< Mhubiri 3 >
1 Kwa kuwa kila kitu na wakati wake, na majira kwa kila kusudi chini ya mbingu.
Hno cawngca pueng ni amamae atueng a tawn. Kanî rahim vah pouk e pueng lengkaleng tawksaknae atueng ao.
2 Kuna wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, wakati wa kupanda na wakati wa kung'oa yaliyopandwa,
Khenae atueng hoi duenae atueng hai ao. Patuenae atueng ao patetlah phawknae atueng hai ao.
3 wakati wa kuua na wakati wa kuponya, wakati wa kubomo na wakati wa kujenga.
Theinae atueng ao patetlah dam saknae atueng hai ao. Raphoenae atueng ao patetlah bout saknae atueng hai ao.
4 Kuna wakati wa kulia na wakati wa kucheka, wakati wa kuomboleza na wakati kucheza,
Kanae atueng hoi, panuinae atueng hai ao. Cingounae atueng hoi, lamtunae atueng hai ao.
5 wakati wa kutupa mawe na wakati wa kukusanya mawe, wakati wa kukumbatia watu wengine wakati wa kutokumbatia.
Talungnaw kaheikalainae atueng ao. Pâkhuengnae atueng hai ao. Takawinae atueng ao, kâtakawi laipalah kâkapeknae atueng hai ao.
6 Kuna wakati wa kutafuta vitu na wakati wa kutotafuta, wakati wa kutunza vitu na wakati wa kuvitupa,
Pâkuemnae atueng ao, hnopai a kahmanae hai ao. Pâtungnae atueng hoi, tâkhawngnae atueng hai ao.
7 wakati kuchana mavazi na wakati wa kuyashona, wakati wa kunyamaza na wakati wa kuzungumza.
Hnicu raveinae atueng hoi, khuinae atueng hai ao. Sairasuep onae atueng hoi, lawk deinae atueng hai ao.
8 Kuna wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia, wakati wa vita na wakati wa amani.
Kâpahrennae atueng hoi, kâmaithoenae atueng hai ao. Tarankâtuknae atueng hoi, taran roumnae atueng hai ao.
9 Ni faida gani mfanyakazi aipatayo katika kazi yake?
Ka tawk e tami ni panki teh a thapathonae hah bangmaw hawinae kaawm.
10 Nimeona kazi ambayo Mungu amewapa wanadamu kuitimiza.
Taminaw kho a sak nahan Cathut ni a poe e tawntanae hai, kai ni ka hmu toe.
11 Mungu amefanya kila kitu kufaa kwa wakati wake. Pia ameweka umilele ndani ya mioyo yao. Lakini mwanadamu hawezi kuelewa matendo ambayo Mungu ameyafanya, tangu mwanzo wao hadi mwisho.
A cawngca pueng amamae atueng a pha nah, kahawicalah a sakyoe toe. Tami e lungthin hai a yungyoe e atueng dawk, a kamtawngnae koehoi apout totouh tami ni teh pâphue nakunghai baw thai hoeh.
12 Ninajua kuwa hakuna kilicho bora kwa mtu yeyote kuliko kufurahi na kutenda mema maadamu anaishi-
Lunghawinae hno dawk ka hring nah, hnokahawi sak hoeh e laipalah alouke thawnaw dawk, ahawinae awm hoeh tie ka panue.
13 na kwamba kila mmoja anapaswa ale na kunywa na anapaswa kuelewa jinsi ya kufurahia mazuri ambayo yanatoka katika kazi zake zote. Hii ni zawadi kutoka kwa Mungu.
Tami pueng canei hane hai thoseh, mahoima panki tha patho e naw dawk, nawm nahane hai thoseh, Cathut e lungmanae lahoi doeh kâtawnnae ao.
14 Ninajua kwamba chochote afanyacho Mungu kinadumu milele. Hakuna kinaweza kuongezwa au kuondolea, kwa sababu Mungu ndiye aliyekifanya, ili kwamba watu wamsogelee kwa heshima.
Cathut e hno a sak e naw teh a yungyoe doeh tie ka panue. Bout sak thai lah awm hoeh, bout rayu thai e lahai awm hoeh. Taminaw teh a hmalah, a taki awh nahanlah Cathut ni telah a sak e doeh.
15 Chochote kilichopo kimekwisha kuwepo; chochote kitakachokuwepo kimekwisha kuwepo. Mungu huwafanya wanadamu kutafuka vitu vilivyjificha.
Kaawm tangcoung e hno teh atu kaawm e hno hoi a kâvan. Bout kaawm hane hno hai, kaawm tangcoung e hno hoi a kâvan. Ka loum tangcoung e naw hai Cathut ni bout a hei.
16 Na nimeona kwamba chini ya jua ubaya upo mahali palipopaswa kuwa na haki, na sehemu ya haki mara nyingi ina ubaya.
Hothloilah, Kanî rahim lawkcengnae hmuen dawk kahawihoehe hno ao tie thoseh, lannae dawk yonnae ao tie hai thoseh, ka hmu toe.
17 Nikasema moyoni mwangu, “Mungu atahukumu mwenye haki na mbaya kwa wakati muafaka kwa kila jambo na kila tendo.
Cathut ni tami kalannaw e tawksak e hoi, tamikalan hoeh naw e tawksak e hah lawk a ceng han telah ka pouk. Bangkongtetpawiteh, pouk e pueng, tawk e pueng lawkceng nahane atueng ao.
18 Nikasema moyoni mwangu, “Mungu huwajaribu wanadamu kuwaonyesha kwamba wao ni kama wanyama.”
Taminaw e a hmuenhmawn ka pouk nah, taminaw Cathut ni a tanouk hane hoi, ahnimouh teh saringnaw patetlah doeh tie a kâpanue thai awh nahane hah doeh.
19 Kwa kuwa mwisho watoto wa wanadamu na mwisho wa wanyama ni sawa. Kifo cha mmoja ni sawa na kifo cha mwingine. Wote wana pumzi sawa. Hakuna faida kwa mwanadamu zaidi ya wanyama. Kwa kuwa hakuna kila kitu isipokuwa pumzi?
Tami ni a kâhmo e saring ni hai kâvan e hno a kâhmo teh, bout a due e patetlah a due van. A cawngca pueng hringnae phun touh doeh rei ao awh. Hatdawkvah tami teh saring hlak a taluenae awm hoeh. A cawngca pueng ahrawnghrang seng doeh.
20 Kila kitu kinaenda sehemu moja. Kila kitu kinatoka mavumbini, na kila kitu kinarudi katika mavumbini.
A cawngca pueng buet touh e hmuen koe doeh ouk a pha awh. A cawngca pueng vaiphu dawk hoi a kangcoung e patetlah vaiphu lah bout a ban han.
21 Ni nani ajuaye kama roho ya mwanadamu inaenda juu na roho ya wanyama inaenda chini ya nchi?
Hatnavah, lathueng lah ka luen e tami e muitha hai thoseh, rahim lae hmuen talai lah ka khum e saring e muitha hai thoseh, apinimaw a kapek thai teh a panue thai han.
22 kwa hiyo tena nikatambua kwamba hakuna lililo jema kwa yeyote zaidi ya kufurahia kazi yake, kwa kuwa hilo ndilo jukumu lake. Ni nani awezaye kumleta tena kuona kinachotokea baada yake?
Tami ni a sak e hno dawk nawmnae hno hlak, hoe kahawi e hno awm hoeh tie ka hmu. Hote hno teh ahni hane doeh, ahni ni a hnukkhu lah bang hno ne ka tho han tie hah a panue nahan, apinimaw a bankhai han.