< Waefeso 3 >

1 Kwa sababu ya hii mimi, Paulo, ni mfungwa wa Yesu Kristo kwa ajili yenu Mataifa.
Hote kong dawk, kai Pawl teh nangmouh Jentelnaw hane dawkvah Khrih Jisuh e thongkabawt lah ka o.
2 Na amini ya kwamba mmesikia juu ya kazi ya neema ya Mungu aliyo nipa kwa ajili yenu.
Nangmouh ni na thai tangcoung e patetlah kai koe na poe e Cathut lungmanae teh nangmouh hane dawk doeh kai ni ka khang.
3 Nawaandikieni kutokana na jinsi ufunuo ulivyo funuliwa kwangu. Huu ni ukweli uliyofichika ambao niliandika kwa kifupi kwenye barua nyingine.
A lungmanae kai koe panuesaknae lahoi lathueng lah youn touh ka thut tangcoung e patetlah, Cathut ni a pâphonae lahoi yah, hrolawk hah na panue sak.
4 Usomapo kuhusu haya, utaweza kutambua busara yangu katika ukweli huu uliofichika kuhusu Kristo.
Hote ca na touk awh pawiteh Khrih e hrolawk ka panue e hah na panue awh han.
5 Kwa vizazi vingine ukweli huu haukufanywa utambulike kwa wana wa watu. Ila kwa sasa umewekwa wazi kwa Roho kwa Mitume waliotengwa na Manabii.
Hote hrolawk hah tami kathoungnaw, gunceinaw hoi profetnaw koe atu e se nah Muitha lahoi a pâpho e patetlah alouke senaw dawk taminaw koe pâpho hoeh.
6 Ukweli huu uliofichika ni kwamba watu wa Mataifa ni washiriki wenzetu na wajumbe wenzetu wa mwili. Niwashiriki pamoja na ahadi ya Kristo Yesu kupitia injili.
Hote hrolawk teh Jentelnaw ni kamthang kahawi lahoi Isarelnaw hoi cungtalah râw a coe awh teh tak buet touh lah a onae lahoi Khrih Jisuh lahoi lawkkamnae hah cungtalah a hmawng van awh.
7 Na kwa hili nimefanyika mtumishi kwa zawadi ya neema ya Mungu iliyotolewa kwangu kupitia utendaji wa nguvu yake.
Hnosakthainae lahoi poehno a lungmanae hah kai koe na poe toe. Kai teh hote kamthang kahawi ka pâpho e san lah ka o.
8 Mungu alitoa zawadi hii kwangu, japo kuwa mimi ni mtu mdogo wa wote katika wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu. Zawadi hii ni kwamba inanipasa kuwatangazia mataifa injili yenye utajiri usiochunguzika wa Kristo.
Pâphue teh ka baw thai hoeh e Khrih e kuepnae kamthang kahawi hah Jentelnaw koe dei pouh hanelah,
9 inanipasa kuwaangazia watu wote juu ya nini ni mpango wa Mungu wa siri. Huu ni mpango ambao ulikuwa umefichwa kwa miaka mingi iliyopita, na Mungu ambaye aliviumba vitu vyote. (aiōn g165)
hnocawngca pueng hah Khrih lahoi yah, ka sak e Cathut dawkvah ayan e se pueng dawk hro lah kaawm e hote hrolawk hah tami pueng koe pâpho pouh hanelah kai teh tami kathoungnaw thung dawk, kathoungpounge naw hlak hai hoe kathounge lah ka o. (aiōn g165)
10 Hii ilikuwa kwamba, kupitia Kanisa, watawala na mamlaka katika sehemu za mbingu wapate kujua pande nyingi za asili ya hekima ya Mungu.
Bangkongtetpawiteh, maimae Bawipa Khrih Jisuh dawk a yungyoe pouknae a tawn e patetlah,
11 Haya yangetokea kupitia mpango wa milele ambao aliukamilisha ndani ya Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn g165)
kalvanlae bahunaw hoi hnosakthainae dawkvah, Cathut e kângairu a lungangnae hah Kawhmoun lahoi atuvah panue awh nahane doeh. (aiōn g165)
12 Kwa kuwa katika Kristo tuna ujasiri na uwezo wa kuingia kwa ujasiri kwa sababu ya imani yetu kwake.
Maimouh ni hote Bawipa yuemnae lahoi lungtang awh teh, Cathut koe kâhnai thainae tawn awh toe.
13 Kwa hiyo nawaomba msikate tamaa kwasababu ya mateso yangu kwa ajili yenu. Haya ni utukufu wenu.
Hatdawkvah, nangmae bawilennae hanlah ka khang e reithainae hah na hmu awh navah na lungpout awh hanh.
14 Kwa sababu hii napiga magoti kwa Baba.
Hete kongnaw dawkvah, khok ka cuengkhuem laihoi,
15 ambaye kwa yeye kila familia mbinguni na juu ya nchi imeitwa jina.
kalvan hoi talai kaawm e imthungkhu abuemlae a kungpui lah kaawm e, maimae Bawipa Jisuh Khrih e Pa hmalah ouk ka ratoum.
16 Ninaomba kwamba apate kuwanemesha, kutokana na utajiri wa utukufu wake, awafanye imara kwa nguvu kupitia Roho wake, ambaye yu ndani yenu.
Ouk ka ratoum e teh, Muitha lahoi yah, nangmae thung lae tami thao thasainae hoi a cak vaiteh,
17 Ninaomba kwamba Kristo aishi ndani ya mioyo yenu kupitia imani.
yuemnae lahoi Khrih ni nangmae lungthin thungvah ao nahan, lungpatawnae dawk patue e, tangpha a payang teh,
18 Ninaomba kwamba muwe na shina na msingi wa upendo wake. Muwe katika pendo lake ili muweze kuelewa, pamoja na wote waaminio, jinsi upana, na urefu na kimo na kina cha upendo wa Kristo.
tami kathoungnaw patetlah hnosakthainae na tawn awh teh, Khrih e lungpatawnae adung, asaw, arasang, akaw e hah kapek teh na panue thai awh nahan,
19 Ninaomba Kwamba mjue ukuu wa upendo wa Kristo, ambao unazidi ufahamu. Mfanye haya ili mjazwe na ukamilifu wote wa Mungu.
maimae panuenae lahoi panue thai hoeh e Jisuh Khrih e a lungpatawnae hah panue thai awh nahanlah Cathut e kuepnae hoi kawi awh nahan ouk ka ratoum.
20 Na sasa kwake yeye awezaye kufanya kila jambo, zaidi ya yote tuyaombayo au tuyawazayo, kupitia nguvu yake itendayo kazi ndani yetu,
Maimouh dawk kamnuek e a bawilennae patetlah maimouh ni pouk teh hei e hlak acawilah ka sak thai e Cathut ni,
21 kwake yeye kuwe utukufu ndani ya kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote milele na milele. Amina. (aiōn g165)
Khrih Jisuh lahoi Kawhmoun dawk talai apout hoehroukrak a yungyoe bawilen lawiseh. Amen. (aiōn g165)

< Waefeso 3 >