< Mhubiri 7 >

1 Jina zuri ni bora kuliko manukato ya gharama, na siku ya kufa ni bora kuliko siku ya kuzaliwa.
Godt Navn er bedre end ypperlig Salve, Dødsdag bedre end Fødselsdag;
2 Ni bora kwenda kwenye nyumba ya maombolezo kuliko nyumba ya karamu, kwa kuwa maombolezo huja kwa watu wote wakati wa mwisho wa uhai, kwa hiyo watu wanaoishi ni lazima waweke hili moyoni.
bedre at gå til et Sørgehus end at gå til et Gildehus; thi hist er alle Menneskers Ende, og de levende bør tage det til Hjerte
3 Huzuni ni bora kuliko kicheko, kwa kuwa baada ya uso wa huzuni huja furaha ya moyo.
Bedre Græmmelse end Latter, thi er Minerne mørke, har Hjertet det godt.
4 Moyo wa mwenye hekima uko katika nyumba ya maombolezo, lakini moyo wa wapumbavu uko katika nyumba ya karamu.
De vises Hjerte er i Sørgehuset. Tåbernes Hjerte i Glædeshuset.
5 Ni bora kusikiliza maonyo ya mtu mwenye hekima kuliko kusikiliza wimbo wa wapumbavu.
Bedre at høre på Vismands Skænd end at høre på Tåbers Sang.
6 Kwa kuwa kama mlio wa miiba chini ya chungu, ndivyo kilivyo kicheko cha wapumbavu. Huu pia ni mvuke.
Som Tjørnekvistes Knitren under Gryden er Tåbers Latter; også det er Tomhed.
7 kweli jeuri humfanya mtu mwenye hekima kuwa mpumbavu, na rusha huharibu moyo.
Thi uredelig Vinding gør Vismand til Dåre, og Stikpenge ødelægger Hjertet.
8 Ni heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo; na watu wenye uvumilivu ni bora kuliko wenye majivuno rohoni.
En Sags Udgang er bedre end dens Indgang, Tålmod er bedre end Hovmod.
9 Usikasirike haraka rohoni mwako, kwa sababu hasira hukaa katika mioyo ya wapumbavu.
Vær ikke hastig i dit Sind til at græmmes, thi Græmmelse bor i Tåbers Bryst.
10 Usiseme, “Kwa nini siku za zamani zilikuwa bora kuliko siku hizi?” Kwa kuwa sio kwa sababu ya hekima kwamba unauliza swali hili.
Spørg ikke: "Hvoraf kommer det, at de gamle Dage var bedre end vore?" Thi således spørger du ikke med Visdom.
11 Hekima ni njema kama vitu vya thamani tunavyorithi kutoka kwa wazazi wetu. Inatoa faida kwa wale wanaoliona jua.
Bedre er Visdom end Arv, en Fordel for dem, som skuer Solen;
12 Kwa kuwa hekima hutoa ulinzi kama vile fedha inavyoweza kutoa ulinzi, lakini faida ya maarifa ni kwamba hekima humpa uhai kwa yeyote aliye nayo.
thi Visdom skygger, som Penge skygger, men Kundskabs Fortrin er dette, at Visdom holder sin Mand i Live.
13 Tafakaria matendo ya Mungu: Ni nani awezaye kuimarisha chochote alichokipindisha?
Se på Guds Værk! Hvo kan rette, hvad han har gjort kroget?
14 Wakati nyakati vinakuwa njema, ishi kwa furaha katika hali hiyo, lakini wakati unapokuwa mbaya, tafakari hili: Mungu ameruhusu hali zote ziwepo, Kwa sababu hii, hakuna mwanadamu yeyote atakaye fahamu chochote kinacho kuja baada yake.
Vær ved godt Mod på den gode Dag og indse på den onde Dag, at Gud skabte denne såvel som hin, for at Mennesket ikke skal finde noget efter sig.
15 Nimeona mambo mengi katika siku zangu za ubatili. Kuna watu wenye haki ambao wanaangamia licha ya kwamba wana haki, na kuna watu waovu wanaoishi maisha marefu licha ya kwamba ni waovu.
Begge Dele så jeg i mine tomme Dage: Der er retfærdige, som omkommer i deres Retfærdighed, og der er gudløse, som lever længe i deres Ondskab.
16 Usiwe mwenye haki katika macho yako mwenyewe. Kwa nini kujiharibu mwenyewe?
Vær ikke alt for retfærdig og te dig ikke overvættes viis; hvorfor vil du ødelægge dig selv?
17 Usiwe mwovu sana au mpumbavu. Kwa nini ufe kabla ya wakati wako?
Vær ikke alt for gudløs og vær ingen Dåre; hvorfor vil du dø i Utide?
18 Ni vyema kwamba ushike hekima hii, na kwamba usiache haki iende zake. Kwa kuwa mtu amchae Mungu atatimiza ahadi zake zote.
Det bedste er, at du fastholder det ene og ikke slipper det andet; thi den, der frygter Gud, vil undgå begge Farer.
19 Hekima ina nguvu ndani ya mwenye hekima, zaidi ya watawala kumi katika mji.
Visdom gør Vismand stærkere end ti Magthavere i Byen.
20 Hakuna mtu mwenye haki juu ya nchi anayefanya mema na hatendi dhambi.
Thi intet Menneske er så retfærdigt på Jorden, at han kun gør gode Gerninger og aldrig synder.
21 Usisikilize kila neno linaongelewa, kwa sababu unaweza kusikia mtumishi wako anakulaani.
Giv ikke Agt på alle de Ord, Folk siger, at du ikke skal høre din Træl forbande dig;
22 Vivyo hivyo unafahamu mwenyewe ndani ya moyo wako umewalaani wengine mara kadhaa.
thi du ved med dig selv, at også du mange Gange har forbandet andre.
23 Haya yote nimeyathibitisha kwa hekima. Nikasema, “nitakuwa mwenye hekima,” lakini zaidi ambavyo ningekuwa.
Alt dette ransagede jeg med Visdom; jeg tænkte: "Jeg vil vorde viis." Men Visdom holdt sig langt fra mig;
24 Hekima i mbali na kina sana. Ni nani awezaye kuipata?
Tingenes Grund er langt borte, så dyb, så dyb; hvem kan finde den?
25 Nikageuza moyo wangu kujifunza kuchunguza na kutafuta hekima na ufafanuzi wa ukweli, na kufahamu kwamba ubaya ni ujinga na kwamba upumbavu ni wazimu.
Jeg tog mig for at vende min Hu til Kundskab og Granskning og til at søge efter Visdom og sikker Viden og til at kende, at Gudløshed er Tåbelighed, Dårskab Vanvid.
26 Nikapata kufahamu kwamba uchungu kuliko kifo, ndivo alivyo mwanamke yeyote ambaye moyo wake umejaa mitego, na nyavu, na ambaye mikono yake ni minyororo. Yeyote ampendezaye Mungu ataponyoka kutoka kwake, lakini mwenye dhambi atachukuliwa naye.
Og beskere end Døden fandt jeg Kvinden, thi hun er et Fangegarn; hendes Hjerfe er et Net og hendes Arme Lænker. Den, som er Gud kær, undslipper hende, men Synderen bliver hendes Fange.
27 “Tafakari kile nilichovumbua,” asema Mwalimu. “Nimekuwa nikiongeza uvumbuzi mmoja hadi mwingine ili kwamba nipate ufafanuzi wa ukweli.
Se, det fandt jeg ud, sagde Prædikeren, ved at lægge det ene til det andet for at drage min Slutning.
28 Hii ndiyo bado natafuta, lakini bado sijapata. Sikupata mwanamme mmoja mwenye haki miongoni mwa elfu, lakini sikupata mwanamke miongoni mwa wale wote.
Hvad min Sjæl stadig søgte, men ikke fandt, er dette: Een Mand fandt jeg blandt tusind, men en Kvinde fandt jeg ikke i hele Flokken.
29 Nimegundua hili: kwamba Mungu alimuumba binadamu akiwa mnyoofu, lakini wametoka katika hali ya unyofu wakitafuta magumu mengi.
Dog se, det fandt jeg, at Gud har skabt Menneskene, som de bør være; men de har så mange sære Ting for.

< Mhubiri 7 >