< Waefeso 4 >

1 Kwa hiyo, kama mfungwa kwa ajili ya Bwana, nawasihi mtembee sawasawa na wito ambao Mungu aliwaita.
Bawipa khut ka pawha phäh thawng üng ka kyumki kei naw ka ning jah nghuinak ta, Pamhnam naw a ning jah khü üng a ning jah tak pet cän nami kpha vaia xüngsei ua.
2 Muishi kwa unyenyekevu mkuu na upole na uvumilivu. Mkichukuliana katika upendo.
Angläta mlung mhnem lü hniphnawi lü mlung msaü lü ve ua. Mat ja mat püi cuneinak am nami mhläkphyanak mdan ua.
3 Fanyeni bidii kuutunza umoja wa Roho katika kifungo cha amani.
Dim’yenak am atänga ning jah khitkhawn khaia Ngmüimkhya naw a ning jah peta yümmatnak cän nami khyaih khawha thupei ua.
4 Kuna mwili mmoja na Roho moja, kama ambavyo pia mlikuwa mmeitwa katika uhakika wa taraja moja la wito wenu.
Pumsa mat ja Ngmüimkhya mat ni a ve ta, Pamhnam naw a ning jah khü üng pi äpeinak mat ni a ve.
5 Na kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja,
Bawipa mat, jumnak mat, baptican mat ja,
6 na Mungu mmoja na Baba wa wote. Yeye yuko juu ya yote, na katika yote na ndani ya yote.
khyang avana Pa ja Pamhnam mat ni a ve. Ani cun avan khana Bawia kya lü avana üngkhyüh khut bi lü avana k'uma veki.
7 Kwa kila mmoja wetu amepewa kipawa kulingana na kipimo cha kipawa cha Kristo.
Khritaw naw aphäh phäha a jah pet ktunga letsawng cun mat cim naw mi yahki.
8 Ni kama maandiko yasemavyo: “Alipopaa juu sana, aliongoza mateka katika utumwa. Akatoa vipawa kwa watu.”
Cangcim naw, “Ak’hlünga a kai üng, tamna khawhah a jah cehpüi, khyange üng letsawng pi jah peki,” a ti.
9 Ni nini maana ya, “Alipaa,” isipokuwa kwamba alishuka pia pande za chini za dunia?
Atuha “kaiki” tinak hin i ni? Tinak hlü ta a ni cun akcüka aknem säiha khawmdeka kyum lawki ni.
10 Yeye ambaye alishuka ni mtu yuleyule ambae pia alipaa mbali juu ya mbingu zote. Alifanya hivi ili uwepo wake uwe katika vitu vyote.
Kyum lawki cun jäng kaiki kunga kya lü khankhawea khan ja acuna thea üng pi a venak cun khawliva avan üng beki ni.
11 Kristo alitoa vipawa kama hivi: mitume, manabii, wainjilisti, wachungaji, na waalimu.
Ani cun naw “khyange üng letsawnge jah peki”; ani naw avang cun ngsä he vaia a jah mcawn, akcee cun sahmae vaia, akcee cun evawnkelih saja vaia, akcee cun pasatae jah mtheimthangkiea a jah mcawna kyaki.
12 Alifanya hivi kuwawezesha waumini kwa ajili ya kazi ya huduma, kwa ajili ya kuujenga mwili wa Kristo.
Khritawa pumsa cun sawngsak vaia phäha Pamhnama khyange cun khritjan kawnsang khut üng ngpüi khaia a jah pitpyang ni.
13 Anafanya hivi hadi sisi sote tufikie umoja wa imani na maarifa ya mwana wa Mungu. Anafanya hivi hadi tuweze kukomaa kama wale waliofikia kimo kamili cha Kristo.
Mi jumnak yümmatnaka k'um ja Pamhnam ksingnaka atänga mi lawki. Mimi cun xüngvai law lü Khritawa hlüngkia a pumyaw cun mi pha vaia ni.
14 Hii ni ili kwamba tusiwe tena kama watoto, tusirushwerushwe huku na huko. Ili kwamba tusichukuliwe na kila aina ya upepo wa fundisho, kwa hila za watu katika ujanja wa udanganyifu uliopotoka.
Khyange jah mhlei lü hlawhlepnak mtünmdawng u lü hmakatnaka jah cehpüikie khyangea mtheinak naw a jah jawnceh canaea mimi cun am ni kya ti u.
15 Badala yake, tutaongea ukweli katika upendo na kukua zaidi katika njia zote ndani yake ambaye ndiye kichwa, Kristo.
Acuna hnün üng lua kyaki Khritaw üng dämduh lü mhläkphyanaka Ngmüimkhya am ngthungtak cun mi pyen yah khai.
16 Kristo ameunganisha, kwa pamoja, mwili wote wa waumini. Umeungamanishwa pamoja na kila kiungo ili kwamba mwili wote ukue na kujijenga wenyewe katika upendo.
Ania upthingnaka nghngalangkia kphyeme cun atänga pumsa mat am ve u lü pumsa mat naw kphyem avan cun atänga jah mcahki. Mat cim naw a mi pawh vai pawh u lü pumsa cun mhläkphyanak am däm law lü amät cun sawngsaeiki.
17 Kwa hiyo, nasema hili, na nawasihi katika Bwana: Msitembee tena kama watu wa mataifa wanavyotembea katika ubatili wa akili zao.
Pamhnam am tä lü ami cungaih pi ia am ngtähkhehki khyangea kba msu lü käh nami xün vaia Bawipa ngming ning jah mcäi lü,
18 Wametiwa giza katika mawazo yao. Wamefukuzwa kutoka katika uzima wa Mungu kwa ujinga ulio ndani yao kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao.
Acuna khyange mlung cun nghmüp k'uma ni. Pamhnam naw a jah peta xünnak üng am ngpüi u, ami cun mawngcei lü ami mlung pi ngcangki.
19 Hawajisikii aibu. Wamejikabidhi wenyewe kwa ufisadi katika matendo machafu, katika kila aina ya uchoyo.
Ami ngkeei vai am ksing lü mtüihmlehki ja akse bilawhnak naküt üng am ngphep khawh u lü amimät ngapeikie ni.
20 Lakini, hivi sivyo mlivyojifunza kuhusu Kristo.
Khritawa vei ami ngthei ta acun am ni!
21 Nadhani kwamba mmesikia kuhusu yeye. Nadhani kwamba mmekuwa mkifundishwa katika yeye, kama tu ukweli ulivyo ndani ya Yesu.
A mawng nami ngjaki, nami cun a hnu kläkea ami kya akba Jesuh üng veki ngthungtak cun nami ngtheikie ni.
22 Lazima mvue mambo yote yanayoendana na mwenendo wenu wa zamani, utu wa zamani. Ni utu wa zamani unaooza kwa sababu ya tamaa za udanganyifu.
Acunakyase nami xünnak khawi, akphyüme cän jah hawihkceh lü akphyüm amät hin am dawkia hlükaweinak naw akpyak ni.
23 Vueni utu wenu wa zamani ili kwamba mfanywe upya katika roho ya akili zenu.
Nami mlung ja cungaihnak cun akthaia avan jah pyang u,
24 Fanyeni hivi ili muweze kuvaa utu mpya, unaoendana na Mungu. Umeumbwa katika haki na utakatifu wa kweli.
lü akthai cän jah suisa u, acun hin Pamhnam am täng lü xünnak akcanga kyaki ngcim lü ngsungki tia amät naw mdan khaia mhnünmcenga kyaki ni.
25 Kwa hiyo, weka mbali udanganyifu. “Ongeeni ukweli, kila mmoja na jirani yake,” kwa sababu tu washirika kwa kila mmoja kwa mwenzake.
Käh hleihlak ti vai! Mat cim naw ngthungtak cun jumeiki akcee üng nami mtheh yah khai, isetiakyaküng, Khritawa pumsa üng mi van hin atänga akphyema mi kyaki.
26 Mwe na hasira, lakini msitende dhambi.” Jua lisizame mkiwa katika hasira zenu.
Nami mlung a so law üng mkhyenak käh pawhsak lü a mhnüpa nami mlung käh so kawm.
27 Msimpe Ibilisi nafasi.
Khawyai üng akcün käh pe u.
28 Yeyote aibaye lazima asiibe tena. Badala yake ni lazima afanye kazi. Afanye kazi yenye manufaa kwa mikono yake, ili kwamba aweze kumhudumia mtu aliye na hitaji.
Nami mpyukei khawi üng mpyukeinak cän hawih lü khut bi ua, iseniti ta mpyenkseki nami jah kpüinak vai ja nami phäha akdaw lama nami yahmtang thei vaia ni.
29 Kauli mbaya isitoke kinywani mwenu. Badala yake, maneno lazima yatoke katika vinywa vyenu yafaayo kwa mahitaji, kuwapa faida wale wanaosikiliza.
Khyükse käh sumei lü ngdüih thawhnak vai khyü däk sumei u. Akcukba ani üngva ngjakiea phäha na pyensak daw lü jah sawngsa khai ni.
30 Na msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu. Ni kwa Yeye kwamba mmewekewa muhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi.
Pamhnama Ngmüimkhya Ngcim käh thüiseisak ua, Pamhnama Ngmüimkhya Ngcim naw va ning jah msing lü Pamhnam naw a ning jah mhlätnak vaia Mhnüpa phäh amahkhamkia kyaki.
31 Lazima muweke mbali uchungu wote, ghadhabu, hasira, ugomvi, na matusi, pamoja na kila aina ya uovu. Iweni wema ninyi kwa ninyi.
Mlungsonak, mlungsetnak ja am dawki hlükaweinak cun jah hawih ua. Püi cawkeinak, ngpyangpyetnak ja ng’eihnak am ve ti.
32 Mwe na huruma. Msameheane ninyi kwa ninyi, kama vile Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.
Acuna hnün üng mat ja mat üawm na lü Pamhnam naw Khritaw üngkhyüh aning jah mhläteia kba mat ja mat pi mhlätei ua.

< Waefeso 4 >