< Waefeso 3 >

1 Kwa sababu ya hii mimi, Paulo, ni mfungwa wa Yesu Kristo kwa ajili yenu Mataifa.
Inilah saya, Paulus, sekarang dipenjarakan karena melayani Kristus Yesus, untuk menolong kalian orang yang bukan Yahudi.
2 Na amini ya kwamba mmesikia juu ya kazi ya neema ya Mungu aliyo nipa kwa ajili yenu.
Pasti kalian sudah mendengar tentang tugas yang Allah berikan kepada saya untuk menyampaikan tentang kebaikan hati Allah kepada kalian,
3 Nawaandikieni kutokana na jinsi ufunuo ulivyo funuliwa kwangu. Huu ni ukweli uliyofichika ambao niliandika kwa kifupi kwenye barua nyingine.
bagaimana, dengan apa yang Allah tunjukkan kepada saya, menjelaskan misteri yang sebelumnya tersembunyi. Saya menulis kepada Anda secara singkat sebelumnya tentang ini.
4 Usomapo kuhusu haya, utaweza kutambua busara yangu katika ukweli huu uliofichika kuhusu Kristo.
Dan ketika kalian membaca ini, kalian akan mengerti apa yang saya maksud tentang rencana yang dulu Allah rahasiakan kepada manusia, yaitu rahasia tentang Kristus.
5 Kwa vizazi vingine ukweli huu haukufanywa utambulike kwa wana wa watu. Ila kwa sasa umewekwa wazi kwa Roho kwa Mitume waliotengwa na Manabii.
Di generasi-generasi sebelumnya, hal ini tidak dijelaskan kepada siapa pun, tetapi sekarang sudah dinyatakan kepada para rasul dan nabi suci Allah oleh Roh-Nya
6 Ukweli huu uliofichika ni kwamba watu wa Mataifa ni washiriki wenzetu na wajumbe wenzetu wa mwili. Niwashiriki pamoja na ahadi ya Kristo Yesu kupitia injili.
bahwa orang yang bukan Yahudi, adalah ahli waris bersama, bagian dari tubuh yang sama, dan dalam Kristus Yesus berbagi bersama dalam janji melalui kabar baik.
7 Na kwa hili nimefanyika mtumishi kwa zawadi ya neema ya Mungu iliyotolewa kwangu kupitia utendaji wa nguvu yake.
Saya sudah menjadi pelayan Kristus untuk memberitakan Kabar Baik ini melalui kuasa dan kebaikan hati Allah yang bekerja dalam diri saya.
8 Mungu alitoa zawadi hii kwangu, japo kuwa mimi ni mtu mdogo wa wote katika wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu. Zawadi hii ni kwamba inanipasa kuwatangazia mataifa injili yenye utajiri usiochunguzika wa Kristo.
Rahmat ini diberikan kepada saya, yang paling tidak penting dari semua orang Kristen, untuk berbagi dengan orang yang bukan Yahudi nilai Kristus yang luar biasa,
9 inanipasa kuwaangazia watu wote juu ya nini ni mpango wa Mungu wa siri. Huu ni mpango ambao ulikuwa umefichwa kwa miaka mingi iliyopita, na Mungu ambaye aliviumba vitu vyote. (aiōn g165)
dan saya dipilih untuk menyatakan rencana Allah kepada semua orang. Rencana itu tersembunyi sejak semula di dalam Dia yang menciptakan segalanya. (aiōn g165)
10 Hii ilikuwa kwamba, kupitia Kanisa, watawala na mamlaka katika sehemu za mbingu wapate kujua pande nyingi za asili ya hekima ya Mungu.
Rencana Allah adalah supaya semua pemerintah dan penguasa di surga menyaksikan berbagai cara Allah menunjukkan kebijaksanaan-Nya melalui gereja.
11 Haya yangetokea kupitia mpango wa milele ambao aliukamilisha ndani ya Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn g165)
Inilah sesuai dengan tujuan kekal Allah yang dilakukan-Nya melalui Kristus Yesus Tuhan kita. (aiōn g165)
12 Kwa kuwa katika Kristo tuna ujasiri na uwezo wa kuingia kwa ujasiri kwa sababu ya imani yetu kwake.
Karena kita percaya sepenuhnya kepada Kristus, maka kita bisa datang kepada Allah dengan bebas dan tidak perlu merasa takut.
13 Kwa hiyo nawaomba msikate tamaa kwasababu ya mateso yangu kwa ajili yenu. Haya ni utukufu wenu.
Jadi saya meminta agar kalian tidak putus asa karena saya menderita — tetapi kalian harus bangga karena saya menderita demi kalian.
14 Kwa sababu hii napiga magoti kwa Baba.
Itulah sebabnya saya berlutut berdoa kepada Bapa,
15 ambaye kwa yeye kila familia mbinguni na juu ya nchi imeitwa jina.
yang darinya setiap keluarga di surga dan di bumi menerima sifat dan karakternya,
16 Ninaomba kwamba apate kuwanemesha, kutokana na utajiri wa utukufu wake, awafanye imara kwa nguvu kupitia Roho wake, ambaye yu ndani yenu.
memohon kepada-Nya agar dari kekayaan kemuliaan-Nya ia dapat menguatkan kalian di dalam diri kalian yang terdalam dengan kuasa melalui Roh-Nya.
17 Ninaomba kwamba Kristo aishi ndani ya mioyo yenu kupitia imani.
Semoga Kristus hidup di dalam kalian sebagaimana kamu percaya kepada-Nya, sehingga ketika kamu ditanam jauh di dalam kasih,
18 Ninaomba kwamba muwe na shina na msingi wa upendo wake. Muwe katika pendo lake ili muweze kuelewa, pamoja na wote waaminio, jinsi upana, na urefu na kimo na kina cha upendo wa Kristo.
kalian dapat memiliki kekuatan untuk memahami bersama semua umat Allah luas dan panjang dan tinggi dan dalamnya kasih Kristus.
19 Ninaomba Kwamba mjue ukuu wa upendo wa Kristo, ambao unazidi ufahamu. Mfanye haya ili mjazwe na ukamilifu wote wa Mungu.
Semoga kalian mengenal kasih Kristus yang melampaui pengetahuan, sehingga kalian dijadikan penuh dan lengkap oleh kepenuhan Allah.
20 Na sasa kwake yeye awezaye kufanya kila jambo, zaidi ya yote tuyaombayo au tuyawazayo, kupitia nguvu yake itendayo kazi ndani yetu,
Semoga dia yang — melalui kuasa-Nya yang bekerja di dalam kita — dapat melakukan jauh lebih banyak daripada yang pernah kita minta atau pikirkan,
21 kwake yeye kuwe utukufu ndani ya kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote milele na milele. Amina. (aiōn g165)
semoga dia dimuliakan di dalam gereja dan di dalam Kristus Yesus turun-temurun sampai selama-lamanya dan pernah. Amin. (aiōn g165)

< Waefeso 3 >