< Waefeso 2 >

1 Kama vile mlivyo kuwa mmekufa katika makosa na dhambi zenu.
Ви були мертвими через ваші переступи та гріхи,
2 Ilikuwa katika haya kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu. Mlikuwa mkienenda kwa kufuata mtawala wa mamlaka ya anga. Hii ndiyo roho yake yule afanyaye kazi katika wana wa kuasi. (aiōn g165)
в яких жили згідно зі звичаєм цього світу, за волею володаря, що панує в повітрі, духа, що нині діє в синах непокори, (aiōn g165)
3 Sisi wote hapo mwanzo tulikuwa miongoni mwa hawa wasioamini. Tulikuwa tukitenda kwa namna ya tamaa mbaya za miili yetu. Tulikuwa tukifanya mapenzi ya mwili na ufahamu wetu. Tulikuwa kwa asili wana wa ghadhabu kama wengine.
серед котрих і ми всі колись жили в бажаннях нашої плоті, виконуючи волю плоті й думок, та були від природи дітьми гніву, як і інші.
4 Lakini Mungu ni mwingi wa rehema kwa sababu ya pendo lake kubwa alilotupenda sisi.
Але Бог, Який багатий на милість, через Свою велику любов, якою Він нас полюбив,
5 Wakati tulipokuwa wafu katika makosa yetu, alituleta pamoja katika maisha mapya ndani ya Kristo. Ni kwa neema kwamba mmeokolewa.
нас, мертвих через переступи, оживив разом із Христом – благодаттю ви були спасенні!
6 Mungu alitufufua pamoja na kutufanya kukaa pamoja katika mahali pa mbingu ndani ya Kristo Yesu.
Він воскресив нас разом із Христом і разом із Ним посадив нас у небесні сфери в Христі Ісусі,
7 Alifanya hivi ili katika nyakati zijazo aweze kutuonesha utajiri mkuu wa neema yake. Hutuonesha sisi hili kwa njia ya wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
щоб показати в майбутніх віках безмірне багатство Своєї благодаті в доброті до нас у Христі Ісусі. (aiōn g165)
8 Kwa neema mmeokolewa kwa njia ya imani. Na hii haikutoka kwetu. Ni zawadi ya Mungu.
Адже благодаттю ви були спасенні через віру, і це не ваша заслуга, а Божий дар,
9 Haitokani na matendo. Matokeo yake, asiwepo mmoja wapo wa kujisifu.
не на основі вчинків, щоб ніхто не вихвалявся.
10 Kwa sababu sisi tu kazi ya Mungu, tumeumbwa katika Kristo Yesu kutenda matendo mema. Ni matendo haya ambayo Mungu aliyapanga tangu zamani za kale kwa ajili yetu, ili tutembee katika hayo.
Тому що ми – Його творіння, створені в Христі Ісусі для добрих діл, які Бог підготував заздалегідь, щоб ми перебували в них.
11 Kwa hiyo kumbukeni kwamba hapo zamani mlikuwa watu wa Mataifa kwa jinsi ya mwili. Mnaitwa “msio na tohara” kwa kile kinachoitwa tohara ya mwili inayofanywa kwa mikono ya binadamu.
Тому згадайте, що колись за тілом ви були язичниками, яких називають необрізаними ті, хто обрізаний людською рукою.
12 Kwa wakati huo mlikuwa mmetengwa na Kristo. Mlikuwa wageni kwa watu wa Israel. Mlikuwa wageni kwa agano la ahadi. Hamkuwa na uhakika wa wakati ujao. Mlikuwa bila Mungu katika ulimwengiu.
Адже в той час ви були без Христа, відчужені від громади Ізраїля, чужі завітам обітниці, без надії і без Бога у світі.
13 Lakini sasa katika Kristo Yesu ninyi ambao hapo mwanzo mlikuwa mbali na Mungu mmeletwa karibu na Mungu kwa damu ya Kristo.
Але нині в Христі Ісусі ви, що колись були далекими, стали близькими через кров Христа.
14 Kwa maana yeye ndiye amani yetu. Alifanya wawili kuwa mmoja. Kwa mwili wake aliuharibu ukuta wa utengano ambao ulikuwa umetutenganisha, huo uadui.
Бо Він – наш мир, Який зробив із двох одне, зруйнувавши у Своєму тілі стіну, що розділяла їх, [тобто] ворожнечу.
15 Kwamba alikomesha sheria ya amri na kanuni ili kwamba aumbe mtu mmoja mpya ndani yake. Akafanya amani.
[Він] скасував Закон заповідей з [його] правилами, щоб із двох – [юдеїв і язичників] – створити в Собі одне нове людство, встановивши [таким чином] мир,
16 Alifanya hivi ili kuwapatanisha makundi mawili ya watu kuwa mwili mmoja kwa Mungu kupitia msalaba. Kwa njia ya msalaba aliufisha uadui.
і обох примирити з Богом в одному тілі через хрест, усунувши в Собі ворожнечу.
17 Yesu alikuja na kutangaza amani kwenu ninyi mliokuwa mbali na amani kwao wale waliokuwa karibu.
Він прийшов і звістив мир вам, далеким, і мир вам, близьким,
18 Kwa maana kwa njia ya Yesu sisi wote wawili tuna nafasi kwa yule Roho mmoja kuingia kwa Baba.
адже через Нього ми, одні й другі, маємо доступ до Отця в одному Дусі.
19 Hivyo basi, ninyi watu wa mataifa si wasafiri na wageni tena. Bali ni wenyeji pamoja na wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu na wajumbe katika nyumba ya Mungu.
Отже, ви більше не сторонні й не чужинці, а співгромадяни святих і домашні для Бога,
20 Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii. Kristo Yesu mwenyewe alikuwa jiwe kuu la pembeni.
збудовані на основі апостолів та пророків, де наріжним каменем є Сам Христос Ісус,
21 Katika yeye jengo lote limeungamanishwa pamoja na kukua kama hekalu ndani ya Bwana.
в Якому вся будівля, побудована гармонійно, зростає у святий храм у Господі.
22 Ni ndani yake ninyi nanyi mnajengwa pamoja kama mahali pa kuishi pa Mungu katika Roho.
У Ньому й ви збудовуєтеся разом у Божу оселю в Дусі.

< Waefeso 2 >