< Mhubiri 3 >

1 Kwa kuwa kila kitu na wakati wake, na majira kwa kila kusudi chini ya mbingu.
Ijakai dingin aphat aumcheh in, vannoija hin ijakai achat loh thei ding in phat aum cheh’e.
2 Kuna wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa, wakati wa kupanda na wakati wa kung'oa yaliyopandwa,
Penna ding phat aum in chule thiphat aum’e. Aphu phat aum in chule a‘at phat aum’e.
3 wakati wa kuua na wakati wa kuponya, wakati wa kubomo na wakati wa kujenga.
Atha’phat aum in chule asuhdam phat aum’e. Aphet lhah phat aum in chule asahdoh phat aum’e.
4 Kuna wakati wa kulia na wakati wa kucheka, wakati wa kuomboleza na wakati kucheza,
Ka phat aumin chule nui phat aume. Lunghem phat aum in chule lam phat aume.
5 wakati wa kutupa mawe na wakati wa kukusanya mawe, wakati wa kukumbatia watu wengine wakati wa kutokumbatia.
Song sethang phat aum in chule song khopkhom phat aum’e. Ki-angkol phat aum in chule kihei mang phat aum’e.
6 Kuna wakati wa kutafuta vitu na wakati wa kutotafuta, wakati wa kutunza vitu na wakati wa kuvitupa,
Thil holphat aum in chule thilhol ngah phat aum’e. Akholkhom phat aumin chule athe cheh phat aum’e.
7 wakati kuchana mavazi na wakati wa kuyashona, wakati wa kunyamaza na wakati wa kuzungumza.
Abo-eh phat aumnin chule akhui bit phat aum’e. Thipbeh’a umphat aumin chule thusei phat aume.
8 Kuna wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia, wakati wa vita na wakati wa amani.
Kingailut phat aumin chule kivetda phat aume. Kinah phat aum in chule kicham phat aum’e.
9 Ni faida gani mfanyakazi aipatayo katika kazi yake?
Ana tohhat man uva miho hin ipi akimu mong mong uvem?
10 Nimeona kazi ambayo Mungu amewapa wanadamu kuitimiza.
Pathen’in i-bonchau chunga pohgih eikoipeh cheh’u kamu doh tai.
11 Mungu amefanya kila kitu kufaa kwa wakati wake. Pia ameweka umilele ndani ya mioyo yao. Lakini mwanadamu hawezi kuelewa matendo ambayo Mungu ameyafanya, tangu mwanzo wao hadi mwisho.
Ahijeng vang'in, Pathen’in ijakai amachang cheh dingin hoisel in asem in ahi. Aman mihemte lungsunga tonsot akhum lut peh in, hinlah chuti ahijeng vang'in, mihem in Pathen tohgon apatna pat achaina geijin amu phapoi.
12 Ninajua kuwa hakuna kilicho bora kwa mtu yeyote kuliko kufurahi na kutenda mema maadamu anaishi-
Hijeh’a hi keiman, mihem chu akipa’a chule ijochan geijuva thanopna inei dingu sanga phajo dang aumpoi, tia ka gel lhah ahi tai.
13 na kwamba kila mmoja anapaswa ale na kunywa na anapaswa kuelewa jinsi ya kufurahia mazuri ambayo yanatoka katika kazi zake zote. Hii ni zawadi kutoka kwa Mungu.
Chule miho hin aneh’uva chule adon’uva chule atohgim gahou, athanoppi diu hi Pathen’in manbeiya athil peh-u chu ahi.
14 Ninajua kwamba chochote afanyacho Mungu kinadumu milele. Hakuna kinaweza kuongezwa au kuondolea, kwa sababu Mungu ndiye aliyekifanya, ili kwamba watu wamsogelee kwa heshima.
Chule ipi hijongleh Pathen in athilbol chan chu achaina ahi jenge. Imacha gah koibe ding ahilouleh gah lahdoh ding aum poi. Pathen in alung gon chu mihem ten Ama agin ding’u hi ahi.
15 Chochote kilichopo kimekwisha kuwepo; chochote kitakachokuwepo kimekwisha kuwepo. Mungu huwafanya wanadamu kutafuka vitu vilivyjificha.
Tua hung sohdoh hohi tumasanga ana sohdohsa ahitai, chule khonunga hung soh ding ho chu tuma’a ana sohdoh sa ahitai, ajeh chu Pathen in hiho chu avel vella ahin um dohsah kitji ahije.
16 Na nimeona kwamba chini ya jua ubaya upo mahali palipopaswa kuwa na haki, na sehemu ya haki mara nyingi ina ubaya.
Nisa noija keiman ka mudoh kit chu, thutanna dan aphalou um ka hedoh’e. Tahbeh in, Dan Thutanna mun chu thudih aum poi.
17 Nikasema moyoni mwangu, “Mungu atahukumu mwenye haki na mbaya kwa wakati muafaka kwa kila jambo na kila tendo.
Keimatah in ka lungthima, “Aphatcha Pathen in apha hileh ase hileh amichang cheh chu anatoh hou jouse jal'a achungthu’u atan ding ahi,” kati.
18 Nikasema moyoni mwangu, “Mungu huwajaribu wanadamu kuwaonyesha kwamba wao ni kama wanyama.”
Keiman mihemte dinmun thua kagel lin-Pathen’in mihemte henga amaho jong gancha hole gamsaho tobangbep ahiuve, ti aphochen in ahi.
19 Kwa kuwa mwisho watoto wa wanadamu na mwisho wa wanyama ni sawa. Kifo cha mmoja ni sawa na kifo cha mwingine. Wote wana pumzi sawa. Hakuna faida kwa mwanadamu zaidi ya wanyama. Kwa kuwa hakuna kila kitu isipokuwa pumzi?
Ajeh chu gamsaho le mihemte chan kibang ahinau aume-haitheina anei gel uvin chule thithei gel ahiuve. Hitia hi mihemin gamsa ho sanga phatchom john a tahbeh anei deh pouve. Ajeh bei iti hi’a hitam!
20 Kila kitu kinaenda sehemu moja. Kila kitu kinatoka mavumbini, na kila kitu kinarudi katika mavumbini.
Ania munkhatna chekhoma ahi-vutna kona hung kondoh’uva ahin, aniuva vut kisohkit diu ahi.
21 Ni nani ajuaye kama roho ya mwanadamu inaenda juu na roho ya wanyama inaenda chini ya nchi?
Ajeh chu koiham mihem lhagao akaltouvin chule gamsaho lhagao leisetna akumsuh’e ti, koi jin aphotchet thei jem?
22 kwa hiyo tena nikatambua kwamba hakuna lililo jema kwa yeyote zaidi ya kufurahia kazi yake, kwa kuwa hilo ndilo jukumu lake. Ni nani awezaye kumleta tena kuona kinachotokea baada yake?
Hitia hi keiman mihem dinga anatoh chunga akipa diu sanga phajo kamupoi. Eiho hi koiman ithi jou tenguleh nopsahna dinga thina’a konna eihin lepui ding’u ahi tapoi.

< Mhubiri 3 >