< Mhubiri 7 >

1 Jina zuri ni bora kuliko manukato ya gharama, na siku ya kufa ni bora kuliko siku ya kuzaliwa.
Laba slava ir labāka nekā salda eļļa, un miršanas diena labāka nekā dzimšanas diena.
2 Ni bora kwenda kwenye nyumba ya maombolezo kuliko nyumba ya karamu, kwa kuwa maombolezo huja kwa watu wote wakati wa mwisho wa uhai, kwa hiyo watu wanaoishi ni lazima waweke hili moyoni.
Labāki ir vaidu namā iet nekā dzīru namā; jo tas ir visu cilvēku gals, un tas, kas dzīvo, to ņem pie sirds.
3 Huzuni ni bora kuliko kicheko, kwa kuwa baada ya uso wa huzuni huja furaha ya moyo.
Noskumt ir labāki nekā smieties; jo kad vaigs noskumis, tas sirdij labi.
4 Moyo wa mwenye hekima uko katika nyumba ya maombolezo, lakini moyo wa wapumbavu uko katika nyumba ya karamu.
Gudru ļaužu sirds ir vaidu namā, bet ģeķu sirds ir prieku namā.
5 Ni bora kusikiliza maonyo ya mtu mwenye hekima kuliko kusikiliza wimbo wa wapumbavu.
Labāk ir klausīties gudra vīra rāšanu, nekā klausīties ģeķa dziesmu.
6 Kwa kuwa kama mlio wa miiba chini ya chungu, ndivyo kilivyo kicheko cha wapumbavu. Huu pia ni mvuke.
Jo kā ērkšķi sprakst apakš poda, tāpat ir ģeķa smiešanās, - tā ir arī niecība.
7 kweli jeuri humfanya mtu mwenye hekima kuwa mpumbavu, na rusha huharibu moyo.
Tiešām, netaisna peļņa arī gudru padara neprātīgu, un dāvanas samaitā sirdi.
8 Ni heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo; na watu wenye uvumilivu ni bora kuliko wenye majivuno rohoni.
Labāks ir kādas lietas gals nekā viņas iesākums. Lēnprātīgais ir labāks nekā lepnais.
9 Usikasirike haraka rohoni mwako, kwa sababu hasira hukaa katika mioyo ya wapumbavu.
Neesi ātrs savā prātā dusmot, jo dusmība mājo ģeķu azotē.
10 Usiseme, “Kwa nini siku za zamani zilikuwa bora kuliko siku hizi?” Kwa kuwa sio kwa sababu ya hekima kwamba unauliza swali hili.
Nesaki: kā tas nāk, ka senās dienas bijušas labākas nekā šīs! Jo ar gudrību tu to nevaicā.
11 Hekima ni njema kama vitu vya thamani tunavyorithi kutoka kwa wazazi wetu. Inatoa faida kwa wale wanaoliona jua.
Gudrība ir tik laba kā mantība un labums tiem, kas sauli redz.
12 Kwa kuwa hekima hutoa ulinzi kama vile fedha inavyoweza kutoa ulinzi, lakini faida ya maarifa ni kwamba hekima humpa uhai kwa yeyote aliye nayo.
Jo gudrības pavēnī ir kā naudas pavēnī; un tas ir atzīšanas labums, ka gudrība dod dzīvību tiem, kam tā ir.
13 Tafakaria matendo ya Mungu: Ni nani awezaye kuimarisha chochote alichokipindisha?
Uzlūko Dieva darbu, jo kas to var darīt taisnu, ko viņš ir darījis līku?
14 Wakati nyakati vinakuwa njema, ishi kwa furaha katika hali hiyo, lakini wakati unapokuwa mbaya, tafakari hili: Mungu ameruhusu hali zote ziwepo, Kwa sababu hii, hakuna mwanadamu yeyote atakaye fahamu chochote kinacho kuja baada yake.
Baudi labumu labā dienā, bet ļaunu dienu ņem arī par labu; jo Dievs dara gan šo gan to, tāpēc ka cilvēkam nebūs zināt, kas būs pēc viņa.
15 Nimeona mambo mengi katika siku zangu za ubatili. Kuna watu wenye haki ambao wanaangamia licha ya kwamba wana haki, na kuna watu waovu wanaoishi maisha marefu licha ya kwamba ni waovu.
Visu to esmu redzējis savas niecības dienās: Cits ir taisns, kas savā taisnībā iet bojā, un cits ir bezdievīgs, kas savā blēdībā ilgi pastāv.
16 Usiwe mwenye haki katika macho yako mwenyewe. Kwa nini kujiharibu mwenyewe?
Neesi pārlieku taisns un neturies pats par visai gudru, - kāpēc tu gribi iet bojā?
17 Usiwe mwovu sana au mpumbavu. Kwa nini ufe kabla ya wakati wako?
Neesi pārlieku bezdievīgs, un neesi visai ģeķīgs; kāpēc tu gribi nomirt nelaikā?
18 Ni vyema kwamba ushike hekima hii, na kwamba usiache haki iende zake. Kwa kuwa mtu amchae Mungu atatimiza ahadi zake zote.
Labi ir, ka tu šo satver un arī no tā otra savu roku neatrauj; jo kas Dievu bīstas, tas no visa tā izsprūk.
19 Hekima ina nguvu ndani ya mwenye hekima, zaidi ya watawala kumi katika mji.
Gudrība stiprina gudro vairāk nekā desmit vareni, kas ir pilsētā.
20 Hakuna mtu mwenye haki juu ya nchi anayefanya mema na hatendi dhambi.
Tiešām, nav neviena cilvēka, kas taisns būtu virs zemes, kas labi darītu un negrēkotu.
21 Usisikilize kila neno linaongelewa, kwa sababu unaweza kusikia mtumishi wako anakulaani.
Neliec arī vērā visus vārdus, kas top runāti, lai tev nav jādzird, ka tavs kalps tev lād.
22 Vivyo hivyo unafahamu mwenyewe ndani ya moyo wako umewalaani wengine mara kadhaa.
Jo daudzkārt arī tava sirds zin, ka arī tu citus esi lādējis.
23 Haya yote nimeyathibitisha kwa hekima. Nikasema, “nitakuwa mwenye hekima,” lakini zaidi ambavyo ningekuwa.
Visu šo es ar gudrību esmu izmeklējis. Es sacīju: es dabūšu gudrību, bet viņa bija vēl tālu no manis.
24 Hekima i mbali na kina sana. Ni nani awezaye kuipata?
Tālu ir, kas ir, un ļoti dziļš; kas to var atrast?
25 Nikageuza moyo wangu kujifunza kuchunguza na kutafuta hekima na ufafanuzi wa ukweli, na kufahamu kwamba ubaya ni ujinga na kwamba upumbavu ni wazimu.
Es griezos ar savu sirdi, ka es zinātu un izvaicātu un meklētu gudrību un skaidrību, un ka es atzītu bezdievību par ģeķību un neprātību par nelietību.
26 Nikapata kufahamu kwamba uchungu kuliko kifo, ndivo alivyo mwanamke yeyote ambaye moyo wake umejaa mitego, na nyavu, na ambaye mikono yake ni minyororo. Yeyote ampendezaye Mungu ataponyoka kutoka kwake, lakini mwenye dhambi atachukuliwa naye.
Un es atradu vienu lietu rūgtāku nekā nāvi: sievu, kā sirds ir tīkli un valgi un kā rokas ir saites. Kas labs ir Dieva priekšā, tas no viņas izglābsies, bet grēcinieks caur viņu taps sagūstīts.
27 “Tafakari kile nilichovumbua,” asema Mwalimu. “Nimekuwa nikiongeza uvumbuzi mmoja hadi mwingine ili kwamba nipate ufafanuzi wa ukweli.
Redzi, šo esmu atradis, saka tas mācītājs, citu pēc cita, ka es to galavārdu atrastu.
28 Hii ndiyo bado natafuta, lakini bado sijapata. Sikupata mwanamme mmoja mwenye haki miongoni mwa elfu, lakini sikupata mwanamke miongoni mwa wale wote.
To mana dvēsele vēl meklē, un to es vēl neesmu atradis: Starp tūkstošiem es vienu vīru esmu atradis, bet sievu starp šiem visiem es neesmu atradis.
29 Nimegundua hili: kwamba Mungu alimuumba binadamu akiwa mnyoofu, lakini wametoka katika hali ya unyofu wakitafuta magumu mengi.
Bet redzi, to tikai es esmu atradis, ka Dievs cilvēku ir radījis taisnu, bet tie dodas uz daudz gudrošanām.

< Mhubiri 7 >