, pamoja na wa Modekai ambao mfalme alimwinua, yameandikwa katika Kitabu cha Kumbukumbu ya wafalme wa Wamedi na Waajemi.
But, all the acts of his authority, and his might, and the clear story of the promotion of Mordecai, wherewith the king promoted him, are, they, not written in the book of the chronicles of the kings of Media and Persia?
3 Modekai Muyahudi alikuwa wa pili kutoka kwa Mfalme Ahusiero. Alikuwa mkuu na maarufu miongoni mwa ndugu zake Wayahudi, kwa sababu alitetea mahitaji ya watu wake na haki za watu na akatetea amani kwa watu wote.
For, Mordecai the Jew, was next unto King Ahasuerus, and became great among the Jews, and accepted by the multitude of his brethren, —seeking happiness for his people, and speaking peace to all his seed.

< Esta 10 >