< Waefeso 4 >

1 Kwa hiyo, kama mfungwa kwa ajili ya Bwana, nawasihi mtembee sawasawa na wito ambao Mungu aliwaita.
Proszę was tedy ja więzień w Panu, abyście chodzili tak, jako przystoi na powołanie, którem jesteście powołani;
2 Muishi kwa unyenyekevu mkuu na upole na uvumilivu. Mkichukuliana katika upendo.
Ze wszelaką pokorą i cichością, i z nieskwapliwością, znosząc jedni drugich w miłości,
3 Fanyeni bidii kuutunza umoja wa Roho katika kifungo cha amani.
Starając się, abyście zachowali jedność ducha w związce pokoju.
4 Kuna mwili mmoja na Roho moja, kama ambavyo pia mlikuwa mmeitwa katika uhakika wa taraja moja la wito wenu.
Jedno jest ciało i jeden duch, jako też jesteście powołani w jednej nadziei powołania waszego.
5 Na kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja,
Jeden Pan, jedna wiara, jeden chrzest;
6 na Mungu mmoja na Baba wa wote. Yeye yuko juu ya yote, na katika yote na ndani ya yote.
Jeden Bóg i Ojciec wszystkich, który jest nade wszystko i po wszystkich, i we wszystkich was.
7 Kwa kila mmoja wetu amepewa kipawa kulingana na kipimo cha kipawa cha Kristo.
Lecz każdemu z nas dana jest łaska według miary daru Chrystusowego.
8 Ni kama maandiko yasemavyo: “Alipopaa juu sana, aliongoza mateka katika utumwa. Akatoa vipawa kwa watu.”
Dlatego Pismo mówi: Wstąpiwszy na wysokość, wiódł pojmanych więźni i dał dary ludziom.
9 Ni nini maana ya, “Alipaa,” isipokuwa kwamba alishuka pia pande za chini za dunia?
Ale to, że wstąpił, cóż jest, jedno iż pierwej był zstąpił do najniższych stron ziemi?
10 Yeye ambaye alishuka ni mtu yuleyule ambae pia alipaa mbali juu ya mbingu zote. Alifanya hivi ili uwepo wake uwe katika vitu vyote.
A który zstąpił, ten jest, który i wstąpił wysoko nad wszystkie niebiosa, aby napełnił wszystko.
11 Kristo alitoa vipawa kama hivi: mitume, manabii, wainjilisti, wachungaji, na waalimu.
I tenże dał niektóre Apostoły, a niektóre proroki, a drugie ewangielisty, drugie też pasterze i nauczyciele.
12 Alifanya hivi kuwawezesha waumini kwa ajili ya kazi ya huduma, kwa ajili ya kuujenga mwili wa Kristo.
Ku spojeniu świętych, ku pracy usługiwania, ku budowaniu ciała Chrystusowego;
13 Anafanya hivi hadi sisi sote tufikie umoja wa imani na maarifa ya mwana wa Mungu. Anafanya hivi hadi tuweze kukomaa kama wale waliofikia kimo kamili cha Kristo.
A iżbyśmy się wszyscy zeszli w jedność wiary i znajomości Syna Bożego, w męża doskonałego, w miarę zupełnego wieku Chrystusowego,
14 Hii ni ili kwamba tusiwe tena kama watoto, tusirushwerushwe huku na huko. Ili kwamba tusichukuliwe na kila aina ya upepo wa fundisho, kwa hila za watu katika ujanja wa udanganyifu uliopotoka.
Abyśmy więcej nie byli dziećmi, chwiejącymi się i unoszącymi się każdym wiatrem nauki przez fortel ludzki i przez chytrość podejścia błędem.
15 Badala yake, tutaongea ukweli katika upendo na kukua zaidi katika njia zote ndani yake ambaye ndiye kichwa, Kristo.
Ale szczerymi będąc w miłości, rośnijmy w onego we wszystkiem, który jest głową, to jest w Chrystusa,
16 Kristo ameunganisha, kwa pamoja, mwili wote wa waumini. Umeungamanishwa pamoja na kila kiungo ili kwamba mwili wote ukue na kujijenga wenyewe katika upendo.
Z którego wszystko ciało przystojnie złożone i spojone we wszystkich stawach, przez które jeden członek drugiemu posiłku dodaje przez moc, która jest w każdym członku, według miary jego, wzrost ciału należący bierze ku budowaniu samego siebie w miłości.
17 Kwa hiyo, nasema hili, na nawasihi katika Bwana: Msitembee tena kama watu wa mataifa wanavyotembea katika ubatili wa akili zao.
To tedy mówię i oświadczam się przez Pana, abyście już więcej nie postępowali, jako insi poganie postępują, w próżności umysłu swego;
18 Wametiwa giza katika mawazo yao. Wamefukuzwa kutoka katika uzima wa Mungu kwa ujinga ulio ndani yao kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao.
Zaćmiony mając rozsądek, będąc oddaleni od żywota Bożego dla nieumiejętności, która w nich jest z zatwardzenia serca ich.
19 Hawajisikii aibu. Wamejikabidhi wenyewe kwa ufisadi katika matendo machafu, katika kila aina ya uchoyo.
Którzy zakamieniawszy, udali się na rozpustę ku popełnianiu wszelakiej nieczystości z chciwością.
20 Lakini, hivi sivyo mlivyojifunza kuhusu Kristo.
Lecz wy nie takeście się nauczyli Chrystusa,
21 Nadhani kwamba mmesikia kuhusu yeye. Nadhani kwamba mmekuwa mkifundishwa katika yeye, kama tu ukweli ulivyo ndani ya Yesu.
Jeźliście go tylko słuchali i o nim wyuczeni byli, jako jest (ta) prawda w Jezusie,
22 Lazima mvue mambo yote yanayoendana na mwenendo wenu wa zamani, utu wa zamani. Ni utu wa zamani unaooza kwa sababu ya tamaa za udanganyifu.
To jest, żebyście złożyli według pierwszego obcowania starego człowieka, który się psuje przez pożądliwości oszukiwające;
23 Vueni utu wenu wa zamani ili kwamba mfanywe upya katika roho ya akili zenu.
I odnowili się duchem umysłu waszego;
24 Fanyeni hivi ili muweze kuvaa utu mpya, unaoendana na Mungu. Umeumbwa katika haki na utakatifu wa kweli.
I oblekli się w onego nowego człowieka, który według Boga stworzony jest w sprawiedliwości i w świętobliwości prawdy.
25 Kwa hiyo, weka mbali udanganyifu. “Ongeeni ukweli, kila mmoja na jirani yake,” kwa sababu tu washirika kwa kila mmoja kwa mwenzake.
Przetoż złożywszy kłamstwo mówcie prawdę, każdy z bliźnim swoim; boście członkami jedni drugich.
26 Mwe na hasira, lakini msitende dhambi.” Jua lisizame mkiwa katika hasira zenu.
Gniewajcie się, a nie grzeszcie; słońce niech nie zachodzi na rozgniewanie wasze.
27 Msimpe Ibilisi nafasi.
Nie dawajcie miejsca dyjabłu.
28 Yeyote aibaye lazima asiibe tena. Badala yake ni lazima afanye kazi. Afanye kazi yenye manufaa kwa mikono yake, ili kwamba aweze kumhudumia mtu aliye na hitaji.
Kto kradł, niech więcej nie kradnie, ale raczej niech pracuje, robiąc rękoma, co jest dobrego, aby miał skąd udzielać potrzebującemu.
29 Kauli mbaya isitoke kinywani mwenu. Badala yake, maneno lazima yatoke katika vinywa vyenu yafaayo kwa mahitaji, kuwapa faida wale wanaosikiliza.
Żadna mowa plugawa niech z ust waszych nie pochodzi; ale jeźli która jest dobra ku potrzebnemu zbudowaniu, aby była przyjemna słuchającym.
30 Na msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu. Ni kwa Yeye kwamba mmewekewa muhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi.
A nie zasmucajcie Ducha Świętego Bożego, którym zapieczętowani jesteście na dzień odkupienia.
31 Lazima muweke mbali uchungu wote, ghadhabu, hasira, ugomvi, na matusi, pamoja na kila aina ya uovu. Iweni wema ninyi kwa ninyi.
Wszelka gorzkość i zapalczywość, i gniew, i wrzask, i bluźnierstwo, niech będzie odjęte od was, ze wszelaką złością;
32 Mwe na huruma. Msameheane ninyi kwa ninyi, kama vile Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.
A bądźcie jedni przeciwko drugim dobrotliwi, miłosierni, odpuszczając sobie, jako wam Bóg w Chrystusie odpuścił.

< Waefeso 4 >