< Mhubiri 11 >

1 Peleka mkate wako juu ya maji, kwa kuwa utaupata tena baada ya siku nyingi.
Laisse aller ton pain au cours de l'eau; car après bien des jours tu le retrouveras.
2 Shiriki mkate na watu saba, hata wanane kwa kuwa haujui ni majanga gani yanayo kuja juu ya nchi.
Distribues-en à sept, même à huit personnes; car tu ignores ce qu'il doit y avoir de maux sur la terre.
3 Kama mawingu yamejaa mvua, yanajivua yenyewe chini ya nchi. Na kama mti ukianguka kuelekea kusini au kuelekea kaskazini, popote mti unapoangukia papo hapo utabakia.
Lorsque les nuées sont pleines, elles fondent en pluie sur la terre; et si un arbre tombe au midi ou au nord, il restera là où il sera tombé.
4 Yeyote autazamaye upepo yawezekana asipande, na yeyote atazamaye mawingu yawezekana asivune.
Celui qui observe le vent ne sèmera pas; et celui qui regarde aux nuages ne moissonnera pas.
5 Kama usivyo jua njia ya upepo, wala vile ambavyo mtoto akuavyo tumboni, vivyo hivyo huwezi kuielewa kazi ya Mungu, aliye umba kila kitu.
Car nul ne sait quelle est la voie du vent; comme les os cachés dans les entrailles de la femme grosse, de même te sont cachées les œuvres que Dieu a faites et toutes celle qu'Il fera encore.
6 Asubuhi panda mbegu yako; hadi jioni, fanya kazi kwa mikono yako kama inavyo hitajika kwa kuwa haujui ni ipi itafanikiwa, jioni au asubuhi, au hii au ile au zote zitakuwa nzuri.
Sème ton grain dès l'aurore, et que ta main ne s'arrête pas le soir; car tu ignores de celui-ci ou de celui-là lequel doit lever; s'ils lèvent tous les deux à la fois, c'est bien.
7 Kweli nuru ni tamu, na ni kitu cha kufurahisha kwa ajili ya macho kuona jua.
La lumière est douce, et il est bon aux yeux de voir le soleil.
8 Kama mtu akiishi miaka mingi, na aifurahie yote, lakina na afikiri juu ya siku zijazo za giza, kwa kuwa zitakuwa nyingi. Kila kitu kijacho ni mvuke unaoteketea.
L'homme qui doit vivre beaucoup d'années trouvera en toutes de la joie, et il se souviendra des jours de ténèbres, car ils seront nombreux: tout ce qui est passé est vanité.
9 Furahia kijana, katika ujana wako, na moyo wako ufurahie siku za ujana wako. fuatilia yale mema ya moyo wako, chochote kilicho mbele ya macho yako. Ingawa, fahamu kwamba MUngu atakuleta hukumuni kwa ajili ya vitu hivi vyote.
Jeune homme, réjouis-toi en ta jeunesse; que, durant les jours de ta jeunesse, ton cœur te réjouisse; marche avec innocence dans les voies de ton cœur, et non seulement ce que tes yeux auront vu. Mais sache par-dessus tout ce que le Seigneur t'appellera devant Sa justice.
10 Ondoa hasira kutoka moyoni mwako, na usijali maumivu yoyote katika mwili wako, kwa sababu ujana na nguvu zake ni mvuke.
Éloigne de ton cœur la colère, et bannis de ta chair la méchanceté; car la jeunesse et la folie sont vanité.

< Mhubiri 11 >