< Waefeso 4 >

1 Kwa hiyo, kama mfungwa kwa ajili ya Bwana, nawasihi mtembee sawasawa na wito ambao Mungu aliwaita.
Nihakuvavulyo, sina musuminwa wa Simwine, Nimi susuweza kuyenda kaku shiyama kuamana ninsuupo imu vasupwa.
2 Muishi kwa unyenyekevu mkuu na upole na uvumilivu. Mkichukuliana katika upendo.
Muhale muvukando vwakulishuwa nichisemo ni nkulonde. Mutambulane muku sakana.
3 Fanyeni bidii kuutunza umoja wa Roho katika kifungo cha amani.
Mupange mumuwolela kuvila hamwina muluhuho niku suminwa chenkozo.
4 Kuna mwili mmoja na Roho moja, kama ambavyo pia mlikuwa mmeitwa katika uhakika wa taraja moja la wito wenu.
Kwina muvili umwina ni luhuho lumwina, Sina hamuvasupwa che sempo imwina mukusupwa kwenu.
5 Na kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja,
Imi kwina Simwine umwina, itumelo imwina, Ikolovezo imwina,
6 na Mungu mmoja na Baba wa wote. Yeye yuko juu ya yote, na katika yote na ndani ya yote.
ni Ireeza umwina ni Shentu wentu. wina hewulu lyazintu zonse nikuhita muzonse nimukati kazonse.
7 Kwa kila mmoja wetu amepewa kipawa kulingana na kipimo cha kipawa cha Kristo.
Kuzumwi ni zumwi ava hewa impo ilikanelela nimpo ya Keresite.
8 Ni kama maandiko yasemavyo: “Alipopaa juu sana, aliongoza mateka katika utumwa. Akatoa vipawa kwa watu.”
Sina mwawambila mañolo; “hayenda kwiwulu, Avahindi vava hapitwe niku kava hapa. Avahi impo kuvantu”.
9 Ni nini maana ya, “Alipaa,” isipokuwa kwamba alishuka pia pande za chini za dunia?
Zitalusa chizi izii, “Ava kambami”, “konji heva avyendi muzivaka zakusi mwikanda?
10 Yeye ambaye alishuka ni mtu yuleyule ambae pia alipaa mbali juu ya mbingu zote. Alifanya hivi ili uwepo wake uwe katika vitu vyote.
Iye yavashetumuki muntu yoswana niya vakambameli kumawulu. Avapangi izi zintu kwizuziliza zose zintu.
11 Kristo alitoa vipawa kama hivi: mitume, manabii, wainjilisti, wachungaji, na waalimu.
Keresite avahi impo ziswana nezi; ma Apostola, mapolofta, Vawambi, Balisani ni varuti.
12 Alifanya hivi kuwawezesha waumini kwa ajili ya kazi ya huduma, kwa ajili ya kuujenga mwili wa Kristo.
Avapangizi ku kuza vazumine kamutendo wesevelezo, kakuzaka muvili Kerest.
13 Anafanya hivi hadi sisi sote tufikie umoja wa imani na maarifa ya mwana wa Mungu. Anafanya hivi hadi tuweze kukomaa kama wale waliofikia kimo kamili cha Kristo.
Upanga mbwiteli chitwakasika hantu hoke mwitumelo nikwiziva mwana we Reeza. u panga izi mbwiteli chitwa kula sina njavo va vasiki haku kula kumazimo a Kereste.
14 Hii ni ili kwamba tusiwe tena kama watoto, tusirushwerushwe huku na huko. Ili kwamba tusichukuliwe na kila aina ya upepo wa fundisho, kwa hila za watu katika ujanja wa udanganyifu uliopotoka.
Zipangahala kuti kanji tuvi sina vahwilezana. zipangahala kuti kanji tusandolwa. Zipangahala kuti kanji tuhindwa niluhuho lwamirutilo, kamano uvutali vwa kuchenga.
15 Badala yake, tutaongea ukweli katika upendo na kukua zaidi katika njia zote ndani yake ambaye ndiye kichwa, Kristo.
Mukuti, mutua wambe initi mwirato niku kula mwirato lyakwe iye mutwi, Kereste.
16 Kristo ameunganisha, kwa pamoja, mwili wote wa waumini. Umeungamanishwa pamoja na kila kiungo ili kwamba mwili wote ukue na kujijenga wenyewe katika upendo.
Kereste ukopanya muvili wonse wava lumeli hawina. nukwete ku kula mukuswanelela inguzu zivahewa chilama nichilama imi uzakiwa mwirato.
17 Kwa hiyo, nasema hili, na nawasihi katika Bwana: Msitembee tena kama watu wa mataifa wanavyotembea katika ubatili wa akili zao.
Nihakuvavulyo niwamba ichi, imi niminyemuna mwa Simwine; Kamusiyendi sina mazwahule vayenda kevuvo lyamizezo yavo.
18 Wametiwa giza katika mawazo yao. Wamefukuzwa kutoka katika uzima wa Mungu kwa ujinga ulio ndani yao kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao.
Vasilafezwe mwingana zavo. Imi venakule nivuhalo vwa Ireeza. Vazwile kuvuhalo vwa Ireeza kuvula kwiziva kwavo kevaka lyakukutuhaza ikolo zavo.
19 Hawajisikii aibu. Wamejikabidhi wenyewe kwa ufisadi katika matendo machafu, katika kila aina ya uchoyo.
Kavalizuwi kuswava. Vava likukutuhalisi avovene niku sachena kwamitendo, muzintu zonse zivawola.
20 Lakini, hivi sivyo mlivyojifunza kuhusu Kristo.
Imi kanjimona mu muvarutilwa kuamana ni Kereste.
21 Nadhani kwamba mmesikia kuhusu yeye. Nadhani kwamba mmekuwa mkifundishwa katika yeye, kama tu ukweli ulivyo ndani ya Yesu.
Nisepa muvazuwi kuamana ni zakwe. Imi nizumina kuti muvarutwa mwali, sina vuniti havwina kwa Jesu.
22 Lazima mvue mambo yote yanayoendana na mwenendo wenu wa zamani, utu wa zamani. Ni utu wa zamani unaooza kwa sababu ya tamaa za udanganyifu.
muzwise zintu ziamana nimitendo yenu yakale imwali kurunda, muntu wakale. muntu wentazi yoboliswa zintu zichenga.
23 Vueni utu wenu wa zamani ili kwamba mfanywe upya katika roho ya akili zenu.
Muchupule muntu wentazi ilikuti muwole kubusuluswa muluhuho lwamizezo
24 Fanyeni hivi ili muweze kuvaa utu mpya, unaoendana na Mungu. Umeumbwa katika haki na utakatifu wa kweli.
yenu. Mupange vulyo mukuti muyole kuzwata muntu muhya, Chakuzwa kwa Ireeza. Zivumbitwe mukushiyama nikunjolola kweniti.
25 Kwa hiyo, weka mbali udanganyifu. “Ongeeni ukweli, kila mmoja na jirani yake,” kwa sababu tu washirika kwa kila mmoja kwa mwenzake.
Muvike kumbali zakuchenga, “Muwambe chaku shiyamisa, wumwi niwumwi niyavambene naye, “Mukuti tuvantu va hamwina.
26 Mwe na hasira, lakini msitende dhambi.” Jua lisizame mkiwa katika hasira zenu.
“Muvenge, kono kangi mupangi chive”. “Imi kanji musiyi izuva nilimina nimusivengete,
27 Msimpe Ibilisi nafasi.
Kanjimuhi Diavulusi chivaka.
28 Yeyote aibaye lazima asiibe tena. Badala yake ni lazima afanye kazi. Afanye kazi yenye manufaa kwa mikono yake, ili kwamba aweze kumhudumia mtu aliye na hitaji.
Munsa kanji navoleli kwiva hape, chakuti, uswanela kuseveza. uswanera kutendisa mayaza akwe, Ilikuti awole kuliyavela nimuntu yasena.
29 Kauli mbaya isitoke kinywani mwenu. Badala yake, maneno lazima yatoke katika vinywa vyenu yafaayo kwa mahitaji, kuwapa faida wale wanaosikiliza.
kanji kuzwi chiwambo chivilala mu mulomo wakwe. Imi, kuzwe manzwi ashiyeme enachakuha china mutendo, kuha intuso kwavo vatekeleze.
30 Na msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu. Ni kwa Yeye kwamba mmewekewa muhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi.
Imi nsazi munyazelezi Luhuho lunjola lwa Ireeza. Kakuli njiyena umuvaswaiwa kali mwizuva lyepuluso imuvawani.
31 Lazima muweke mbali uchungu wote, ghadhabu, hasira, ugomvi, na matusi, pamoja na kila aina ya uovu. Iweni wema ninyi kwa ninyi.
Muvike kumbali zivava, kufilikana, kuvenga, ikani, kutukana nizose zina
32 Mwe na huruma. Msameheane ninyi kwa ninyi, kama vile Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.
chive. Muve nichisemo kuzumwi ni zumwi, mulizuwile inse. muliswalele, sina nji Ireeza mwa Kereste hamiswaleli.

< Waefeso 4 >