< Mhubiri 11 >

1 Peleka mkate wako juu ya maji, kwa kuwa utaupata tena baada ya siku nyingi.
Jette ton pain sur les eaux; car vous la trouverez après de nombreux jours.
2 Shiriki mkate na watu saba, hata wanane kwa kuwa haujui ni majanga gani yanayo kuja juu ya nchi.
Donnez une portion à sept, oui, même à huit; car vous ne savez pas quel mal il y aura sur la terre.
3 Kama mawingu yamejaa mvua, yanajivua yenyewe chini ya nchi. Na kama mti ukianguka kuelekea kusini au kuelekea kaskazini, popote mti unapoangukia papo hapo utabakia.
Si les nuages sont pleins de pluie, ils se vident sur la terre; et si un arbre tombe vers le sud, ou vers le nord, à l'endroit où l'arbre tombe, il sera là.
4 Yeyote autazamaye upepo yawezekana asipande, na yeyote atazamaye mawingu yawezekana asivune.
Celui qui observe le vent ne sème pas; et celui qui regarde les nuages ne récoltera pas.
5 Kama usivyo jua njia ya upepo, wala vile ambavyo mtoto akuavyo tumboni, vivyo hivyo huwezi kuielewa kazi ya Mungu, aliye umba kila kitu.
Comme tu ne sais pas quel est le chemin du vent, ni comment les os poussent dans le ventre de celle qui est enceinte; même ainsi vous ne connaissez pas l'œuvre de Dieu qui fait tout.
6 Asubuhi panda mbegu yako; hadi jioni, fanya kazi kwa mikono yako kama inavyo hitajika kwa kuwa haujui ni ipi itafanikiwa, jioni au asubuhi, au hii au ile au zote zitakuwa nzuri.
Le matin, sème ta graine, et le soir, ne retirez pas votre main; car vous ne savez pas ce qui va prospérer, que ce soit ceci ou cela, ou si les deux seront aussi bons l'un que l'autre.
7 Kweli nuru ni tamu, na ni kitu cha kufurahisha kwa ajili ya macho kuona jua.
La lumière est vraiment douce, et c'est une chose agréable pour les yeux de voir le soleil.
8 Kama mtu akiishi miaka mingi, na aifurahie yote, lakina na afikiri juu ya siku zijazo za giza, kwa kuwa zitakuwa nyingi. Kila kitu kijacho ni mvuke unaoteketea.
Oui, si un homme vit de nombreuses années, qu'il se réjouisse de toutes ces années; mais qu'il se souvienne des jours de ténèbres, car ils seront nombreux. Tout ce qui vient n'est que vanité.
9 Furahia kijana, katika ujana wako, na moyo wako ufurahie siku za ujana wako. fuatilia yale mema ya moyo wako, chochote kilicho mbele ya macho yako. Ingawa, fahamu kwamba MUngu atakuleta hukumuni kwa ajili ya vitu hivi vyote.
Réjouis-toi, jeune homme, dans ta jeunesse, et que ton cœur te réjouisse dans les jours de ta jeunesse, et marche dans les voies de ton cœur, et à la vue de vos yeux; mais sachez que pour toutes ces choses, Dieu vous mettra en jugement.
10 Ondoa hasira kutoka moyoni mwako, na usijali maumivu yoyote katika mwili wako, kwa sababu ujana na nguvu zake ni mvuke.
C'est pourquoi, éloigne la tristesse de ton cœur, et éloigne le mal de ta chair; car la jeunesse et l'aube de la vie sont vanité.

< Mhubiri 11 >