< Waefeso 1 >
1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, kwa waliotengwa kwa ajili ya Mungu walioko Efeso na ambao ni waaminifu katika Kristo Yesu.
Павел, с божията воля апостол Исус Христов, до светиите и верните в Христа Исуса, които са в Ефес:
2 Neema iwe kwenu na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
Благодат и мир да бъде на вас от Бога, нашия Отец, и от Господа Исуса Христа.
3 Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo apewe sifa. Ni yeye aliyetubariki kwa kila baraka za kiroho, katika mahali pa mbingu ndani ya Kristo.
Благословен да бъде Бог и Отец на нашия Господ Исус Христос, Който в Христа ни е благословил с всяко духовно благословение в небесни места;
4 Kabla ya kuumbwa ulimwengu, Mungu alituchagua sisi ambao tunaamini katika Kristo. Alituchagua sisi ili tuweze kuwa watakatifu na tusiolaumika mbele yake.
като ни е избрал в Него преди създанието на света, за да бъдем свети и без недостатък пред Него в любов;
5 Katika pendo Mungu alituchagua mwanzo kwa kututwaa kama watoto wake kwa njia ya Yesu Kristo. Alifanya hivi kwa sababu alipendezwa kufanya kile alichotamani.
като ни е предопределил да Му бъдем осиновени чрез Исуса Христа, по благоволението на Своята воля,
6 Matokeo yake ni kwamba Mungu anatukuzwa kwa neema ya utukufu wake. Hiki ndicho alichotupatia bure kwa njia ya mpendwa wake.
за похвала на славната Си благодат, с която ни е обдарил във Възлюбения Си,
7 Kwa kuwa katika mpendwa wake, tunaukombozi kupitia damu yake, msamaha wa dhambi. Tunalo hili kwa sababu ya utajiri wa neema yake.
в Когото имаме изкуплението си чрез кръвта Му, прощението на прегрешенията ни, според богатството на Неговата благодат,
8 Alifanya neema hii kuwa nyingi kwa ajili yetu katika hekima na ufahamu.
която е направил да доставя нам изобълно всяка мъдрост и разумение,
9 Mungu alifanya ijulikane kwetu ile kweli iliyofichika ya mpango, kutokana na hamu iliyodhihirishwa ndani ya Kristo.
като ни е открил тайната на волята Си според благото намерение, което е положил в Себе Си,
10 Wakati nyakati zimetimia kwa utimilifu wa mpango wake, Mungu ataviweka pamoja kila kitu cha mbinguni na cha juu ya nchi ndani ya Kristo.
за да се приложи когато се изпълнят времената, сиреч, да се събере в Христа всичко
11 Katika Kristo tulikuwa tumechaguliwa na kukusudiwa kabla ya wakati. Hii ilikuwa ni kutokana na mpango wa anayefanya vitu vyote kwa kusudi la mapenzi yake.
в Него казвам, в Когото станахме и наследство, като бяхме предопределени на това според намерението на Бога, Който действува във всичко по решението на Своята воля,
12 Mungu alifanya hivyo ili kwamba tuweze kuwapo kwa sifa ya utukufu wake. Tulikuwa wa kwanza kuwa na ujasiri ndani ya Kristo.
тъй щото, да бъдем за похвала на неговата слава ние, които отнапред се надяехме на Христа,
13 Ilikuwa kwa njia ya Kristo kwamba mlisikia neno la kweli, injili ya wokovu wenu kwa njia ya Kristo. Ilikuwa katika yeye pia kwamba mmeamini na kutiwa mhuri na Roho Mtakatifu aliye ahidiwa.
в Когото и вие, като чухте словото на истината, сиреч благовестието на нашето спасение,
14 Roho ndiyo dhamana ya urithi wetu mpaka umiliki utakapopatikana. Hii ilikuwa ni kwa sifa ya utukufu wake.
който е залог на нашето наследство, догде бъде изкупено притежанието на Бога,
15 Kwa sababu hii, tangu wakati niliposikia kuhusu imani yenu ndani ya Bwana Yesu na kuhusu pendo lenu kwa wale wote ambao wametengwa kwa ajili yake.
Затова и аз като чух за вярата ви в Господа Исуса и за любовта, която сте показали към всичките светии,
16 Sijaacha kumshukuru Mungu kwa ajili yenu na kuwataja katika maombi yangu.
непрестанно благодаря Богу за вас и ви опоменавам в молитвите си,
17 Ninaomba kwamba Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, baba wa utukufu, atawapeni roho ya hekima, mafunuo ya ufahamu wake.
дано Бог на нашия Господ Исус Христос, славният Отец, ви даде дух на мъдрост и на откровение, за да го познаете,
18 Ninaomba kwamba macho yenu ya moyoni yatiwe nuru kwa ninyi kujua ni upi ujasiri wa kuitwa kwenu. Naomba kwamba mjue utajiri wa utukufu wa urithi wake miongoni mwa wale waliotengwa kwa ajili yake.
и да просвети очите на сърцето ви, за да познаете, каква е надеждата, към която ви призовава, какво е богатството между светиите на славното от Него наследство,
19 Naomba kwamba ujue ukuu uzidio wa nguvu yake ndani yetu ambao tunaamini. Huu ukuu ni kutokana na kufanya kazi katika nguvu zake.
и колко превъзходно велика е силата Му към нас вярващите
20 Hii ni nguvu iliyofanya kazi ndani ya Kristo wakati Mungu alipomfufua kutoka kwa wafu na kumketisha katika mkono wake wa kuume katika mahali pa mbingu.
с която подействува в Христа, когато Го възкреси от мъртвите и Го тури да седне от дясната Си страна на небесата,
21 Alimketisha Kristo juu mbali na utawala, mamlaka, nguvu, enzi, na kila jina litajwalo. Alimketisha Yesu si tu kwa wakati huu lakini kwa wakati ujao pia. (aiōn )
далече по-горе от всяко началство и власт, сила и господство, и всяко име, от което се именуват, не само в тоя свят, но и в бъдещия. (aiōn )
22 Mungu amevitiisha vitu vyote chini ya miguu ya Kristo. Amemfanya yeye kichwa juu ya vitu vyote katika kanisa.
И всичко покори под нозете Му, и постави Го да бъде глава над всичко в църквата,
23 Ni kanisa kwamba ndilo mwili wake, ukamilifu wake ambaye hujaza vitu vyote katika njia zote.
която е Негово тяло, изпълнено с пълнотата на Този, който изпълнява всичко във всички.