< Waefeso 2 >

1 Kama vile mlivyo kuwa mmekufa katika makosa na dhambi zenu.
U biyi wa bina khu nimi latre, Bina zrren ni tu konumgbungblu yi.
2 Ilikuwa katika haya kwamba kwanza mlienenda kulingana na nyakati za ulimwengu huu. Mlikuwa mkienenda kwa kufuata mtawala wa mamlaka ya anga. Hii ndiyo roho yake yule afanyaye kazi katika wana wa kuasi. (aiōn g165)
Bi na ta hu mgbyemgbyle cuugbungbhulu meme brji kimayi nitindu ni mi mrli bi hanton. (aiōn g165)
3 Sisi wote hapo mwanzo tulikuwa miongoni mwa hawa wasioamini. Tulikuwa tukitenda kwa namna ya tamaa mbaya za miili yetu. Tulikuwa tukifanya mapenzi ya mwili na ufahamu wetu. Tulikuwa kwa asili wana wa ghadhabu kama wengine.
Khi nata son nimi ndi biki, nita ti meme kpe bi wa kpa bu ni sona, ni ta tie ndu ukpa ni u sron mbu. khi na mrli bi fu na brunrji.
4 Lakini Mungu ni mwingi wa rehema kwa sababu ya pendo lake kubwa alilotupenda sisi.
U Rji hi u wruhle don ani sonta kpukpome.
5 Wakati tulipokuwa wafu katika makosa yetu, alituleta pamoja katika maisha mapya ndani ya Kristo. Ni kwa neema kwamba mmeokolewa.
Wa khi na khwu nimi latrembu, a kata ti sisren nimi Kristi nitu zizi ma a kpata cuwo.
6 Mungu alitufufua pamoja na kutufanya kukaa pamoja katika mahali pa mbingu ndani ya Kristo Yesu.
irji tata shiben ni Kristi na duta son ni bubu riri ni Kristi Yesu.
7 Alifanya hivi ili katika nyakati zijazo aweze kutuonesha utajiri mkuu wa neema yake. Hutuonesha sisi hili kwa njia ya wema wake ndani ya Kristo Yesu. (aiōn g165)
Ni ngbungblu u ye ani tsrota zizi nitu Yesu. (aiōn g165)
8 Kwa neema mmeokolewa kwa njia ya imani. Na hii haikutoka kwetu. Ni zawadi ya Mungu.
Nitu zizi ba kpayi cuwo, nitu kpanyyeme, anatie bina, anhi nu.
9 Haitokani na matendo. Matokeo yake, asiwepo mmoja wapo wa kujisifu.
Ana ni ton dubina du ndjio na wru wo nisamna.
10 Kwa sababu sisi tu kazi ya Mungu, tumeumbwa katika Kristo Yesu kutenda matendo mema. Ni matendo haya ambayo Mungu aliyapanga tangu zamani za kale kwa ajili yetu, ili tutembee katika hayo.
Khi hi kphi nundu u rhji wa a tieta ni mi Yesu Kristi duta ti kpe ndindi wa'a Rhji a yo sron ni sen ni tawu'a
11 Kwa hiyo kumbukeni kwamba hapo zamani mlikuwa watu wa Mataifa kwa jinsi ya mwili. Mnaitwa “msio na tohara” kwa kile kinachoitwa tohara ya mwili inayofanywa kwa mikono ya binadamu.
Ta mre bina bi kora nikpa. bata yoyi di bi wa bana yojia na, yoji ukpa wadi indi mba nitiea.
12 Kwa wakati huo mlikuwa mmetengwa na Kristo. Mlikuwa wageni kwa watu wa Israel. Mlikuwa wageni kwa agano la ahadi. Hamkuwa na uhakika wa wakati ujao. Mlikuwa bila Mungu katika ulimwengiu.
Ninton kima bana gayi ni kristi. Bina bira ni Isra'ila ni bitsri ni yo'nyu Rrji, ndi na he ni yo sron ni kperi na ndi nahe ni Rrji ni ngbu ngblu'a na
13 Lakini sasa katika Kristo Yesu ninyi ambao hapo mwanzo mlikuwa mbali na Mungu mmeletwa karibu na Mungu kwa damu ya Kristo.
U zizan ni mi Kristi Yesu biyi wa bishe gbugban mu ni Rrji'a, ba jiyi ye whe wjre nitu yi Kristi.
14 Kwa maana yeye ndiye amani yetu. Alifanya wawili kuwa mmoja. Kwa mwili wake aliuharibu ukuta wa utengano ambao ulikuwa umetutenganisha, huo uadui.
Ahe si mbu. A ka ta tie ri Ni kpa ma ba zi nt'mo wandi a gata ni kpambu'a.
15 Kwamba alikomesha sheria ya amri na kanuni ili kwamba aumbe mtu mmoja mpya ndani yake. Akafanya amani.
A wu du u tron da tie ndi sama nimikpa ma. Nda ji siye.
16 Alifanya hivi ili kuwapatanisha makundi mawili ya watu kuwa mwili mmoja kwa Mungu kupitia msalaba. Kwa njia ya msalaba aliufisha uadui.
Kristi a katu ndi ha kabru nikpari ni kukron, nda wu meme fu.
17 Yesu alikuja na kutangaza amani kwenu ninyi mliokuwa mbali na amani kwao wale waliokuwa karibu.
Yesu ye ndaji si ni yuwu wa bina he gbu gban mu'a nda ji si ye nibi wa bahe whyewhyre me'a.
18 Kwa maana kwa njia ya Yesu sisi wote wawili tuna nafasi kwa yule Roho mmoja kuingia kwa Baba.
Ni tu Yesu ki fe nkon wawumbu ni mi brji ndindi heni ntie.
19 Hivyo basi, ninyi watu wa mataifa si wasafiri na wageni tena. Bali ni wenyeji pamoja na wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu na wajumbe katika nyumba ya Mungu.
Zizan biyi bi striba bina la bi tsri gana bi kpan ni mrli ko Rrji.
20 Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii. Kristo Yesu mwenyewe alikuwa jiwe kuu la pembeni.
Bi he biwa bi kpanci manzani ba anabawa. Baci yesu ni tuma wawuyi hi tita u me'a.
21 Katika yeye jengo lote limeungamanishwa pamoja na kukua kama hekalu ndani ya Bwana.
Nimi mayi ba me kabi, basi babran na hekali nimi Baci
22 Ni ndani yake ninyi nanyi mnajengwa pamoja kama mahali pa kuishi pa Mungu katika Roho.
Ni mi mbayi biyi game bi kabi na bubu u son u rhji ni mi brji janji.

< Waefeso 2 >