< Esta 10 >
1 Kisha Mfalme Ahusiero akaweka kodi juu ya nchi na maeneo ya bahari.
Hina bagade Segesisi ea da hano wayabo bagade bega: fi, amola ea soge huluane ganodini dunu, ilima ha: giwane udigili hawa: hamoma: ne gasa fili sesesu.
2 Mafanikio yote na nguvu na ukuu wake, pamoja na wa Modekai ambao mfalme alimwinua, yameandikwa katika Kitabu cha Kumbukumbu ya wafalme wa Wamedi na Waajemi.
Hina bagade Segesisi ea da gasa bagade hawa: hamosu, amola e da Modigai amo da ouligisu bagade hawa: hamosu hamoma: ne asunasi dagoi. Amo hou huluane da ‘Besia hina bagade amola Midia hina bagade ilia hawa: hamonanu’ meloa dedei, amo ganodini dedene legei diala.
3 Modekai Muyahudi alikuwa wa pili kutoka kwa Mfalme Ahusiero. Alikuwa mkuu na maarufu miongoni mwa ndugu zake Wayahudi, kwa sababu alitetea mahitaji ya watu wake na haki za watu na akatetea amani kwa watu wote.
Yu dunu Modigai da Hina bagade Segesisi ea bagia aligili fawane hawa: hamosu. Modigai ea fi (Yu dunu) da ea hou hahawane ba: su amola ema nodosu. Yu dunu da hahawane ba: ma: ne, amola iligaga fa: no fifi misunu amo da gaga: iwane amola mae beda: iwane esaloma: ne, e da noga: le hawa: hamosu. Sia: ama dagoi