< Mhubiri 9 >

1 Kwa kuwa nilifikiri haya yote katika akili zangu kufahamu kuhusu watu wenye haki na wenye hekima na matendo yao. Wote wako katika mikono ya Mungu. Hakuna anayefahamu kama upendo au chuki itakuja kwa mtu.
Hiche jonghi keiman chingthei tah in ka khol in: Pathen ngaisah hole miching ho jong Pathen khutna uma ahiuvin, amaho hi Pathen’in ahepi ding hinauvem ti koima ahetoh’a aumpoi.
2 kila mmoja ana mwisho sawa. Mwisho sawa una subiria watu wenye haki na waovu, wema, walio safi na wasio safi, yeye atoaye dhabibu na yule asiye dhabihu. Kama vile watu wema watakufa wenye dhambi nao watakufa vivyo hivyo. kama vile yule anayeapa atakavyo kufa, vivyo hivyo mtu yule aogopaye kuweka kiapo naye atakufa.
Mi tinin atonsot mun diu ngah jinga uma ahiuve, michonpha hihen, migilou hijong leh, mipha hihen, miphalou hijongleh, athenga kigel ho hiuhen, athenglou hijongleu, hou ngaisah hihen, hou ngaisahlou hijongleh, mipha hon jong michonse ho bangma’a Pathen’a kitepna neiho jong kitepna neilouho toh kithakhatma ahije.
3 Kuna mwisho mwovu kwa kila kitu kinachofanyika chini ya jua, na mwisho kwa kila mtu. Moyo wa mwanadamu umejaa uovu, na wazimu uko katika mioyo yao wakati wanaishi. Hivyo baada ya hilo wanaenda kwa wafu.
Amitakip nipi noija umho jouse chan kibanga athiltou hi lungdon umtah ahi. Hitobang hohin thilpha bolbe nadinga ching thei lou’uva ahi. Chusang in amahon angol nau joh chu aki deilhen uve, ajeh chu amaho kinepna neilou ahiuve. Amasang uva imacha dang umlou thina bou chu uma ahi.
4 Kwa kuwa yeyote anayeungana na wote walio hai kuna tumaini, kama vile mbwa aliye hai ni bora kuliko simba aliye kufa.
Mihing ding in kinepna bou aum’e. Ama hon asei uvin, “Uicha hing chu keipi thisa sangin aphachom joi.”
5 Kwa kuwa watu walio hai, lakini walio kufa hawajui chochote. Hawana tena tuzo yeyote kwa sababu kumbukumbu yao imesahaulika.
Mihngho chun athi diu beh akihet’uvin, hinlah athisa hon imacha ahe tapouve.
6 Upendo wao, chuki na wivu vimekatiliwa mbali muda mwingi. Hawatapata sehemu katika kitu chochote kinachofanyika chini ya jua.
Amahon ahinkhouva ipi hijongleh abholchanu chu ki-ngailut, ki-thet, ki-mitthip abonna achemangsa ahitai. Amahon hiche leiset chunga hin bolbe ding anei tapouve.
7 Nenda zako, kula mkate wako kwa furaha, na kunywa mvinyo wako na moyo wa furaha, kwa kuwa Mungu huruhusu kusherehekea kazi njema.
Hijeh chun na-an chu kipah thanomtah in nen, chule na-lengpitwi chu lung kipah pum in don in, ajeh chu Pathen’in hichu aphatsah ahi.
8 Nguo zako ziwe nyeupe siku zote, na kichwa chako kipake mafuta.
Von hoipen chun kivon in, chule lou namtui chu kinu-in.
9 Ishi kwa furaha na mwanamke umpendaye siku zako zote za maisha yako ya ubatili, siku ambazo Mungu amekupatia chini ya jua wakati wa siku zako za ubatili. Hiyo ni thawabu kwa ajili ya kazi yako chini ya jua.
Numei nangailutnu chuto nipi noija Pathen’in napeh nahinkho umpet chun kipahtah in hing khom in. Najia nanei chuto phaten hingkhom lhon in.
10 Chochote mkono wako unakifanya, kifanye kwa nguvu zako kwa sababu hakuna kazi, au ufafanuzi au ujuzi au hekima katika Sheol, unapoenda. (Sheol h7585)
Nabol chan chu hoitah’in bol tan. Ajeh chu nangma lhankhuh’a na chetengleh natoh ding um talou ding, tohgon jong um talou ding, hetna jeng jong umta pontin, chihna geija bei ding ahitai. (Sheol h7585)
11 Nimeona baadhi ya vitu vyakuvutia chini ya jua: Mashindano hayatokani na watu wenye mbio. Vita havitokani na watu imara. Mkate hautokani na watu wenye busara. Mali hazitokani na watu wenye ufahamu. Kibali hakitokani na watu wenye ujuzi. Badala yake muda na bahati huwaathiri wao wote.
Keiman nipi noija adang chom khat jong ka mudoh’e. Lhaija hat penpan jong kipaman amu jing ahipoi, chule galsatna hatpenpa jeng jong chu galjona chang jing ahipoi. Miching jong chu kelthoh’a avale jipet aum in, chule khut them hon jong lungkimna amudeh pouve. Chule lekhathem tahho jong chu lolhinna hinkho mang jinga ahipouve. Hiche ho jouse hi vang'in apohji ahin, hitia chu aphatcha amuna gatoh kha kiti ahi.
12 Kwa kuwa hakuna anaye fahamu wakati wake wa kufa, kama vile samaki wanaswavyo katika nyavu ya kifo, au kama vile ndege akamatwavyo katika mtego. Kama wanyama wanadamu wamefungwa katika nyakati mbaya ambazo ghafla huwaangukia.
Itobang phat hahsa hunglhung ding ahi koima asei theija aum poi. Ngalen sung’a um vacha athangkol sunga um tobang'in miho chu phulou helouvin hamset nan apha jiuve.
13 Pia nimeona hekima chini ya jua kwa namna ambayo kwangu ilionekana kubwa.
Hichea hin chihna themkhat keima vannoi khosah dan hin eilung lut sah aume.
14 Kulikuwa na mji mdogo na watu wachache ndani yake, na mfalme mkuu akaja kinyume na mji huo na akauzingira na akajenga mahandaki kwa ajili ya kuushambulia.
Khopi neocha khat asunga cheng mijong themkhat bou ahiuve, chule leng lentah khat chu asepai hotoh ahung un, khopi chu aum kimvel tauve.
15 Na katika mji kulikuwa na masikini, mtu mwenye hekima, ambaye kwa hekima yake aliuokoa mji. Ila baadaye aliye mkumbuka yule masikini.
Mivaicha, michingtah khat chun hiche khopi chu iti huhdoh ding ahi ahen, chule hitichun huhdoh in aumtai. Hinlah hiche jou chun koima chan akoma kipa thu aseipouve.
16 Hivyo, nikasema, “Hekima ni bora kuliko nguvu, lakini hekima ya mtu masikini hudharauliwa, na maneno yake hayasikilizwi.”
Hiti chun, chihna hi thahat sanga aphatjoh vang'in, miching chu avaichatleh mi nahsahmo achang e. Athuseidoh ho chu kipapi sotna koiman anei poi.
17 Maneno ya watu wenye hekima yaliongewa polepole yanasikiwa vizuri kuliko makelele ya mtawala yeyote miongoni mwa wapumbavu.
Leng ngolpa kisen aw jahsang in michingpan olcha thu asei jah nom aum joi.
18 Hekima ni bora kuliko silaha za vita, lakini mwenye dhambi mmoja anaweza kuharibu mazuri mengi.
Galman chah hoa kivon kichei sang in chih thujah apha joi. Hinlah michonse khat chun apha tampi asuh mang thei joh ahi.

< Mhubiri 9 >