< Waefeso 1 >
1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, kwa waliotengwa kwa ajili ya Mungu walioko Efeso na ambao ni waaminifu katika Kristo Yesu.
Píšu vám jako Bohem ustanovený apoštol Ježíše Krista.
2 Neema iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
Přeji vám Boží milost a pokoj a chválím Boha za všechno požehnání,
3 Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo apewe sifa. Ni yeye aliyetubariki kwa kila baraka za kiroho, katika mahali pa mbingu ndani ya Kristo.
kterým nás obdařil z toho důvodu, že náležíme Kristu.
4 Kabla ya kuumbwa ulimwengu, Mungu alituchagua sisi ambao tunaamini katika Kristo. Alituchagua sisi ili tuweze kuwa watakatifu na tusiolaumika mbele yake.
Už dávno před stvořením světa rozhodl se Bůh získat si nás prostřednictvím Kristovým, aby z nás učinil své děti a přiznal nám svou dokonalost.
5 Katika pendo Mungu alituchagua mwanzo kwa kututwaa kama watoto wake kwa njia ya Yesu Kristo. Alifanya hivi kwa sababu alipendezwa kufanya kile alichotamani.
Dík Bohu za jeho nekonečnou laskavost, kterou nám prokázal v osobě Ježíšově!
6 Matokeo yake ni kwamba Mungu anatukuzwa kwa neema ya utukufu wake. Hiki ndicho alichotupatia bure kwa njia ya mpendwa wake.
Jeho milost k nám je tak nesmírná,
7 Kwa kuwa katika mpendwa wake, tunaukombozi kupitia damu yake, msamaha wa dhambi. Tunalo hili kwa sababu ya utajiri wa neema yake.
že nám pro jeho oběť odpustil všechno zlé a zachránil nás od jisté smrti.
8 Alifanya neema hii kuwa nyingi kwa ajili yetu katika hekima na ufahamu.
Ve své moudrosti a prozíravosti nám odhalil svůj velkorysý záměr, který po staletí zůstával lidem ukryt,
9 Mungu alifanya ijulikane kwetu ile kweli iliyofichika ya mpango, kutokana na hamu iliyodhihirishwa ndani ya Kristo.
že totiž ve stanovenou dobu pošle svého Syna, aby nás ze všech stran, živé i mrtvé shromáždil navždy k sobě.
10 Wakati nyakati zimetimia kwa utimilifu wa mpango wake, Mungu ataviweka pamoja kila kitu cha mbinguni na cha juu ya nchi ndani ya Kristo.
A tak nás, přesně podle svého rozhodnutí, učinil svým majetkem, abychom ho chválili a oslavovali, kdo jsme svou naději upnuli ke Kristu.
11 Katika Kristo tulikuwa tumechaguliwa na kukusudiwa kabla ya wakati. Hii ilikuwa ni kutokana na mpango wa anayefanya vitu vyote kwa kusudi la mapenzi yake.
Vždyť Kristovou zásluhou jste do tohoto záměru byli zahrnuti i vy,
12 Mungu alifanya hivyo ili kwamba tuweze kuwapo kwa sifa ya utukufu wake. Tulikuwa wa kwanza kuwa na ujasiri ndani ya Kristo.
když jste uslyšeli jeho poselství a uvěřili.
13 Ilikuwa kwa njia ya Kristo kwamba mlisikia neno la kweli, injili ya wokovu wenu kwa njia ya Kristo. Ilikuwa katika yeye pia kwamba mmeamini na kutiwa mhuri na Roho Mtakatifu aliye ahidiwa.
Na důkaz toho vás Bůh poznamenal svou pečetí, totiž Duchem svatým, který byl dávno zaslíben. Jeho přítomnost v nás je zárukou, že Bůh nám skutečně dá všechno, co slíbil.
14 Roho ndiyo dhamana ya urithi wetu mpaka umiliki utakapopatikana. Hii ilikuwa ni kwa sifa ya utukufu wake.
Je to i jakási pečeť, že jsme jeho vlastnictvím a že nás vezme k sobě. Což je možné nechválit a neoslavovat ho za to?
15 Kwa sababu hii, tangu wakati niliposikia kuhusu imani yenu ndani ya Bwana Yesu na kuhusu pendo lenu kwa wale wote ambao wametengwa kwa ajili yake.
Proto také od chvíle, kdy jsem uslyšel o vaší důvěře ke Kristu a o vaší lásce ke všem jeho vyznavačům,
16 Sijaacha kumshukuru Mungu kwa ajili yenu na kuwataja katika maombi yangu.
nepřestal jsem nikdy za vás Bohu děkovat ve svých modlitbách.
17 Ninaomba kwamba Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, baba wa utukufu, atawapeni roho ya hekima, mafunuo ya ufahamu wake.
Prosím ho, aby vám dal plné a jasné pochopení Kristova významu a dosahu jeho díla pro nás.
18 Ninaomba kwamba macho yenu ya moyoni yatiwe nuru kwa ninyi kujua ni upi ujasiri wa kuitwa kwenu. Naomba kwamba mjue utajiri wa utukufu wa urithi wake miongoni mwa wale waliotengwa kwa ajili yake.
Modlím se, aby ve vašem srdci zazářil odlesk slavné budoucnosti, k níž jsme pozváni, abyste si uvědomili, jak fantastického bohatství se stáváte plnoprávnými spolupodílníky.
19 Naomba kwamba ujue ukuu uzidio wa nguvu yake ndani yetu ambao tunaamini. Huu ukuu ni kutokana na kufanya kazi katika nguvu zake.
Vždyť vše, co patří Bohu, je i vaše! A prosím i o to, abyste se přesvědčili, jak neuvěřitelně velká je moc, která ve vás působí.
20 Hii ni nguvu iliyofanya kazi ndani ya Kristo wakati Mungu alipomfufua kutoka kwa wafu na kumketisha katika mkono wake wa kuume katika mahali pa mbingu.
Je to táž moc, která vzkřísila Krista z mrtvých a vyzdvihla ho vysoko nad všechny krále a vlády, velitele i diktátory, až na čestné místo po pravici Boží.
21 Alimketisha Kristo juu mbali na utawala, mamlaka, nguvu, enzi, na kila jina litajwalo. Alimketisha Yesu si tu kwa wakati huu lakini kwa wakati ujao pia. (aiōn )
Jeho sláva nemá obdoby v minulosti ani budoucnosti. (aiōn )
22 Mungu amevitiisha vitu vyote chini ya miguu ya Kristo. Amemfanya yeye kichwa juu ya vitu vyote katika kanisa.
Všechno je mu podřízeno. On je hlavou církve,
23 Ni kanisa kwamba ndilo mwili wake, ukamilifu wake ambaye hujaza vitu vyote katika njia zote.
církev je jeho tělem, naplněná jím samým, původcem a dárcem všeho.