< Mhubiri 4 >
1 Kisha tena nikafikiri kuhusu mateso yote yaliyo chini ya jua. Tazama machozi ya watu walioteswa. Hakuna anaye mfariji kwa ajili yao. Nguvu iko katika mikononi mwa watesaji, lakini wateswaji hawana mfariji.
and to return: again I and to see: see [obj] all [the] oppression which to make: do underneath: under [the] sun and behold tears [the] oppression and nothing to/for them to be sorry: comfort and from hand: themselves to oppress them strength and nothing to/for them to be sorry: comfort
2 Hivyo nikawapongeza watu walio kufa, wale ambao tayari wamekufa, sio wanaoishi, wale ambao wako hai.
and to praise I [obj] [the] to die which/that already to die from [the] alive which they(masc.) alive still [to]
3 Ingawa, bahati zaidi kuliko wote wawili ni yule ambaye hajaishi, yeye ambaye hajaona matendo yoyote mabaya ambayo yanafanyika chini ya jua.
and pleasant from two their [obj] which still not to be which not to see: see [obj] [the] deed [the] bad: evil which to make: do underneath: under [the] sun
4 Kisha nikaona kwamba kila tendo la kazi na kila kazi ya utashi ikawa wivu wa jirani ya mtu. Huu pia ni mvuke na kujaribu kuchunga upepo.
and to see: see I [obj] all trouble and [obj] all skill [the] deed: work for he/she/it jealousy man: anyone from neighbor his also this vanity and longing spirit: breath
5 Mpumbavu hukunja mikono yake na hafanyi kazi, hivyo chakula chake in mwili wake.
[the] fool to embrace [obj] hand his and to eat [obj] flesh his
6 Lakini afadhari konzi ya faida pamoja na kazi ya haraka kuliko konzi mbili pamoja na kazi ambayo hujaribu kuuchunga upepo.
pleasant fullness palm quietness from fullness palm trouble and longing spirit: breath
7 Kisha nikafikiri tena zaidi kuhusu ubatili, mvuke upoteao zaidi chini ya jua.
and to return: again I and to see: see vanity underneath: under [the] sun
8 Kuna aina ya mtu ambaye yuko peke yake. Hana mtu, hana mwana, wala ndugu. Hakuna mwisho wa kazi zake zote, na macho yake hayatosheki kwa kupata utajiri. Anashangaa, “Ninajishumbua na kuharibu furaha yangu kwa ajili ya nani?” Huu pia ni mvuke, hali mbaya.
there one and nothing second also son: child and brother: male-sibling nothing to/for him and nothing end to/for all trouble his also (eye his *Q(K)*) not to satisfy riches and to/for who? I laborious and to lack [obj] soul: myself my from welfare also this vanity and task bad: harmful he/she/it
9 Watu wawili wanafanya vizuri zaidi ya mmoja; kwa pamoja wanaweza kupata malipo mazuri kwa ajili ya kazi yao.
pleasant [the] two from [the] one which there to/for them wages pleasant in/on/with trouble their
10 Kwa kuwa kama mmoja akianguka, mwingine anaweza kumwinua rafiki yake. Ingawa, huzuni humfuata yeye aliye peke yake anapoanguka kama hakuna mtu wa kumwinua.
that if: except if: except to fall: fall [the] one to arise: raise [obj] companion his and to/for woe! him [the] one which/that to fall: fall and nothing second to/for to arise: raise him
11 Na kama wawili wakilala pamoja, wanaweza kupata joto, lakini mtu mmoja anawezaje kupata joto akiwa mwenyewe?
also if to lie down: lay down two and to warm to/for them and to/for one how? to warm
12 Mtu akiwa peke yake anaweza kushindwa nguvu, lakini wawili wanaweza kusimama katika shambulio, na kama ya nyuzi tatu haikatika upesi.
and if to prevail him [the] one [the] two to stand: stand before him and [the] thread [the] to do three not in/on/with haste to tear
13 Ni bora kuwa kijana masikini kuliko kuwa mfalme mzee na mpumbavu ambaye hajui jinsi ya kusikiliza maonyo.
pleasant youth poor and wise from king old and fool which not to know to/for to warn still
14 Hii ni kweli hata kama mtu mdogo anapokuwa mfalme kutoka gerezani, au hata kama alizaliwa masikini katika ufalme wake.
for from house: home [the] to bind to come out: come to/for to reign for also in/on/with royalty his to beget be poor
15 Ingawa, niliona kila mmoja aliye kuwa hai na kuzunguka chini ya jua wakijitia chini kwa kijana mdogo aliyeinuka kama mfalme.
to see: see [obj] all [the] alive [the] to go: walk underneath: under [the] sun with [the] youth [the] second which to stand: stand underneath: instead him
16 Hakuna mwisho kwa watu wote wanaotaka kumtii mfalme mpya, lakini wengi wao hawatamsifu yeye. Hakika hali hii ni mvuke na kujaribu kuuchunga upepo.
nothing end to/for all [the] people to/for all which to be to/for face: before their also [the] last not to rejoice in/on/with him for also this vanity and striving spirit: breath