< Mhubiri 11 >

1 Peleka mkate wako juu ya maji, kwa kuwa utaupata tena baada ya siku nyingi.
Baci kruh svoj na vodu i naći ćeš ga poslije mnogo vremena.
2 Shiriki mkate na watu saba, hata wanane kwa kuwa haujui ni majanga gani yanayo kuja juu ya nchi.
Podijeli sedmorici ili osmorici, jer ne znaš kakvo će zlo zadesiti zemlju.
3 Kama mawingu yamejaa mvua, yanajivua yenyewe chini ya nchi. Na kama mti ukianguka kuelekea kusini au kuelekea kaskazini, popote mti unapoangukia papo hapo utabakia.
Kad se oblaci napune kišom, prosiplju je na zemlju, a padne li drvo na jug ili na sjever, svejedno: gdje padne, ondje i ostaje.
4 Yeyote autazamaye upepo yawezekana asipande, na yeyote atazamaye mawingu yawezekana asivune.
Tko pazi na vjetar, ne sije, i tko gleda na oblake, ne žanje.
5 Kama usivyo jua njia ya upepo, wala vile ambavyo mtoto akuavyo tumboni, vivyo hivyo huwezi kuielewa kazi ya Mungu, aliye umba kila kitu.
Kao što ne znaš koji je put vjetru ni kako postaju kosti u utrobi trudne žene, tako ne znaš ni djela Boga koji sve tvori.
6 Asubuhi panda mbegu yako; hadi jioni, fanya kazi kwa mikono yako kama inavyo hitajika kwa kuwa haujui ni ipi itafanikiwa, jioni au asubuhi, au hii au ile au zote zitakuwa nzuri.
Ujutro sij svoje sjeme, a navečer nek' ti ruka ne počiva. Jer ne znaš da li će biti bolje ovo ili ono, ili će oboje biti jednako dobro.
7 Kweli nuru ni tamu, na ni kitu cha kufurahisha kwa ajili ya macho kuona jua.
Ljupka je svjetlost i ugodno je očima vidjeti sunce.
8 Kama mtu akiishi miaka mingi, na aifurahie yote, lakina na afikiri juu ya siku zijazo za giza, kwa kuwa zitakuwa nyingi. Kila kitu kijacho ni mvuke unaoteketea.
Ali ako čovjek živi i mnogo godina, neka se uvijek veseli, a neka se sjeti da će tamnih dana biti mnogo. Ispraznost je sve što će doći.
9 Furahia kijana, katika ujana wako, na moyo wako ufurahie siku za ujana wako. fuatilia yale mema ya moyo wako, chochote kilicho mbele ya macho yako. Ingawa, fahamu kwamba MUngu atakuleta hukumuni kwa ajili ya vitu hivi vyote.
Zato se raduj, mladiću, za svoje mladosti, i veseli se u danima svoga mladenaštva; idi putovima svoga srca i slijedi želje svojih očiju; ali znaj da će ti za sve to suditi Bog.
10 Ondoa hasira kutoka moyoni mwako, na usijali maumivu yoyote katika mwili wako, kwa sababu ujana na nguvu zake ni mvuke.
Ukloni dakle jad iz svoga srca i udalji bol od svojega tijela. Ali je isprazna i mladost i doba tamnih kosa.

< Mhubiri 11 >