< Waefeso 6 >
1 Watoto watiini wazazi wenu katika Bwana, kwa maana hii ni haki.
Дети, повинуйтесь своим родителям в Господе, ибо сего требует справедливость.
2 “Mheshimu baba yako na mama yako” (Maana hii ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi),
Почитай отца твоего и мать, это первая заповедь с обетованием:
3 “ili iwe heri kwenu na muweze kuishi maisha marefu juu ya nchi.”
да будет тебе благо, и будешь долголетен на земле.
4 Na ninyi akina baba, msiwakwaze watoto na kuwasababishia hasira, badala yake, waleeni katika maonyo na maagizo ya Bwana.
И вы, отцы, не раздражайте детей ваших, но воспитывайте их в учении и наставлении Господнем.
5 Enyi watumwa, iweni watiifu kwa mabwana zenu wa hapa duniani kwa heshima kubwa na kutetemeka kwa hofu itokayo mioyoni mwenu. muwe watiifu kwao kama vile mnavyomtii Kristo.
Рабы, повинуйтесь господам своим по плоти со страхом и трепетом, в простоте сердца вашего, как Христу,
6 Utii wenu usiwe tu pale mabwana zenu wanapowatazama ili kuwafurahisha. Badala yake, iweni watiifu kama watumwa wa Kristo. Fanyeni Mapenzi ya Mungu kutoka mioyoni mwenu,
не с видимою только услужливостью, как человекоугодники, но как рабы Христовы, исполняя волю Божию от души,
7 watumikieni kwa mioyo yenu yote, kwa kuwa mnamtumikia Bwana na wala si wanadamu,
служа с усердием, как Господу, а не как человекам,
8 mnapaswa kujua kwamba katika kila tendo jema mtu analofanya, atapokea zawadi kutoka kwa Bwana, ikiwa ni mtumwa au mtu huru.
зная, что каждый получит от Господа по мере добра, которое он сделал, раб ли или свободный.
9 Na ninyi mabwana fanyeni vivyo hivyo kwa watumwa wenu. Msiwatishe mkijua kwamba yeye aliye Bwana wa wote ni yule aliye mbinguni. Mkijua kuwa hakuna upendeleo ndani yake.
И вы, господа, поступайте с ними так же, умеряя строгость, зная, что и над вами самими и над ними есть на небесах Господь, у Которого нет лицеприятия.
10 Hatimaye, iweni na nguvu katika Bwana na katika uwezo wa nguvu zake.
Наконец, братия мои, укрепляйтесь Господом и могуществом силы Его.
11 Vaeni silaha zote za Mungu, ili kwamba mpate kusimama kinyume na hila za shetani.
Облекитесь во всеоружие Божие, чтобы вам можно было стать против козней диавольских,
12 kwa kuwa vita yetu si ya damu na nyama, bali ni dhidi ya falme na mamlaka ya roho na watawala wa ulimwengu wa uovu na giza, dhidi ya pepo katika sehemu za mbingu. (aiōn )
потому что наша брань не против крови и плоти, но против начальств, против властей, против мироправителей тьмы века сего, против духов злобы поднебесных. (aiōn )
13 Kwa hiyo, vaeni silaha zote za Mungu, ili mpate kusimama imara dhidi ya uovu katika kipindi hiki kiovu. Baada ya kumaliza kila kitu, mtasimama imara.
Для сего приимите всеоружие Божие, дабы вы могли противостать в день злый и, все преодолев, устоять.
14 Hatimaye simameni imara. Fanyeni hivi baada ya kuwa mmefunga mkanda katika kweli na haki kifuani.
Итак станьте, препоясав чресла ваши истиною, и облекшись в броню праведности,
15 Fanyini hivi mkiwa mmevaa utayari miguuni mwenu wa kutangaza injili ya amani.
и обув ноги в готовность благовествовать мир;
16 Katika kila hali mkichukua ngao ya imani, ambayo itakuwezesha kuizima mishale ya yule mwovu.
а паче всего возьмите щит веры, которым возможете угасить все раскаленные стрелы лукавого;
17 Vaeni kofia ya wokovu na upanga wa Roho, ambayo ni neno la Mungu.
и шлем спасения возьмите, и меч духовный, который есть Слово Божие.
18 pamoja na maombi na dua. Ombeni kwa Roho kila wakati. Kwa mtazamo huu iweni waangalifu kila wakati kwa uvumilivu wote na maombi kwa ajili ya waamini wote.
Всякою молитвою и прошением молитесь во всякое время духом и старайтесь о сем самом со всяким постоянством и молением о всех святых
19 Ombeni kwa ajili yangu, ili nipewe ujumbe ninapofungua mdomo wangu. Ombeni kwamba nieleweshe kwa ujasiri kweli iliyofichika ihusuyo injili.
и о мне, дабы мне дано было слово - устами моими открыто с дерзновением возвещать тайну благовествования,
20 Ni kwa ajili ya injili mimi ni balozi niliyefungwa minyororo, ili kwamba ndani mwao niseme kwa ujasiri kama ninavyowiwa kusema.
для которого я исполняю посольство в узах, дабы я смело проповедывал, как мне должно.
21 Lakini ninyi pia mjue mambo yangu na jinsi ninavyoendelea, Tikiko ndugu yangu kipenzi na mtumishi mwaminifu katika Bwana, atawajulisha kila kitu.
А дабы и вы знали о моих обстоятельствах и делах, обо всем известит вас Тихик, возлюбленный брат и верный в Господе служитель,
22 Nimemtuma kwenu kwa kusudi hili maalumu, ili kwamba mjue mambo kuhusu sisi, aweze kuwafariji mioyo yenu.
которого я и послал к вам для того самого, чтобы вы узнали о нас и чтобы он утешил сердца ваши.
23 Amani na iwe kwa ndugu, na upendo pamoja na imani kutoka kwa Mungu baba na Bwana Yesu Kristo.
Мир братиям и любовь с верою от Бога Отца и Господа Иисуса Христа.
24 Neema na iwe pamoja na wote wanampenda Bwana Yesu Kristo kwa pendo lile lisilo kufa.
Благодать со всеми, неизменно любящими Господа нашего Иисуса Христа. Аминь