< Waefeso 1 >

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, kwa waliotengwa kwa ajili ya Mungu walioko Efeso na ambao ni waaminifu katika Kristo Yesu.
Khritawa ngsä vaia Pamhnam naw a xü Pawluh üngkhyüh ni — Sitih lü Khritaw Jesuha hnu läkie Epheta veki Pamhnama khyange veia ni.
2 Neema iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
Mi Pa Pamhnam ja Bawi Jesuh Khritaw naw ami bäkhäknak ja dim’yenak ning jah pe se.
3 Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo apewe sifa. Ni yeye aliyetubariki kwa kila baraka za kiroho, katika mahali pa mbingu ndani ya Kristo.
Pamhnam ja Mi Bawi Jesuh Khritawa Pamhnam veia jenak mi mtheh vai u! Khritaw üng mi yüm mata phäh ani naw khankhaw pea ka Ngmüimkhya dawnak naküt mimi üng jah pe lü dawkyanak pi jah peki.
4 Kabla ya kuumbwa ulimwengu, Mungu alituchagua sisi ambao tunaamini katika Kristo. Alituchagua sisi ili tuweze kuwa watakatifu na tusiolaumika mbele yake.
Pamhnam naw khawmdek am a mhnünmceng ham üng mimi cun Khritaw üng xüngsei lü ania hmai maa ngcimcaih lü vecawh vaia a jah xü ni. Isetiakyaküng a mhläkphyanaka phäh ni.
5 Katika pendo Mungu alituchagua mwanzo kwa kututwaa kama watoto wake kwa njia ya Yesu Kristo. Alifanya hivi kwa sababu alipendezwa kufanya kile alichotamani.
Pamhnam cun naw Jesuh Khritaw üngkhyüh a jah ca vaia a mkhyah päng ni, ahin cun ania xenak ja bünaka kyaki ni.
6 Matokeo yake ni kwamba Mungu anatukuzwa kwa neema ya utukufu wake. Hiki ndicho alichotupatia bure kwa njia ya mpendwa wake.
A mhläkphyanaka Cakpa amdanga a jah peta phäh jomahkia a bäkhäknak mi mhlünmtai vai u.
7 Kwa kuwa katika mpendwa wake, tunaukombozi kupitia damu yake, msamaha wa dhambi. Tunalo hili kwa sababu ya utajiri wa neema yake.
Khritawa thia phäh lätnak mi yahki acun cun mi mkhye mhlätnak ni. Pamhnama bäkhäknak hin däm da ve.
8 Alifanya neema hii kuwa nyingi kwa ajili yetu katika hekima na ufahamu.
Acuna bäkhäknak am a mät naw ksingnak ja themnak jah peki.
9 Mungu alifanya ijulikane kwetu ile kweli iliyofichika ya mpango, kutokana na hamu iliyodhihirishwa ndani ya Kristo.
Pamhnam naw i nüm’yanki ti cun pawh lü ngthupki a bü cun Khritaw üngkhyüh kümcei khaia a mkhyah päng cun jah ksingsaki.
10 Wakati nyakati zimetimia kwa utimilifu wa mpango wake, Mungu ataviweka pamoja kila kitu cha mbinguni na cha juu ya nchi ndani ya Kristo.
Ahina bünak cun akcün a pha law üng a küm law käna mce ja khankhawa veki naküt avan Khritaw lua kya lü ania kea jah ta law khai.
11 Katika Kristo tulikuwa tumechaguliwa na kukusudiwa kabla ya wakati. Hii ilikuwa ni kutokana na mpango wa anayefanya vitu vyote kwa kusudi la mapenzi yake.
Anaküt cun Pamhnama nümyan ja a titänga ve lü Pamhnam naw a khyanga kya lü Khritaw am mi yümmat khaia jah xü hin akcük üngkhyüh ania bünak am a mkhyah päng ni.
12 Mungu alifanya hivyo ili kwamba tuweze kuwapo kwa sifa ya utukufu wake. Tulikuwa wa kwanza kuwa na ujasiri ndani ya Kristo.
Khritaw mi na äpei makia mimia phäha, Pamhnama hlüngtainak mi mküimto vaia phäha kyaki.
13 Ilikuwa kwa njia ya Kristo kwamba mlisikia neno la kweli, injili ya wokovu wenu kwa njia ya Kristo. Ilikuwa katika yeye pia kwamba mmeamini na kutiwa mhuri na Roho Mtakatifu aliye ahidiwa.
Nangmi pi ngthu kcang, Thangkdaw nami ngjak naw küikyannak da ning jah lawpüi lü Pamhnama khyanga nami kyaki. Khritaw nami jumei ja Pamhnam naw a ning jah ka tia msingnak cun a ning jah bekhütnaka Ngmüimkhya Ngcim ning jah peki ni.
14 Roho ndiyo dhamana ya urithi wetu mpaka umiliki utakapopatikana. Hii ilikuwa ni kwa sifa ya utukufu wake.
Pamhnam naw a khyange khyütam a jah peta kba mimi naw Ngmüimkhya Ngcim mi yahkie, acun cun Pamhnam naw a jah kümbekia mhlät cun jah ksingsaki. Pamhnam naw mküinak yah se.
15 Kwa sababu hii, tangu wakati niliposikia kuhusu imani yenu ndani ya Bwana Yesu na kuhusu pendo lenu kwa wale wote ambao wametengwa kwa ajili yake.
Acunakyase, Bawi Jesuh nami jum ja khyang ngcime nami ja mhlänak ka ngjak üng,
16 Sijaacha kumshukuru Mungu kwa ajili yenu na kuwataja katika maombi yangu.
nangmia phäha a bäkhäknak anglät se mhlünmtai lü ka ktaiyü üngpi ning jah süm ni.
17 Ninaomba kwamba Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, baba wa utukufu, atawapeni roho ya hekima, mafunuo ya ufahamu wake.
Ka ktaiyünak ta mi Bawipa Jesuh Khritawa Pamhnam, jomahkia Pamhnam naw Ngmüikhya ning jah pe lü acuna Ngmüimkhya naw kthemnak ja amät ksingnak a ning jah pet vaia ni.
18 Ninaomba kwamba macho yenu ya moyoni yatiwe nuru kwa ninyi kujua ni upi ujasiri wa kuitwa kwenu. Naomba kwamba mjue utajiri wa utukufu wa urithi wake miongoni mwa wale waliotengwa kwa ajili yake.
Akvai nami hmuhnak thei vaia nami mlunga nghmawngnak vai Pamhnama veia ka ktaiyüki. A ning jah khünak üng äpeinak i ti cun nami ksingnak vai ja a khyange üng khyütam a jah pet ihlawka müncam phyakia dawkyanak daki ni,
19 Naomba kwamba ujue ukuu uzidio wa nguvu yake ndani yetu ambao tunaamini. Huu ukuu ni kutokana na kufanya kazi katika nguvu zake.
ani mi jumeikia khana a johita khut bi cun ihlawka dämduhki ni. Mi khana khut bikia johit cun ktha mah säihki ni.
20 Hii ni nguvu iliyofanya kazi ndani ya Kristo wakati Mungu alipomfufua kutoka kwa wafu na kumketisha katika mkono wake wa kuume katika mahali pa mbingu.
Acun cun Khritaw thinak üngkhyüh mtho be lü khankhaw pea a khet lama a ngawhsak,
21 Alimketisha Kristo juu mbali na utawala, mamlaka, nguvu, enzi, na kila jina litajwalo. Alimketisha Yesu si tu kwa wakati huu lakini kwa wakati ujao pia. (aiōn g165)
Khritaw naw ngvaie, khankhawa anataknake, johite, bawie naküt, hina khawmdek khan däka am kya velaw khaia khana pi jah upkia kyaki ni. (aiōn g165)
22 Mungu amevitiisha vitu vyote chini ya miguu ya Kristo. Amemfanya yeye kichwa juu ya vitu vyote katika kanisa.
Acunüng Pamhnam naw anaküt, ania khaw kea a tak, anaküta khana lua kya khaia sangcim üng a pet,
23 Ni kanisa kwamba ndilo mwili wake, ukamilifu wake ambaye hujaza vitu vyote katika njia zote.
acun cun ania mtisaa kya lü ani üng kümceiki cun anaküt kümceisaki.

< Waefeso 1 >