< Waefeso 6 >

1 Watoto watiini wazazi wenu katika Bwana, kwa maana hii ni haki.
Mwe vaanha muvalevaghe avapafi viinu mwa Mutwa, Ulwakuuva uvu vwe vwakyang'haani.
2 “Mheshimu baba yako na mama yako” (Maana hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi),
“Umwoghopaghe u Nhaata ghwako nhu mama ghwako” (Ulwakuuva ulu lwe lulaghilo lwa kwasia ulunyalufingo),
3 “ili iwe heri kwenu na muweze kuishi maisha marefu juu ya nchi.”
“ulwakuuti jive kiba kange kulyumue kange munoghele kukukala muvukalo uvutali pa iisi.”
4 Na ninyi akina baba, msiwakwaze watoto na kuwasababishia hasira, badala yake, waleeni katika maonyo na maagizo ya Bwana.
Najumue mwe vanhaata namungavakalasiaghe avaana na pikuvapela ing'alasi, pa uluo, muvalelaghe mu mbulanisio nhi ndaghilo sa Mutua.
5 Enyi watumwa, iweni watiifu kwa mabwana zenu wa hapa duniani kwa heshima kubwa na kutetemeka kwa hofu itokayo mioyoni mwenu. muwe watiifu kwao kama vile mnavyomtii Kristo.
Umue vaakamu, muve vitiki ku vatua viinu ava apa pa iisi kuvwoghopua uvuvaha na kutetema nulu dwesi lino luhuma mu numbula siinu. Mwe viitiki kuvanave ndavule vule mukumwitika u Kilisite.
6 Utii wenu usiwe tu pale mabwana zenu wanapowatazama ili kuwafurahisha. Badala yake, iweni watiifu kama watumwa wa Kristo. Fanyeni Mapenzi ya Mungu kutoka mioyoni mwenu,
Kuleva kulyumue nakungavisaghe pala avatua viinu pano vikuvalola ulwakuuti kuvahovosia. Pa uluo muve vitiki ndavule avakami va Kilisite.
7 watumikieni kwa mioyo yenu yote, kwa kuwa mnamtumikia Bwana na wala si wanadamu,
Muvombaghe uvughane kuhuma mu moojo ghinu ghoni, muvavombelaghe na moojo ghiinu ghooni, ulwakuva mukum'bombela u Mutwa nambe nakwekuuti avaanhu.
8 mnapaswa kujua kwamba katika kila tendo jema mtu analofanya, atapokea zawadi kutoka kwa Bwana, ikiwa ni mtumwa au mtu huru.
munoghile kukagula kuuti mumbombo inofu u muunhu juno ivomba, ikwupila uluvonolo kuhuma kwa Mutwa, nave n'kami nambe umuunhu mwavuke.
9 Na ninyi mabwana fanyeni vivyo hivyo kwa watumwa wenu. Msiwatishe mkijua kwamba yeye aliye Bwana wa wote ni yule aliye mbinguni. Mkijua kuwa hakuna upendeleo ndani yake.
Najumue mamutua muvombaghe vulevule ku vakami viinu. Namungavoghofiaghe mukagula kuuti umwene ghwe Mutwa ghwa vooni ghwe jula juno alikukyanya. Mungakagule kuuti mwevusili uvupendelelo mun'kate mwa mwene.
10 Hatimaye, iweni na nguvu katika Bwana na katika uwezo wa nguvu zake.
Pa uluo, muvisaghe ni ngufu mwa Mutwa ni ngufu sa mwene.
11 Vaeni silaha zote za Mungu, ili kwamba mpate kusimama kinyume na hila za shetani.
Mufwalaghe ifilwilo fyooni ifya Nguluve, ulwkuuti mukagule kukwima lubale nhi giila sa setano.
12 kwa kuwa vita yetu si ya damu na nyama, bali ni dhidi ya falme na mamlaka ya roho na watawala wa ulimwengu wa uovu na giza, dhidi ya pepo katika sehemu za mbingu. (aiōn g165)
Ulwakuva uvulugu vwiitu naje danda nhi nyama, looli vwe vwimila vwa vutua nu vutavulilua vwa mhepo nava temi va iisi ava vuhosi nhi ng'iisi, vwimila vwa lipepo ilya mu iisi. (aiōn g165)
13 Kwa hiyo, vaeni silaha zote za Mungu, ili mpate kusimama imara dhidi ya uovu katika kipindi hiki kiovu. Baada ya kumaliza kila kitu, mtasimama imara.
Pa uluo fwalagha ifilwilo fooni ifya Nguluve, ulwakuuti mwime vunono vwimila vwa vuhosi unsiki ughu ughwa kihoosi. Yetumalile kila kiinu, mukwima vunono.
14 Hatimaye simameni imara. Fanyeni hivi baada ya kuwa mmefunga mkanda katika kweli na haki kifuani.
Pa uluo mwimaghe nu ngufu. Muvombaghe vulevule pano mupinyile ulukova muvwakyang'ana muvulweli mukifuva.
15 Fanyini hivi mkiwa mmevaa utayari miguuni mwenu wa kutangaza injili ya amani.
Muvombaghe vulevule kumo mufwalile muling'anisie mumaghulu ghini ulwa kupulisia ilivangili ilya lukong'ano.
16 Katika kila hali mkichukua ngao ya imani, ambayo itakuwezesha kuizima mishale ya yule mwovu.
Musooni sino pwesile ye mutoolile ingula ija lutengano, jino jikagwile pisimia indibulo sa jula um'biivi.
17 Vaeni kofia ya wokovu na upanga wa Roho, ambayo ni neno la Mungu.
Mufwalaghe ikofili ija vupoki ni bamba ja Mhepo, jino lye lisio lya Nguluve.
18 pamoja na maombi na dua. Ombeni kwa Roho kila wakati. Kwa mtazamo huu iweni waangalifu kila wakati kwa uvumilivu wote na maombi kwa ajili ya waamini wote.
Palikimo ni nyifunyo na pikufunyila. Musumaghe kwa Mhepo amasiki ghoni. Kulola vulevule mulolelelaghe amasiki ghooni nulu gudo lwooni ni suumo vwimila kuvitiki vooni.
19 Ombeni kwa ajili yangu, ili nipewe ujumbe ninapofungua mdomo wangu. Ombeni kwamba nieleweshe kwa ujasiri kweli iliyofichika ihusuyo injili.
Musumaghe vwimila une, ulwakuuti nipelwaghe imhola pano nidindula umulomo ghwango. Musumaghe kuuti nolelelaghe ni ngufu uvwakyang'aani vuno vufisime vuno vulungime kulivangili.
20 Ni kwa ajili ya injili mimi ni balozi niliyefungwa minyororo, ili kwamba ndani mwao niseme kwa ujasiri kama ninavyowiwa kusema.
Vwimila vwa livangili une nilintuni nejuno nikungilue na manyororo, ulwakuuti mun'kate muvanave nijovaghe ni ngufu ndavule nilondilue kujova.
21 Lakini ninyi pia mjue mambo yangu na jinsi ninavyoendelea, Tikiko ndugu yangu kipenzi na mtumishi mwaminifu katika Bwana, atawajulisha kila kitu.
Looli umue mukagulaghe imbombo sango ndavule nighendelela, Tikiko unyalukolo ghwango umughanike um'bombi umfwihu kwa Mutua ikuvavulagha kila kiinu.
22 Nimemtuma kwenu kwa kusudi hili maalumu, ili kwamba mjue mambo kuhusu sisi, aweze kuwafariji mioyo yenu.
Nimwomuile kulyumue ku ulu luno lulungime, ulwakuuti mukagulaghe sooni vwimila usue, akagule pikughanyamasia amoojo ghinu.
23 Amani na iwe kwa ndugu, na upendo pamoja na imani kutoka kwa Mungu baba na Bwana Yesu Kristo.
Ulutengano luvisaghe kuvanyalukolo, nu lughano palikimo nulwitiko kuhuma kwa Nguluve nhaata nu Mutwa Yesu Kilisite ulughano lulalula lino nalufua.
24 Neema na iwe pamoja na wote wanampenda Bwana Yesu Kristo kwa pendo lile lisilo kufa.
Ulusungu luvisaghe na vooni vano vamughanile u Mutwa Yesu Kilisite kulughano lula luno nalufua.

< Waefeso 6 >