< Mhubiri 6 >

1 Kuna ubaya ambao nimeuona chini ya jua, na ni mbaya kwa watu.
Há um mal que tenho visto debaixo do sol, e mui frequente é entre os homens:
2 Mungu anaweza kumpa mtu mali na utajiri na heshima kwa kiasi kwamba hakosi chochote anachokitamani mwenyewe, lakini kisha hampi uwezo wa kukifurahia. Badala yake mtu mwingine hutumia vitu vyake. Huu ni mvuke, teso baya.
Um homem a quem Deus deu riquezas, fazenda e honra, e nada lhe falta de tudo quanto a sua alma deseja, e Deus não lhe dá poder para daí comer, antes o estranho lho come: também isto é vaidade e uma má enfermidade.
3 Kama mtu akizaa watoto mia moja na kuishi miaka mingi, ili kwamba siku za miaka yake ni nyingi, lakini kama moyo wake hautosheki kwa mema na hazikwi kwa heshima, kisha ninasema kwamba, mtoto aliyezaliwa akiwa amekufa ni bora kuliko alivyo.
Se o homem gerar cem filhos, e viver muitos anos, e os dias dos seus anos forem muitos, porém a sua alma se não fartar do bem, e também não tiver sepultura, digo que um aborto é melhor do que ele.
4 Hata mtoto huyo amezaliwa bila faida na anapita katika giza, na jina lake linabaki limefichika.
Porquanto debalde veio, e às trevas se vai, e de trevas se encobre o seu nome.
5 Ingawa mtoto huyu haoni jua au kujua kitu chochote, ana pumziko ingawa mtu huyo hakupumzika.
E ainda que nunca viu o sol, nem o conheceu, mais descanço tem do que o tal.
6 Hata kama mtu akiishi miaka elfu mbili lakini hajifunzi kufuraia vitu vizuri, aenda sehemu moja kama mtu yeyote yule.
E, ainda que vivesse duas vezes mil anos e não visse o bem, porventura todos não vão para um mesmo lugar?
7 Ingawa kazi yote ya mtu ni kujaza mdomo wake, ila hamu yake haishibi.
Todo o trabalho do homem é para a sua boca, e contudo nunca se enche a sua cobiça.
8 Hakika ni faida gani aliyo nayo mwenye hekima kuliko mpumbavu? Ni faida gani aliyo nayo masikini hata kama anajua jinsi ya kutenda mbele ya watu?
Porque, que mais tem o sábio do que o tolo? e que mais tem o pobre que sabe andar perante os vivos?
9 Ni bora kuridhika na kile ambacho macho hukiona kuliko kutamani kile ambacho hamu isiyo tulia inatamani, ambayo pia ni mvuke na kujaribu kuuchunga upepo.
Melhor é a vista dos olhos do que o vaguear da cobiça: também isto é vaidade, e aflição de espírito.
10 Chochote ambacho kimekuwepo, tayari kimekwisha kupewa jina lake, na vile mtu alivyo ni kama tayari amekwisha fahamika. Hivyo imekuwa haifai kugombana na yule ambaye ni muhukumu mkuu wa wote.
Seja qualquer o que for, já o seu nome foi nomeado, e sabe-se que é homem, e que não pode contender com o que é mais forte do que ele.
11 Maneno mengi ambayo yanaongelewa, ndivyo yasiyo na maana yanaongezeka, kwa hiyo ni faida gani iliyopo kwa mwanadamu?
Na verdade que há muitas coisas que multiplicam a vaidade: que mais tem o homem com elas!
12 Kwa kuwa ni nani ajuaye nini kilicho kizuri kwa mtu katika maisha yake wakati wa ubatili wake, siku zilizo hesabika ambazo kwa hizo anapita kama kivuri? Ni nina anayeweza kumwambia mtu kile kitakacho kuja chini ya jua baada ya kupita?
Porque quem sabe o que é bom nesta vida para o homem, durante o número dos dias da vida da sua vaidade, os quais gasta como sombra? porque quem declarará ao homem que é o que passará depois dele debaixo do sol

< Mhubiri 6 >