< Waefeso 3 >
1 Kwa sababu ya hii mimi, Paulo, ni mfungwa wa Yesu Kristo kwa ajili yenu Mataifa.
Cheli vaka, Ime, Paulusi, ni musuminwa wa Keriste Jesu we nu bachisi cha masi angi.
2 Na amini ya kwamba mmesikia juu ya kazi ya neema ya Mungu aliyo nipa kwa ajili yenu.
Ni akaleza kuti mubazuwi za mitendo ya chisemo che Ereeza che ni bahewa chenu.
3 Nawaandikieni kutokana na jinsi ufunuo ulivyo funuliwa kwangu. Huu ni ukweli uliyofichika ambao niliandika kwa kifupi kwenye barua nyingine.
Ni ñola chakuya chempono i bezibahazwa kwangu. I cho nji buniti buungwilwe bu ni bañoli chavo chavufuhi mulimwi iñolo.
4 Usomapo kuhusu haya, utaweza kutambua busara yangu katika ukweli huu uliofichika kuhusu Kristo.
Ha chi mwabala izi, kamuole kuzuwisisa impono yangu mwabo buniti buungwile kuamana Keriste.
5 Kwa vizazi vingine ukweli huu haukufanywa utambulike kwa wana wa watu. Ila kwa sasa umewekwa wazi kwa Roho kwa Mitume waliotengwa na Manabii.
Mumirahi imwi buniti bo kana bube zibahazwa kubana babantu. Kono hanu chi bu baziba hazwa cha Luhuho kwabaapositola bakwe bajolola ni bapolofita.
6 Ukweli huu uliofichika ni kwamba watu wa Mataifa ni washiriki wenzetu na wajumbe wenzetu wa mwili. Niwashiriki pamoja na ahadi ya Kristo Yesu kupitia injili.
Uvu vuniti bupatitwe nji kuti Vachisi cha masiangi nabo nji bayola hamwina ni imembala zamubili. Ba va abelwa vonse kwisepiso ya Kerisite Jesu che evengeli.
7 Na kwa hili nimefanyika mtumishi kwa zawadi ya neema ya Mungu iliyotolewa kwangu kupitia utendaji wa nguvu yake.
Chobulyo nivavi ni muhikana we vangeli chempo ya chisemo che Ireeza chi ni bahewa chakuya cha misebezi ye ziho zakwe.
8 Mungu alitoa zawadi hii kwangu, japo kuwa mimi ni mtu mdogo wa wote katika wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu. Zawadi hii ni kwamba inanipasa kuwatangazia mataifa injili yenye utajiri usiochunguzika wa Kristo.
Ireeza a vahi impo yi kwangu, nihakuti nji ni munini ka kumaniniza kuvena ikalulo ya chiyembe che Ereeza, impo iyo njiyakuti ni wambe ku va chisi cha masiangi i evangeli ya chifumu cha Keresite.
9 inanipasa kuwaangazia watu wote juu ya nini ni mpango wa Mungu wa siri. Huu ni mpango ambao ulikuwa umefichwa kwa miaka mingi iliyopita, na Mungu ambaye aliviumba vitu vyote. (aiōn )
Ni swanela kuwambila vantu vonse kuamana cha mulelo we kunutu ye Ireza. U wo nji mulelo u va humbitwe cha zilimo limo zivamani nji Ireeza, ya va vumbi zintu zonse. (aiōn )
10 Hii ilikuwa kwamba, kupitia Kanisa, watawala na mamlaka katika sehemu za mbingu wapate kujua pande nyingi za asili ya hekima ya Mungu.
Izo zivakwina bulyo linu hanu, cha kuya che keleke, babusi ni mpuso muchibaka chakwiulu moveze vezibe imbali - zingi zi babumbwa cha butali bwe Ireeza.
11 Haya yangetokea kupitia mpango wa milele ambao aliukamilisha ndani ya Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn )
Izi mu zichitahale chakuya chamulelo wakaya - kuire wa vezuzilizi cha Kirisite Jesu Nfumwetu. (aiōn )
12 Kwa kuwa katika Kristo tuna ujasiri na uwezo wa kuingia kwa ujasiri kwa sababu ya imani yetu kwake.
Mukuti mwa Keresite twina bundume ni kuzumininwa cha isepo ka kuya chetumelo yetu mwali.
13 Kwa hiyo nawaomba msikate tamaa kwasababu ya mateso yangu kwa ajili yenu. Haya ni utukufu wenu.
Linu nihakwinabulyo ni mikumbila kusa zwafa chevaka lyamasukuluko angu chenu. Izo nji kanya yenu.
14 Kwa sababu hii napiga magoti kwa Baba.
Mokuti chebaka ili ni choola mazwi angu kwa Tayo,
15 ambaye kwa yeye kila familia mbinguni na juu ya nchi imeitwa jina.
uzo kwali masika wonse a kwiulu ni hansi ava sumpwa chakwe.
16 Ninaomba kwamba apate kuwanemesha, kutokana na utajiri wa utukufu wake, awafanye imara kwa nguvu kupitia Roho wake, ambaye yu ndani yenu.
Ni lapela kuti aku zuminine kukuha, chakuya cha chifumu chekanya yakwe, ka kukozwa chenguzu za Luhuho lwake, lwina kwako.
17 Ninaomba kwamba Kristo aishi ndani ya mioyo yenu kupitia imani.
Ni lapela kuti Keresite ahale mwinkulo zenu che ntumelo. Ni lapela kuti ne muzikame mi mukolele mukusakiwa kwali.
18 Ninaomba kwamba muwe na shina na msingi wa upendo wake. Muwe katika pendo lake ili muweze kuelewa, pamoja na wote waaminio, jinsi upana, na urefu na kimo na kina cha upendo wa Kristo.
Mu be mukusunwa kwakwe kokuti muole ku ba ni kutwisiso, hamwina ni bazumine bamwi, njovuhi vule bwa bukando, vule bwa kuya muluhati, vule bwa kuya mwiulu, vule bwa kuya hetako chakusuna kwa lato lya Keresite, lihitilila inzuvo.
19 Ninaomba Kwamba mjue ukuu wa upendo wa Kristo, ambao unazidi ufahamu. Mfanye haya ili mjazwe na ukamilifu wote wa Mungu.
Ni lapela kuti mwizive bukando bwa kusunwa kwe lato lya Keresite, li hitilila inzibo. Muchite bulyo kokuti mwizuzwe che kwizula kwe Ereeza.
20 Na sasa kwake yeye awezaye kufanya kila jambo, zaidi ya yote tuyaombayo au tuyawazayo, kupitia nguvu yake itendayo kazi ndani yetu,
Linu kwali yowola kuchita zintu zonse hande, kule heulu ya zintu ze tukumbila kapa kuhupula, chakuya cha maata akwe aseveza mwetu,
21 kwake yeye kuwe utukufu ndani ya kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote milele na milele. Amina. (aiōn )
kwali kube ni kanya munkeleke ni kwa Kelesite Jesu ku masika ya kuyakwile. Ameni. (aiōn )