< Waefeso 5 >
1 Kwa hiyo muwe watu wa kumfuata Mungu, kama watoto wake wapendwao.
Sejam portanto imitadores de Deus, como filhos amados.
2 Mtembee katika pendo, vilevile kama Kristo alivyotupenda sisi, alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu. Yeye alikuwa sadaka na dhabihu, kuwa harufu nzuri ya kumfurahisha Mungu.
Caminhem no amor, como Cristo também nos amou e se entregou por nós, uma oferta e um sacrifício a Deus por uma fragrância de cheiro doce.
3 Zinaa au uchafu wowote na tamaa mbaya lazima visitajwe kati yenu, kama inavyotakiwa kwa waaminio,
Mas a imoralidade sexual, e toda imundícia ou cobiça, que nem sequer seja mencionada entre vocês, como se tornem santos;
4 wala machukizo yasitajwe, mazungumzo ya kipumbavu, au mizaha ya udhalilishaji, ambayo siyo sawa, badala yake iwepo shukrani.
nem imundícia, nem conversa tola, nem brincadeira, que não são apropriadas, mas sim agradecimento.
5 Mnaweza kuwa na uhakika ya kwamba kuna zinaa, uchafu, wala atamaniye, huyo nimwabudu sanamu, hana urithi wowote katika ufalme wa Kristo na Mungu.
Saiba isto com certeza, que nenhuma pessoa sexualmente imoral, nem pessoa impura, nem homem cobiçoso (que é um idólatra), tem qualquer herança no Reino de Cristo e Deus.
6 Mtu yote asikudanganye kwa maneno matupu, kwa sababu ya mambo haya hasira ya Mungu inakuja juu ya wana wasiotii.
Que ninguém vos engane com palavras vazias, pois por causa destas coisas a ira de Deus vem sobre os filhos da desobediência.
7 Hivyo usishiriki pamoja nao.
Portanto, não seja participante com eles.
8 Kwa kuwa ninyi mwanzo mlikuwa giza, lakini sasa mmekuwa nuru katika Bwana. Hivyo tembeeni kama watoto wa nuru.
Pois vós outrora éreis trevas, mas agora sois luz no Senhor. Andai como filhos da luz,
9 Kwa kuwa matunda ya nuru yanajumuisha uzuri wote, haki na ukweli.
pois o fruto do Espírito está em toda bondade, justiça e verdade,
10 Tafuta kile kinacho furahisha kwa Bwana.
proving o que é bem agradável ao Senhor.
11 Usiwepo ushiriki katika kazi za giza zisizo na matunda, badala yake ziweke wazi.
não tenham comunhão com os atos infrutíferos das trevas, mas até mesmo os repreendam.
12 Kwa sababu mambo yanayofanywa na wao sirini ni aibu sana hata kuyaelezea.
Pois é uma vergonha até mesmo falar das coisas que são feitas por eles em segredo.
13 Mambo yote, yanapofichuliwa na nuru, huwa wazi,
Mas todas as coisas, quando são reprovadas, são reveladas pela luz, pois tudo o que revela é luz.
14 kwa kuwa Kila kitu kilichofichuliwa kinakuwa nuruni. Hivyo husema hivi, “Amka, wewe uliyelala, na inuka kutoka wafu na Kristo atang'aa juu yako.”
Portanto, ele diz: “Despertai, vós que dormis, e ressuscitai dos mortos, e Cristo brilhará sobre vós”.
15 Hivyo iweni makini jinsi mtembeavyo, siyo kama watu wasio werevu bali kama werevu.
Portanto, observe cuidadosamente como você caminha, não tão insensato, mas tão sábio,
16 Ukomboeni muda kwa kuwa siku ni za uovu.
redeeming o tempo, porque os dias são maus.
17 Msiwe wajinga, badala yake, fahamuni nini mapenzi ya Bwana.
Portanto, não seja insensato, mas entenda qual é a vontade do Senhor.
18 Msilewe kwa mvinyo, huongoza kwenye uharibifu, badala yake mjazwe na Roho Mtakatifu.
Não se embriagueis com vinho, no qual há dissipação, mas enchei-vos do Espírito,
19 Zungumzeni na kila mmoja wenu kwa zaburi, na sifa, na nyimbo za rohoni. Imbeni na sifuni kwa moyo kwa Bwana.
falando uns com os outros em salmos, hinos e canções espirituais; cantando e fazendo melodia em vosso coração ao Senhor;
20 Daima toa shukrani kwa mambo yote katika jina la Kristo Yesu Bwana wetu kwa Mungu Baba.
dando sempre graças a Deus, em nome de nosso Senhor Jesus Cristo, até mesmo ao Pai;
21 Jitoeni wenyewe kila mmoja kwa mwingine kwa heshima ya Kristo.
submetendo-vos uns aos outros no temor de Cristo.
22 Wake, jitoeni kwa waume zenu, kama kwa Bwana.
Esposas, estejam sujeitas a seus próprios maridos, como ao Senhor.
23 Kwa sababu mume ni kichwa cha mke, kama Kristo alivyo kichwa cha kanisa. Ni mwokozi wa mwili.
Pois o marido é a cabeça da esposa, como Cristo também é a cabeça da assembléia, sendo ele mesmo o salvador do corpo.
24 Lakini kama kanisa lilivyo chini ya Kristo, vilevile wake lazima wafanye hivyo kwa waume zao katika kila jambo.
Mas como a assembléia está sujeita a Cristo, que as esposas também estejam sujeitas a seus próprios maridos, em tudo.
25 Waume, wapendeni wake zenu kama vile Kristo alivyolipenda kanisa na akajitoa mwenyewe kwa ajili yake.
Maridos, amai vossas esposas, como Cristo também amou a assembléia e se entregou por ela,
26 Alifanya hivyo ili liwe takatifu. Alilitakasa kwa kuliosha na maji katika neno.
para que ele a santificasse, tendo-a purificado com a lavagem da água com a palavra,
27 Alifanya hivi ili kwamba aweze kujiwasilishia mwenyewe kanisa tukufu, pasipo na doa wala waa au kitu kifananacho na haya, badala yake ni takatifu lisilo na kosa.
para que ele pudesse apresentar a assembléia a si mesmo gloriosamente, não tendo manchas ou rugas ou qualquer coisa assim, mas que ela fosse santa e sem defeitos.
28 Kwa njia ile ile, waume wanatakiwa kuwapenda wake zao kama miili yao. Yule ampendae mke wake anajipenda mwenyewe.
Mesmo assim, os maridos também devem amar suas próprias esposas como se fossem seus próprios corpos. Aquele que ama sua própria esposa, ama a si mesmo.
29 Hakuna hata mmoja anayechukia mwili wake. Badala yake, huurutubisha na kuupenda, kama Kristo pia alivyolipenda kanisa.
Pois nenhum homem jamais odiou sua própria carne, mas a nutre e a estima, assim como o Senhor também faz a assembléia,
30 Kwa kuwa sisi ni washiriki wa mwili wake.
porque somos membros de seu corpo, de sua carne e de seus ossos.
31 “Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na ataungana na mke wake, na hao wawili watakuwa mwili mmoja”.
“Por esta causa um homem deixará seu pai e sua mãe e será unido à sua esposa. Então os dois se tornarão uma só carne”.
32 huu ulikuwa umefichika. Lakini ninasema kuhusu Kristo na kanisa.
Este mistério é grande, mas eu falo sobre Cristo e a assembléia.
33 Walakini, kila mmoja wenu lazima ampende mke wake kama mwenyewe, na mke lazima amheshimu mumewe.
No entanto, cada um de vocês deve também amar sua própria esposa como a si mesmo; e deixar a esposa ver que ela respeita seu marido.