< Waefeso 3 >
1 Kwa sababu ya hii mimi, Paulo, ni mfungwa wa Yesu Kristo kwa ajili yenu Mataifa.
Ndabha ya ele nene, Paulo, ndo mfungwa wa Yesu Kristu kwajia ya yhomo bhamataifa.
2 Na amini ya kwamba mmesikia juu ya kazi ya neema ya Mungu aliyo nipa kwa ajili yenu.
Nimanyili ya ndabha mpeliki juu ya mbhombho ya neema sya K'yara yaanipelili kwajia ya yhomo.
3 Nawaandikieni kutokana na jinsi ufunuo ulivyo funuliwa kwangu. Huu ni ukweli uliyofichika ambao niliandika kwa kifupi kwenye barua nyingine.
Nikabhayandikila kutokana ni jinsi ya ufunuo wakiwafunulibhu kwa nene. O'bho ndo ubhukweli wa ujifighili na nayandiki kwa kifupi mubarua yhenge.
4 Usomapo kuhusu haya, utaweza kutambua busara yangu katika ukweli huu uliofichika kuhusu Kristo.
pawisomahi kup'etela agha, wibhuwesya kutambula busara ya nene mu ukueli wa ufighibhu kup'etela Kristu.
5 Kwa vizazi vingine ukweli huu haukufanywa utambulike kwa wana wa watu. Ila kwa sasa umewekwa wazi kwa Roho kwa Mitume waliotengwa na Manabii.
Kwa visasi shenge ukueli obho wafwanyikilepi umanyanikai kwabhana ni bhanu. Ila kwa henu ubhekibhu bhuasi kwa Roho yabhamitume ya bhatengibhu ni manabii.
6 Ukweli huu uliofichika ni kwamba watu wa Mataifa ni washiriki wenzetu na wajumbe wenzetu wa mwili. Niwashiriki pamoja na ahadi ya Kristo Yesu kupitia injili.
Ukueli obho yaujifighili yakuwa bhanu bhamataifa ndo bhashiriki bhayitu nibhajumbe bha mbhele. Nibhashiriki pamonga Ni ahadi ya Kristu Yesu kup'etela injili.
7 Na kwa hili nimefanyika mtumishi kwa zawadi ya neema ya Mungu iliyotolewa kwangu kupitia utendaji wa nguvu yake.
Ni kwa e'le nifwanyiki na n'tumishi kwa zawadi ya K'yara yayapisibhu kwa nene kup'etela ubhombaji wa nghofo syamuene.
8 Mungu alitoa zawadi hii kwangu, japo kuwa mimi ni mtu mdogo wa wote katika wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu. Zawadi hii ni kwamba inanipasa kuwatangazia mataifa injili yenye utajiri usiochunguzika wa Kristo.
K'yara apisili zawadi eye kwa nene, yakuwa nene na munu n'debe Sana kwa bhoa kup'etela kwa bhala bhabhatengibhu mu injili ya K'yara. kwa zawadi eye yilondeka kubhatangasila mataifa injili yaiyele ni bhutajili waubelili kuchungusi bhwa kwa Kristu.
9 inanipasa kuwaangazia watu wote juu ya nini ni mpango wa Mungu wa siri. Huu ni mpango ambao ulikuwa umefichwa kwa miaka mingi iliyopita, na Mungu ambaye aliviumba vitu vyote. (aiōn )
Yilondeka kubhatangasila bhanu bhoa panani pa kiki ndo mpango wa sili. Obho ndo mpango wa wafighibhu kwa magono mingi yayilotili, ni K'yara yaabhombili fhenu fyoa. (aiōn )
10 Hii ilikuwa kwamba, kupitia Kanisa, watawala na mamlaka katika sehemu za mbingu wapate kujua pande nyingi za asili ya hekima ya Mungu.
Eye yayele ndabha, kup'etela likanisa, bhatawala ni mamlaka mu sehemu za kumbinguni bha bhwesyai kumanya upande bhuingi wa asili ya hekima ya k'yara.
11 Haya yangetokea kupitia mpango wa milele ambao aliukamilisha ndani ya Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn )
Agha ngagha homili kup'etela mpango wa milele ambabho wawakamilishibhu mugati mwa Kristu Yesu Bwana wa yhoti. (aiōn )
12 Kwa kuwa katika Kristo tuna ujasiri na uwezo wa kuingia kwa ujasiri kwa sababu ya imani yetu kwake.
Yandabha kup'etela Kristu tuyeni ugasili ni ubhueso wa kuyingila kijasili kwa ndabha ya imani ya tete kwa muene.
13 Kwa hiyo nawaomba msikate tamaa kwasababu ya mateso yangu kwa ajili yenu. Haya ni utukufu wenu.
Kwa ele ni kabhasoma msikati tamaa ndabha ya mateso gha nene kwajia yayhomo. Agha ndo utukufu bhuino.
14 Kwa sababu hii napiga magoti kwa Baba.
Kwa ndabha ya ele nipiga magoti kwa Dadi.
15 ambaye kwa yeye kila familia mbinguni na juu ya nchi imeitwa jina.
Kwa muene kila familia kumbinguni ni panani pa n'dema pikutibhwa lihina.
16 Ninaomba kwamba apate kuwanemesha, kutokana na utajiri wa utukufu wake, awafanye imara kwa nguvu kupitia Roho wake, ambaye yu ndani yenu.
Nis'oma yakuwa abhwesyai kubhanenuesha, kubhonekana ni utajili wa utukufu bhuake, abha fwanyai imara kinghofo kup'etela Roho bhuake, yaayele mugati bhuinu.
17 Ninaomba kwamba Kristo aishi ndani ya mioyo yenu kupitia imani.
Nis'oma yakuwa Kristu aishiayi mughati mu miteema yayhomo kup'etela imani.
18 Ninaomba kwamba muwe na shina na msingi wa upendo wake. Muwe katika pendo lake ili muweze kuelewa, pamoja na wote waaminio, jinsi upana, na urefu na kimo na kina cha upendo wa Kristo.
Nis'oma yakuwa muyela ni shina ni msingi wa upendo bhuake. Muyela kup'etela lipendo lyake ili mubhwesyai kuyelebhwa, pamonga ni bhoa bhabhiamini, mu upana, ni utali wa kimo ni kina kya upendo wa Kristu.
19 Ninaomba Kwamba mjue ukuu wa upendo wa Kristo, ambao unazidi ufahamu. Mfanye haya ili mjazwe na ukamilifu wote wa Mungu.
Nis'oma ya kuwa mmanyau upendo ubhaa wa Kristu, wawizidi ufahamu. Mke tai agha ili mjazibhuayi ni ukamilifu bhuoa wa K'yara.
20 Na sasa kwake yeye awezaye kufanya kila jambo, zaidi ya yote tuyaombayo au tuyawazayo, kupitia nguvu yake itendayo kazi ndani yetu,
Ni henu kwa muene yaibhuesya kuketa kila lijambo, zaidi ya ghoa ghatuka ghas'oma au kugha bhuasya, kup'etela nghofo ya muene yayitenda mbhombho mugati mwa tete,
21 kwake yeye kuwe utukufu ndani ya kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote milele na milele. Amina. (aiōn )
Kwa muene uyela utukufu mugati mulikanisa ni kup'etela Kristu Yesu Ni fisasi fyoa milele, Amina. (aiōn )