< Waefeso 1 >

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, kwa waliotengwa kwa ajili ya Mungu walioko Efeso na ambao ni waaminifu katika Kristo Yesu.
מאת פולוס, שליחו של ישוע המשיח לפי רצון אלוהים. אל כל המאמינים המשיחיים, הנאמנים והקדושים, אשר נמצאים ‎ בְּאֶפֶסוֹס.
2 Neema iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
חסד ושלום לכם מאת האלוהים אבינו וישוע המשיח אדוננו.
3 Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo apewe sifa. Ni yeye aliyetubariki kwa kila baraka za kiroho, katika mahali pa mbingu ndani ya Kristo.
אנחנו מברכים את האלוהים, אבי אדוננו ישוע המשיח, אשר ברך אותנו בכל ברכות השמים בזכות השתייכותנו למשיח.
4 Kabla ya kuumbwa ulimwengu, Mungu alituchagua sisi ambao tunaamini katika Kristo. Alituchagua sisi ili tuweze kuwa watakatifu na tusiolaumika mbele yake.
עוד לפני שברא אלוהים את העולם הוא בחר אותנו בזכות המשיח, כדי לקדשנו ולהעמידנו לפניו ללא כל חטא או דופי.
5 Katika pendo Mungu alituchagua mwanzo kwa kututwaa kama watoto wake kwa njia ya Yesu Kristo. Alifanya hivi kwa sababu alipendezwa kufanya kile alichotamani.
באהבתו הרבה ומרצונו הטוב הוא אימץ אותנו לבניו על־ידי ישוע המשיח.
6 Matokeo yake ni kwamba Mungu anatukuzwa kwa neema ya utukufu wake. Hiki ndicho alichotupatia bure kwa njia ya mpendwa wake.
כל הכבוד, התהילה והשבח לאלוהינו על טוב־לבו וחסדו, ועל הברכות שברך אותנו בזכות השתייכותנו לבנו האהוב.
7 Kwa kuwa katika mpendwa wake, tunaukombozi kupitia damu yake, msamaha wa dhambi. Tunalo hili kwa sababu ya utajiri wa neema yake.
אלוהים הוא טוב ורחמן כל־כך, עד שגאל אותנו מחטאינו, במחיר דמו של המשיח, וסלח לנו על כל פשעינו.
8 Alifanya neema hii kuwa nyingi kwa ajili yetu katika hekima na ufahamu.
וכל זאת הוא נתן לנו ברוחב־לב, בחכמה ובהבנה.
9 Mungu alifanya ijulikane kwetu ile kweli iliyofichika ya mpango, kutokana na hamu iliyodhihirishwa ndani ya Kristo.
אלוהים גילה את מטרתו הסודית והנעלה בשליחת המשיח, תוכנית שבחר ברחמיו עוד לפני זמן רב.
10 Wakati nyakati zimetimia kwa utimilifu wa mpango wake, Mungu ataviweka pamoja kila kitu cha mbinguni na cha juu ya nchi ndani ya Kristo.
וזוהי המטרה: בהגיע הזמן המיועד הוא יאסוף את כולנו מכל מקום, מהארץ ומהשמים.
11 Katika Kristo tulikuwa tumechaguliwa na kukusudiwa kabla ya wakati. Hii ilikuwa ni kutokana na mpango wa anayefanya vitu vyote kwa kusudi la mapenzi yake.
לפי תוכניתו הנדיבה הכין לנו אלוהים נחלה במשיח. עוד מבראשית הוא בחר בנו להיות שלו, והכול מתרחש בדיוק כפי שהחליט מאז ומעולם.
12 Mungu alifanya hivyo ili kwamba tuweze kuwapo kwa sifa ya utukufu wake. Tulikuwa wa kwanza kuwa na ujasiri ndani ya Kristo.
אלוהים עשה זאת כדי שאנו, שהיינו המאמינים הראשונים במשיח, נשבח ונפאר את שמו, וניתן לו כבוד על שעשה למעננו את הדברים הנפלאים האלה.
13 Ilikuwa kwa njia ya Kristo kwamba mlisikia neno la kweli, injili ya wokovu wenu kwa njia ya Kristo. Ilikuwa katika yeye pia kwamba mmeamini na kutiwa mhuri na Roho Mtakatifu aliye ahidiwa.
גם אתם, ששמעתם את הבשורה אחרינו והאמנתם במשיח, נושעתם ונחתמתם כשייכים למשיח, באמצעות רוח הקודש אשר הובטח לכל המאמינים עוד לפני זמן רב.
14 Roho ndiyo dhamana ya urithi wetu mpaka umiliki utakapopatikana. Hii ilikuwa ni kwa sifa ya utukufu wake.
נוכחותו של רוח הקודש בתוכנו היא הערובה שאלוהים באמת יעניק לנו כל מה שהבטיח, וחותם הרוח בנו פירושו שאלוהים קנה אותנו ויביאנו אליו. זוהי סיבה נוספת לנו לפאר ולשבח את אלוהינו.
15 Kwa sababu hii, tangu wakati niliposikia kuhusu imani yenu ndani ya Bwana Yesu na kuhusu pendo lenu kwa wale wote ambao wametengwa kwa ajili yake.
משום כך, מאז ששמעתי על אמונתכם החזקה באדון ישוע, ועל אהבתכם למאמינים המשיחיים בכל מקום,
16 Sijaacha kumshukuru Mungu kwa ajili yenu na kuwataja katika maombi yangu.
לא חדלתי להודות לאלוהים עבורכם. אני מתפלל בעדכם כל הזמן; אני מבקש מאלוהי אדוננו ישוע המשיח, מאבי הכבוד, שיעניק לכם רוח חכמה, כדי שתראו ותבינו מיהו המשיח ומה עשה למעננו.
17 Ninaomba kwamba Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, baba wa utukufu, atawapeni roho ya hekima, mafunuo ya ufahamu wake.
18 Ninaomba kwamba macho yenu ya moyoni yatiwe nuru kwa ninyi kujua ni upi ujasiri wa kuitwa kwenu. Naomba kwamba mjue utajiri wa utukufu wa urithi wake miongoni mwa wale waliotengwa kwa ajili yake.
אני מתפלל שאורו יציף את לבבכם ושעיניכם תיפקחנה, למען תוכלו לראות ולדעת מהי הקריאה שהועיד לכם, ומה עשירות ונפלאות הן הברכות שהבטיח למאמינים בו.
19 Naomba kwamba ujue ukuu uzidio wa nguvu yake ndani yetu ambao tunaamini. Huu ukuu ni kutokana na kufanya kazi katika nguvu zake.
אני מתפלל שתבינו מה עצום הכוח שהעמיד אלוהים לרשות המאמינים בו; הוא העמיד לרשותנו את אותו הכוח העצום, אשר הקים את המשיח מן המתים והושיבו במקום הכבוד לימין האלוהים בשמים,
20 Hii ni nguvu iliyofanya kazi ndani ya Kristo wakati Mungu alipomfufua kutoka kwa wafu na kumketisha katika mkono wake wa kuume katika mahali pa mbingu.
21 Alimketisha Kristo juu mbali na utawala, mamlaka, nguvu, enzi, na kila jina litajwalo. Alimketisha Yesu si tu kwa wakati huu lakini kwa wakati ujao pia. (aiōn g165)
מעל לכל מלך, שליט או מנהיג. כן, כבודו גדול, מלא־הדר ורב־רושם יותר מזה של כל אחד אחר בעולם הזה או בעולם הבא. (aiōn g165)
22 Mungu amevitiisha vitu vyote chini ya miguu ya Kristo. Amemfanya yeye kichwa juu ya vitu vyote katika kanisa.
אלוהים שם לרגליו את הכול, ומינה אותו לראש הקהילה,
23 Ni kanisa kwamba ndilo mwili wake, ukamilifu wake ambaye hujaza vitu vyote katika njia zote.
אשר היא גופו ואשר מלאה במי שממלא את הכול.

< Waefeso 1 >