< Mhubiri 12 >

1 Pia mkumbuke Muumba wako katika siku za za ujana, kabla ya siku za ugumu hazijaja, na kabla ya miaka haijafika utakapo sema, “Mimi sina furaha katika hizo,”
Na nawnae a hninnaw dawk na kasakkung pouk loe. Rucatnae a hninnaw a pha teh kai dawk a nawmnae awmhoeh toe telah na deinae kumnaw a pha hoehnahlan,
2 fanya hivi kabla ya nuru ya jua na mwezi na nyota havijawa giza, na mawingu kurudi baada ya mvua.
Kanî hoi angnae, thapa hoi âsinaw a mawm hoehnahlan, khorak hnukkhu tâmainaw bout a tho hoehnahlan, Bawipa pouk loe.
3 Huo utakuwa wakati ambapo mlinzi wa ikulu atatetemeka, na wanaume imara wameinama, na wanawake wanao saga kukoma, kwa sababu ni wachache, na wale wanao chungulia dirishani hawaoni vizuri tena.
Hote atueng dawk imkaringnaw a tâsue vaiteh, athakaawme taminaw a thayoun awh han. Cakang kaphawmnaw ayoun dawkvah, a kâhat awh han. Hlalangaw dawk hoi ka khen e taminaw, a mitmawm awh han.
4 Huo utakuwa wakati ambao milango imefungwa katika mtaa, na mlio wa kusanga kukoma, wakati wanaume watasitushwa kwa mlio wa ndege, na wimbo wa sauti ya wasichana kukoma.
Cakang phawm lawk rek a cai hoeh torei teh, lam teng e longkhanaw teh khan lah ao han. Tava lawk a thai torei teh amom a thaw awh han, la ka sak e tanglanaw abuemlah tha a tawn awh han.
5 Utakuwa wakati ambapo watu wataogopa vilivyoinuka na hatari iliyoko barabarani, na wakati ambapo mlozi utachanua maua, na wakati panzi watakapokokotana wenyewe, na wakati ambapo hamu za asili zitakaposhindwa. Kisha mtu aenda katika nyumba yake ya milele na waombolezaji watelemka mitaani.
Taminaw ni hmuenrasang hoi lam dawk takikathonaw a taki awh han. Almond kung ni a pei han. Samtong teh amahoima a ri han. Bangkongtetpawiteh, tami teh yungyoe e im koe lah cei lahun lah o dawkvah, ka khui e taminaw ni lam dawk a kâhei awh han.
6 Mkumbuke Muumba wako kabla ya kamba ya fedha kukatwa, au bakuli ya dhahabu kupasuka, au gudulia kuvunjwa kwenye chemuchemi, au torori la maji kuvunjika kisimani,
Ngun dingyin a thouknae, suimanang a reknae tuiphuek koe tuium kâbawngnae, tui sawnnae rui thawknae, atueng ka phat han.
7 kabla mavumbi kurudia mahali yalipotoka, na roho kurudi kwa Mungu aliyeitoa.
Hatnae atueng dawk vaiphu teh a thonae talai koelah bout a ban vaiteh, muitha teh na kapoekung Cathut koe bout a ban han.
8 Kama ukungu wa mvuke,” asema mwalimu, kila kitu ni mvuke upoteao.
Ahrawnghrang doeh, hnopueng teh ahrawnghrang doeh telah phungdeikung ni a ti.
9 Mwalimu alikuwa na hekima na aliwafundisha watu maarifa. Alisoma na kuazimu na kutunga mithali nyingi katika mpangilio.
Phungdeikung teh a lungang dawkvah, tamihunaw, lungang thoumthainae ouk a cangkhai. A pouklak e phungdeilawknaw a noumcai teh a thut.
10 Mwalimu alitafuta kuandika kwa kutumia vithibitisho dhahiri, maneno ya kweli yaliyo wima.
Phungdeikung ni thai kahawi e lawklung a tawng teh a thut e lawklung teh kathuem e lawk, lawkkatang doeh.
11 Maneno ya watu wenye hekima ni kama mchokoo. Kama misumari ilivyogongomewa kwa undani, ndivyo yalivyo maneno ya mabwana katika mkusanyiko wa mithali zao, ambayo yamefundishwa na mchungaji mmoja.
Tami lungkaang e lawk teh sâw hoi thoseh, tukhoumkung kalen buet touh koe a hnawng teh tamihu hemnae sumtaboung hoi thoseh a kâvan.
12 Mwanangu kuwa makini na kitu zaidi, utengezaji wa vitabu vingi, ambacho hakina mwisho, na kusoma kwingi huleta uchovu mwilini.
Hothloilah, ka capa hot patet e lawk lahoi na dei pouh e hah tarawi loe. Ca lahoi ka thun nakunghai baw thai mahoeh. Ca panki lai hawi khetnae ni na tawn sak.
13 Mwisho wa jambo baada ya kila kitu umesikika, ni kwamba ni lazima umche Mungu na kushika amri zake, kwa kuwa huu ndilo jukumu lote la mwanadamu.
Ahnoungpoung e lawk teh, Cathut taket nateh kâpoelawknaw hah tarawi haw. Hethateh, tami pueng e thaw lah ao.
14 Kwa kuwa Mungu ataleta kila tendo hukumuni, pamoja na kila kitu kilichofichika, kizuri au kibaya.
Cathut ni kahawi hno thoseh, kahawihoehe hno thoseh, hro e hnonaw pueng hoi hnocawngca lawk a ceng han.

< Mhubiri 12 >