< Esta 1 >

1 Katika siku za utawala wa Ahasuero (huyu ni Ahasuero aliyetawala toka India hadi Ethiopa, zaidi ya majimbo 127),
Pripetilo se je torej v dneh kralja Ahasvérja (to je Ahasvérja, ki je kraljeval od Indije celo do Etiopije, nad sto sedemindvajsetimi provincami),
2 katika siku hizo Mfalme Ahasuero aliketi katika kiti chake cha utawala katika ngome ya Shushani.
da je v tistih dneh, ko je Kralj Ahasvér sedel na prestolu svojega kraljestva, ki je bilo v palači Suze,
3 mwaka wa tatu wa utawala wake aliwaandalia sherehe viongozi na watumwa wake wote. Waliohudhuria katika sherehe hiyo walikuwa wakuu wa jeshi la Uajemi na Umedi, watu wenye vyeo, na viongozi wa majimbo.
v tretjem letu njegovega kraljevanja, priredil gostijo vsem svojim princem in svojim služabnikom; moči Perzije in Medije, plemičem in princem provinc, ki so bili pred njim,
4 Mfalme akaweka wazi utajiri na utukufu wa ufalme wake na heshima ya ukufu wa ukuu alio upata kwa siku nyingi, kwa siku180.
ko jim je mnogo dni kazal bogastva svojega veličastnega kraljestva in čast svojega odličnega veličanstva, celó sto osemdeset dni.
5 Siku hizi zilipotimia, Mfalme aliaandaa karamu iliyodumu kwa siku saba. Karamu hii ilikuwa kwa watu wote walioishi katika ikulu ya Shushani, tangu mkubwa hadi mdogo. Behewa la bustani ya ikulu ya mfalme ndiyo karamu ilipofanyikia.
Ko so ti dnevi minili, je kralj priredil gostijo vsemu ljudstvu, ki je bilo prisotno v palači Suze, tako velikim kakor malim, sedem dni na dvoru vrta kraljeve palače,
6 Behewa la bustani lilipambwa kwa mapazia meupe ya pamba na urujuani, yalifungwa kwa kamba za kitani safi na zambarau, yakiwa yametundikwa kwa pete za fedha na nguzo za marimari. Kulikuwa na makochi ya dhahabu na fedha juu ya sakafu ya marimari, mawe mekundu na meupe, na ya manjano na meusi.
kjer so bile bele, zelene in modre tanke preproge, pritrjene z vrvicami iz tankega lanenega platna in vijolične, k srebrnim obročem in stebrom iz marmorja. Postelje so bile iz zlata in srebra, na tlaku iz rdečega, modrega, belega in črnega marmorja.
7 Vinywaji viliandaliwa katika vikombe vya dhahabu. Na kila kikombe kilikuwa ni cha kipekee na kwa sababu ya ukarimu wa mfalme kulikuwa mvinyo mwingi.
Dajali so jim piti iz zlatih posod (posode so bile različne ena od druge) in kraljevega vina v obilju, glede na kraljevo razkošje.
8 Mfalme aliwambia wahudumu watu wagawiwe vinywaji kwa kila mtu kulingana na matakwa yake. Maana tayari mfalme alikuwa ametoa agizo kwa watumishi wa ikulu kuwafanyia wageni kulingana na matakwa ya kila mgeni.
Pitje je bilo glede na postavo. Nihče ni silil, kajti tako je kralj določil vsem častnikom njegove hiše, da naj storijo glede na užitek vsakega človeka.
9 Wanawake nao walikuwa wamealikwa katika karamu na Malkia Vashiti katika ikulu ya Mfalme Ahusuero.
Prav tako je kraljica Vaští pripravila gostijo za ženske v kraljevi hiši, ki je pripadala Kralju Ahasvérju.
10 katika siku ya saba moyo wa mfalme ulipokuwa na furaha kwa sababu ya mvinyo, aliwaagiza Mehumani, Biztha, Harbona, Bigtha, Abagtha, Zethari na Karkas (hawa saba ndio waliohudumu mbele ya mfalme)
Na sedmi dan, ko je bilo kraljevo srce veselo od vina, je ukazal Mehumánu, Bizetáju, Harbonáju, Bigtáju, Abagtáju, Zetárju in Karkásu, sedmim glavnim dvornim upraviteljem, ki so služili v prisotnosti Kralja Ahasvérja,
11 kumleta Malkia Vashiti akiwa katika mavazi yake ya kimalkia. Akiwa na lengo la kuwaonyesha watu na maakida urembo wake, maana alikuwa mrembo.
da privedejo kraljico Vaští s kraljevo krono pred kralja, da ljudstvu in princem pokaže njeno lepoto, kajti bila je lepa na pogled.
12 Pamoja na maagizo ya Mfalme, Malkia Vashiti alikataa kwenda kama alivyokuwa amewaagiza viongozi wake. Hivyo mfalme akakasirika sana; ghadhabu yake ikawaka ndani yake
Toda kraljica Vaští je odklonila, da pride na kraljevo zapoved po njegovih glavnih dvornih upraviteljih. Zato je bil kralj zelo ogorčen in njegova jeza je gorela v njem.
13 Mfalme akawandea wenye hekima, waliofahamu nyakati (kwa kuwa huu ndio uliokuwa utaratibu wa mfalme kuhusu wale waliokuwa watalaamu wa sheria na hukumu.
Potem je kralj rekel modrim možem, ki so poznali čase (Kajti tak je bil kraljev običaj do vseh teh, ki so poznali postavo in sodbo
14 Carshena, Shethar, Admatha, Tarshish, Meres, Marsena, na Memucan, majimbo saba ya Uajemi na Umedi walikuwa karibu na mfalme na walikuwa na vyeo vikubwa katika ufalme.
in takoj poleg njega so bili Karšenáj, Šetár, Admát, Taršíš, Meres, Marsenáj in Memuhán, sedem princev iz Perzije in Medije, ki so videli kraljevo obličje in ki so prvi sedeli v kraljestvu.)
15 Katika kutafsiri nini kifanyike kwa mjibu wa sheria kutoka na mgomo wa Malkia Vashiti dhidi ya agizo la mfalme Ahusiero kwa Malkia Vashiti.
»Kaj naj storimo kraljici Vaští, glede na postavo, ker po glavnih dvornih upraviteljih ni izpolnila zapovedi Kralja Ahasvérja?«
16 Mmoja wao aliyejulikana kwa jina la Memukani alisema mbele ya Mfalme na mbele ya viongozi, Malkia Vashiti hajamkosea tu mfame na wakuu na watu wote walio katika majimbo ya mfale Ahusiero.
Memuhán je pred kraljem in princi odgovoril: »Kraljica Vaští ni storila narobe samo kralju, temveč tudi vsem princem in vsemu ljudstvu, ki so po vseh provincah Kralja Ahasvérja.
17 kwa kuwa jambo la malkia litafahamika kwa wanawake wote. watawatendea waume zao vibaya. Watasema, 'Mfalme Ahusiero Malkia Vashiti hakumtii mme wake, Mfalme Ahusiero alipotaka ahudhurie mbele yake.'
Kajti to dejanje kraljice bo prišlo povsod do vseh žensk, tako da bodo v svojih očeh prezirale svoje soproge, ko bo to sporočeno: ›Kralj Ahasvér je zapovedal kraljici Vaští, da bi bila privedena predenj, toda ni prišla.‹
18 Kabla ya siku hii wanawake wa wakuu wa Uajemi na Umedi walipata taarifa ya mgomo wa malkia Vashiti watawatendea waume zao, viongozi wa mfalme. kutakuwa na ghasia na nyingi hasira.
Podobno bodo gospe iz Perzije in Medije, ki so slišale o kraljičinem dejanju, ta dan rekle vsem kraljevim princem. Tako bo vstalo preveč zaničevanja in besa.
19 kama ni jambo jema kwa mfalme, ruhusu tangazo litolewe, na iwe katika sheria ya Waajemi na Wamedi, ambao haiwezi kutanguliwa, kwamba Vashiti hatakuja tena mbele za mfalme kama malkia. Nafasi ya Vashiti apewe mwingine ambaye ni bora zaidi ya Vashiti.
Če to ugaja kralju, naj gre od njega kraljeva zapoved in naj bo ta zapisana med postave Perzijcev in Medijcev, da ta ne bo predrugačena: ›Da Vaští ne pride več pred Kralja Ahasvérja. Kralj pa naj njen kraljevi stan izroči drugi, ki je boljša kakor ona.‹
20 Tangazo la mfalme litakapotolewa katika ufalme wote, wanawake wote watawaheshimu waume zao, tangu mwenye cheo hadi asiye na cheo.”
Ko bo kraljevi odlok, ki ga bo izdal, razglašen po vsem njegovem kraljestvu (kajti to je veliko), bodo vse žene dale svojim soprogom spoštovanje, tako malim, kakor velikim.«
21 Ushauri huu ulikuwa mzuri kwa mfalme na wakuu wengine, mfalme akafamya kama Memkani alivyopendekeza.
Govor je ugajal kralju in princem in kralj je storil glede na Memuhánovo besedo.
22 Akatuma barua katika majimbo yote ya mfalme, kwa kilajambo na andiko lake, na watu kwa makabila yao. Aliamuru kwamba kila mme awe msimamizi katika nyumba yake mwenyewe. Tangazo hili lilitolewa katika lungha ya kila mtu katika ufalme.
Kajti poslal je pisma v vse kraljeve province, v vsako provinco glede na njeno pisavo in vsakemu ljudstvu glede na njihov jezik, da bi vsak mož vladal v svoji lastni hiši in da bi bilo to razglašeno glede na jezik vsakega ljudstva.

< Esta 1 >