< Waefeso 3 >

1 Kwa sababu ya hii mimi, Paulo, ni mfungwa wa Yesu Kristo kwa ajili yenu Mataifa.
Pro tu věc já Pavel, jsem vězeň Krista Ježíše pro vás pohany,
2 Na amini ya kwamba mmesikia juu ya kazi ya neema ya Mungu aliyo nipa kwa ajili yenu.
Jestliže však jste slyšeli o milosti Boží, kteréž jest mi uděleno k přisluhování vám,
3 Nawaandikieni kutokana na jinsi ufunuo ulivyo funuliwa kwangu. Huu ni ukweli uliyofichika ambao niliandika kwa kifupi kwenye barua nyingine.
Že skrze zjevení oznámil mi tajemství, (jakož jsem vám prve psal krátce;
4 Usomapo kuhusu haya, utaweza kutambua busara yangu katika ukweli huu uliofichika kuhusu Kristo.
Z čehož můžete, čtouce, porozuměti známosti mé v tajemství Kristovu; )
5 Kwa vizazi vingine ukweli huu haukufanywa utambulike kwa wana wa watu. Ila kwa sasa umewekwa wazi kwa Roho kwa Mitume waliotengwa na Manabii.
Kteréž za jiných věků nebylo známo synům lidským, tak jako nyní zjeveno jest svatým apoštolům jeho a prorokům skrze Ducha,
6 Ukweli huu uliofichika ni kwamba watu wa Mataifa ni washiriki wenzetu na wajumbe wenzetu wa mwili. Niwashiriki pamoja na ahadi ya Kristo Yesu kupitia injili.
Totiž že by měli býti pohané spoludědicové a jednotělní, i spoluúčastníci zaslíbení jeho v Kristu skrze evangelium,
7 Na kwa hili nimefanyika mtumishi kwa zawadi ya neema ya Mungu iliyotolewa kwangu kupitia utendaji wa nguvu yake.
Kteréhož já učiněn jsem slouha z daru milosti Boží mně dané, podle působení moci jeho.
8 Mungu alitoa zawadi hii kwangu, japo kuwa mimi ni mtu mdogo wa wote katika wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu. Zawadi hii ni kwamba inanipasa kuwatangazia mataifa injili yenye utajiri usiochunguzika wa Kristo.
Mně nejmenšímu ze všech svatých dána jest milost ta, abych mezi pohany zvěstoval nestihlá bohatství Kristova,
9 inanipasa kuwaangazia watu wote juu ya nini ni mpango wa Mungu wa siri. Huu ni mpango ambao ulikuwa umefichwa kwa miaka mingi iliyopita, na Mungu ambaye aliviumba vitu vyote. (aiōn g165)
A vysvětlil všechněm, kteraké by bylo obcování tajemství skrytého od věků v Bohu, kterýž všecko stvořil skrze Ježíše Krista, (aiōn g165)
10 Hii ilikuwa kwamba, kupitia Kanisa, watawala na mamlaka katika sehemu za mbingu wapate kujua pande nyingi za asili ya hekima ya Mungu.
Aby nyní oznámena byla knížatstvu a mocem na nebesích skrze církev rozličná moudrost Boží,
11 Haya yangetokea kupitia mpango wa milele ambao aliukamilisha ndani ya Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn g165)
Podle předuložení věčného, kteréž jest uložil v Kristu Ježíši Pánu našem, (aiōn g165)
12 Kwa kuwa katika Kristo tuna ujasiri na uwezo wa kuingia kwa ujasiri kwa sababu ya imani yetu kwake.
V němžto máme smělost a přístup s doufáním skrze víru jeho.
13 Kwa hiyo nawaomba msikate tamaa kwasababu ya mateso yangu kwa ajili yenu. Haya ni utukufu wenu.
Protož prosím, abyste nehynuli v čas soužení mých pro vás, kteráž jsou sláva vaše.
14 Kwa sababu hii napiga magoti kwa Baba.
A pro tu příčinu klekám na kolena svá před Otcem Pána našeho Jezukrista,
15 ambaye kwa yeye kila familia mbinguni na juu ya nchi imeitwa jina.
Z něhožto všeliká rodina na nebi i na zemi jmenuje se,
16 Ninaomba kwamba apate kuwanemesha, kutokana na utajiri wa utukufu wake, awafanye imara kwa nguvu kupitia Roho wake, ambaye yu ndani yenu.
Aby vám dal, podle bohatství slávy své, mocí posilněnu býti skrze Ducha svého na vnitřním člověku,
17 Ninaomba kwamba Kristo aishi ndani ya mioyo yenu kupitia imani.
Aby Kristus skrze víru přebýval v srdcích vašich,
18 Ninaomba kwamba muwe na shina na msingi wa upendo wake. Muwe katika pendo lake ili muweze kuelewa, pamoja na wote waaminio, jinsi upana, na urefu na kimo na kina cha upendo wa Kristo.
Abyste v lásce vkořeněni a založeni jsouce, mohli stihnouti se všemi svatými, kteraká by byla širokost, a dlouhost, a hlubokost, a vysokost,
19 Ninaomba Kwamba mjue ukuu wa upendo wa Kristo, ambao unazidi ufahamu. Mfanye haya ili mjazwe na ukamilifu wote wa Mungu.
A poznati přenesmírnou lásku Kristovu, abyste tak naplněni byli ve všelikou plnost Boží.
20 Na sasa kwake yeye awezaye kufanya kila jambo, zaidi ya yote tuyaombayo au tuyawazayo, kupitia nguvu yake itendayo kazi ndani yetu,
Tomu pak, kterýž mocen jest nade všecko učiniti mnohem hojněji, nežli my prosíme aneb rozumíme, podle moci té, kterouž dělá v nás,
21 kwake yeye kuwe utukufu ndani ya kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Tomu, pravím, buď sláva v církvi svaté skrze Krista Ježíše po všecky věky věků. Amen. (aiōn g165)

< Waefeso 3 >