< Mhubiri 5 >

1 Linda mwenendo wako unapoenda kwenye nyumba ya Mungu. Nenda kule usikilize. Kusikiliza ni bora kuliko wapumbavu wanapotoa dhabihu wakati hawajuikuwa wanachofanya katika maisha ni kibaya.
Varuj svoje stopalo, ko greš k Božji hiši in bodi bolj pripravljen prisluhniti kakor izročiti klavno daritev bedakov, kajti ne preudarjajo, da počnejo zlo.
2 Usiwe mwepesi wa kuongea kwa mdomo wako, na usiufanye moyo wako kuleta jambo lolote kwa haraka mbele za Mungu. Mungu yuko mbinguni, lakini uko chini, kwa hiyo maneno yako yawe machache.
Ne bodi prenagljen s svojimi usti in tvoje srce naj ne bo hitro, da izreče katerokoli stvar pred Bogom, kajti Bog je v nebesih, ti pa na zemlji, zato naj bo tvojih besed malo.
3 Kama una mambo mengi ya kufanya na kuhangaika, pengine utapata ndoto mbaya. Na pengine utaongea maneno mengi ya upumbavu.
Kajti sanje prihajajo po množici zadev in bedakov glas je razpoznan z množico besed.
4 Ukiweka nadhili kwa Mungu, usichelewe kuifanya, kwa kuwa Mungu hafurahii upumbavu. Fanya kile ulichoapa utakifanya.
Kadar prisegaš zaobljubo Bogu, ne odlašaj, da jo izpolniš, kajti on nima zadovoljstva v bedakih. Izpolni to, kar si se zaobljubil.
5 Ni bora kutokuweka nadhiri kuliko kuweka nadhiri ambayo usiyoiondoa.
Bolje je to, da ne prisežeš, kakor da prisežeš zaobljubo, pa ne izpolniš.
6 Usiuruhusu mdomo wako kusababisha mwili wako kutenda dhambi. Usiseme kwa mtumwa wa kuhani, “Kile kiapo kilikuwa kwa makosa.” Kwani nini kumfanya Mungu akasirike kwa kuapa kwa uongo, kumchochea Mungu aharibu kazi ya mikono yako?
Ne dopusti svojim ustom, da bi tvojemu mesu povzročila, da greši niti pred angelom ne povej, da je bila pomota. Zakaj bi bil Bog ob tvojem glasu jezen in bi uničil delo tvojih rok?
7 Kwa kuwa katika ndoto nyingi, kama ilivyo katika maneno mengi, kuna mvuke ubatili. Hivyo mwogope Mungu.
Kajti v množici sanj in mnogih besedah so tudi številne ničevosti, toda boj se Boga.
8 Unapomwona masikini akiteswa na kunyang'anywa haki na kutendewa vibaya katika jimbo lako, usishangae kama kwamba hakuna anaye fahamu, kwa sababu kuna watu katika mamlaka ambao hutazama, kuna hata walio juu yao.
Če vidiš v provinci zatirati ubogega in nasilne prevračati sodbo in pravico, se ne čudi ob zadevi, kajti kdor je višji kakor najvišji, upošteva; in obstaja višji kakor oni.
9 Kwa nyongeza uzalishaji wa ardhi ni kwa kila mmoja, na mfalme mwenyewe huchukua uzalishaji kutoka mashambani.
Poleg tega je donos zemlje za vse; sam kralj je postrežen s poljem.
10 Yeyote apendaye fedha hatatosheka na fedha, na yeyote apendaye utajiri mara zote hutaka zaidi. Huu pia ni mvuke.
Kdor ljubi srebro, ne bo potešen s srebrom niti kdor ljubi obilje, z donosom; tudi to je ničevost.
11 Kadri mafanikio yanapoongezeka, ndivyo wanavyoongezeka watu wanaotumia. Kuna faida gani katika utajiri kwa mmiliki isipokuwa kuutazama kwa macho yake?
Kadar se dobrine povečujejo, so povečane, da se pojejo; kakšno dobro je njegovim lastnikom, razen da jih gledajo s svojimi očmi?
12 Usingizi wa mfanyakazi ni mtamu, kama anakula kidogo au sana, lakini utajiri wa mtu tajiri haumuruhusu yeye kulala vizuri.
Spanje delovnega človeka je sladko, bodisi jé malo ali veliko, toda obilje bogastva mu ne bo pustilo spati.
13 Kuna jambo baya zaidi ambalo nimeliona chini ya jua: mali iliyowekwa akiba na mwenye nayo, inamsababishia taabu mwenyewe.
Je boleče zlo, ki sem ga videl pod soncem, namreč bogastva, varovana za njihove lastnike v njihovo škodo.
14 Wakati tajiri anapopoteza utajiri wake kwa bahati mbaya, mwana wake, ambaye amemzaa, habakiziwi chochote mikononi mwake.
Toda ta bogastva izginejo po zli zadevi. Zaplodil je sina, pa v njegovi roki ni ničesar.
15 Kama mtu azaliwavyo uchi kutoka tumboni mwa mamaye, vivyo hivyo ataondoka katika maisha haya akiwa uchi. Hachukui chochote kutoka katika kazi yake.
Kakor je nag prišel iz maternice svoje matere, se bo vrnil kakor je prišel in ničesar ne bo vzel od svojega truda, kar bi v svoji roki lahko odnesel.
16 Jambo jingine baya kabisa, kama mtu alivyo kuja ni lazima aende vivyo hivyo. Hivyo ni faida gani mtu yeyote aipatayo katika kufanya kwa ajili ya upepo?
Tudi to je boleče zlo, da v vseh točkah, kakor je prišel, bo tako odšel; in kakšno korist ima tisti, ki se je trudil za veter?
17 Wakati wa siku zake anakula gizani na anafedheheshwa sana na magonjwa na hasira.
Prav tako vse svoje dni jé v temi in ima mnogo bridkosti in besa s svojo slabostjo.
18 Tazama, kile nilichokiona kuwa kizuri kufaaa ni kula na knywa na kufurahia faida kutoka katika kazi zetu zote, tuzifanyazo chini ya jua wakati wa siku za maisha haya ambayo Mungu ametupa. Kwa kuwa huu ni wajibu wa mtu.
Glej to, kar sem videl. Dobro in ljubko je za nekoga jesti, piti in uživati dobro od vsega svojega truda, ki se ga loteva pod soncem vse dni svojega življenja, ki mu jih daje Bog, kajti to je njegov delež.
19 Yeyote ambaye Mungu amempa mali na utajiri na uwezo wa kupokea sehemu yake na kufurahi katika kazi yake hii ni zawadi kutoka kwa Mungu.
Tudi vsakemu človeku, ki mu Bog daje bogastva in premoženje, mu daje moč, da od tega jé in da vzame svoj delež in se veseli v svojem trudu; to je darilo od Boga.
20 Kwa kuwa mara kadhaa hakumbuki siku za maisha yake, kwa sababu Mungu anamfanya kuhangaika na mambo ambayo anafurahia kuyafanya.
Kajti dni svojega življenja se ne bo dosti spominjal, ker mu Bog odgovarja v radosti njegovega srca.

< Mhubiri 5 >