< Mhubiri 5 >
1 Linda mwenendo wako unapoenda kwenye nyumba ya Mungu. Nenda kule usikilize. Kusikiliza ni bora kuliko wapumbavu wanapotoa dhabihu wakati hawajuikuwa wanachofanya katika maisha ni kibaya.
Garde tes pas quand tu vas à la maison de Dieu; car s'approcher pour écouter vaut mieux que d'offrir le sacrifice des insensés, car ils ne savent pas qu'ils font le mal.
2 Usiwe mwepesi wa kuongea kwa mdomo wako, na usiufanye moyo wako kuleta jambo lolote kwa haraka mbele za Mungu. Mungu yuko mbinguni, lakini uko chini, kwa hiyo maneno yako yawe machache.
Que ta bouche ne se précipite pas, et que ton cœur ne se hâte pas de dire quoi que ce soit devant Dieu; car Dieu est au ciel, et toi sur la terre. C'est pourquoi, que vos paroles soient peu nombreuses.
3 Kama una mambo mengi ya kufanya na kuhangaika, pengine utapata ndoto mbaya. Na pengine utaongea maneno mengi ya upumbavu.
Car, comme un rêve arrive avec une multitude de soucis, ainsi la parole d'un fou avec une multitude de mots.
4 Ukiweka nadhili kwa Mungu, usichelewe kuifanya, kwa kuwa Mungu hafurahii upumbavu. Fanya kile ulichoapa utakifanya.
Quand tu fais un vœu à Dieu, ne diffère pas de l'acquitter, car il ne prend pas plaisir aux insensés. Acquittez ce que vous avez juré.
5 Ni bora kutokuweka nadhiri kuliko kuweka nadhiri ambayo usiyoiondoa.
Il vaut mieux que tu ne fasses pas de vœu, que tu fasses un vœu et que tu ne le paies pas.
6 Usiuruhusu mdomo wako kusababisha mwili wako kutenda dhambi. Usiseme kwa mtumwa wa kuhani, “Kile kiapo kilikuwa kwa makosa.” Kwani nini kumfanya Mungu akasirike kwa kuapa kwa uongo, kumchochea Mungu aharibu kazi ya mikono yako?
Ne permets pas à ta bouche de te conduire au péché. Ne proteste pas devant le messager en disant que c'était une erreur. Pourquoi Dieu s'irriterait-il de ta voix, et détruirait-il l'œuvre de tes mains?
7 Kwa kuwa katika ndoto nyingi, kama ilivyo katika maneno mengi, kuna mvuke ubatili. Hivyo mwogope Mungu.
Car dans la multitude des songes il y a des vanités, de même que dans beaucoup de paroles; mais tu dois craindre Dieu.
8 Unapomwona masikini akiteswa na kunyang'anywa haki na kutendewa vibaya katika jimbo lako, usishangae kama kwamba hakuna anaye fahamu, kwa sababu kuna watu katika mamlaka ambao hutazama, kuna hata walio juu yao.
Si tu vois l'oppression des pauvres, et la suppression violente de la justice et de l'équité dans un district, ne t'étonne pas de la chose, car un fonctionnaire est regardé par un plus haut, et il y a des fonctionnaires au-dessus d'eux.
9 Kwa nyongeza uzalishaji wa ardhi ni kwa kila mmoja, na mfalme mwenyewe huchukua uzalishaji kutoka mashambani.
De plus, le profit de la terre est pour tous. Le roi profite du champ.
10 Yeyote apendaye fedha hatatosheka na fedha, na yeyote apendaye utajiri mara zote hutaka zaidi. Huu pia ni mvuke.
Celui qui aime l'argent ne se contentera pas de l'argent, et celui qui aime l'abondance, de l'augmentation. Cela aussi est une vanité.
11 Kadri mafanikio yanapoongezeka, ndivyo wanavyoongezeka watu wanaotumia. Kuna faida gani katika utajiri kwa mmiliki isipokuwa kuutazama kwa macho yake?
Quand les biens s'accroissent, ceux qui les mangent s'accroissent; et quel avantage y a-t-il pour celui qui les possède, si ce n'est de s'en repaître avec les yeux?
12 Usingizi wa mfanyakazi ni mtamu, kama anakula kidogo au sana, lakini utajiri wa mtu tajiri haumuruhusu yeye kulala vizuri.
Le sommeil de l'homme qui travaille est doux, qu'il mange peu ou beaucoup; mais l'abondance du riche ne lui permet pas de dormir.
13 Kuna jambo baya zaidi ambalo nimeliona chini ya jua: mali iliyowekwa akiba na mwenye nayo, inamsababishia taabu mwenyewe.
Il y a un malheur que j'ai vu sous le soleil: des richesses que leur propriétaire garde à son détriment.
14 Wakati tajiri anapopoteza utajiri wake kwa bahati mbaya, mwana wake, ambaye amemzaa, habakiziwi chochote mikononi mwake.
Ces richesses périssent par malheur, et s'il a engendré un fils, il n'y a rien dans sa main.
15 Kama mtu azaliwavyo uchi kutoka tumboni mwa mamaye, vivyo hivyo ataondoka katika maisha haya akiwa uchi. Hachukui chochote kutoka katika kazi yake.
Comme il est sorti du ventre de sa mère, il retourne nu comme il est venu, et il ne prend rien pour son travail, qu'il puisse emporter dans sa main.
16 Jambo jingine baya kabisa, kama mtu alivyo kuja ni lazima aende vivyo hivyo. Hivyo ni faida gani mtu yeyote aipatayo katika kufanya kwa ajili ya upepo?
C'est là un mal grave: il s'en ira en tout point comme il est venu. Et quel profit a-t-il, celui qui travaille pour le vent?
17 Wakati wa siku zake anakula gizani na anafedheheshwa sana na magonjwa na hasira.
Tous ses jours, il mange dans les ténèbres, il est frustré, il a la maladie et la colère.
18 Tazama, kile nilichokiona kuwa kizuri kufaaa ni kula na knywa na kufurahia faida kutoka katika kazi zetu zote, tuzifanyazo chini ya jua wakati wa siku za maisha haya ambayo Mungu ametupa. Kwa kuwa huu ni wajibu wa mtu.
Voici, ce que j'ai jugé bon et convenable, c'est que quelqu'un mange et boive, et jouisse du bien dans tout le travail qu'il accomplit sous le soleil, tous les jours de la vie que Dieu lui a donnée; car c'est là sa part.
19 Yeyote ambaye Mungu amempa mali na utajiri na uwezo wa kupokea sehemu yake na kufurahi katika kazi yake hii ni zawadi kutoka kwa Mungu.
Tout homme aussi à qui Dieu a donné des richesses et des biens, et lui a donné le pouvoir d'en manger, de prendre sa part, et de se réjouir de son travail, voilà le don de Dieu.
20 Kwa kuwa mara kadhaa hakumbuki siku za maisha yake, kwa sababu Mungu anamfanya kuhangaika na mambo ambayo anafurahia kuyafanya.
Car il ne réfléchira pas souvent aux jours de sa vie, parce que Dieu l'occupe avec la joie de son cœur.