< Mhubiri 10 >

1 Kama nzi walio kufa husababisha manukato kutoa harufu ya uozo, hivyo hivyo upumbavu kidogo hushinda hekima na heshima.
Mrtve muhe lekarnarjevemu mazilu povzročijo, da od sebe širi smrdljiv vonj; tako je majhna neumnost tistemu, ki ima sloves zaradi modrosti in časti.
2 Moyo wa mtu mwenye hekima huelekea kulia, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.
Srce modrega človeka je pri njegovi desnici, toda bedakovo srce pri njegovi levici.
3 Wakati mpumbavu anapotembea barabarani, fikira zake zina upungufu, ikithibitisha kwa kila mtu kwamba ni mpumbavu.
Da, tudi kadar kdor je bedak, hodi po poti, ga njegova modrost izneverja in vsakemu govori, da je bedak.
4 Kama jaziba za mtawala zikiinuka kinyume na wewe, usiache kazi yako. Utulivu unaweza kutuliza ukatili mkubwa.
Če vladarjev duh vstane zoper tebe, ne zapusti svojega mesta, kajti ustrežljivost pomirja velike prestopke.
5 Kuna uovu niliouona chini ya jua, aina ya kosa ambalo huja kutoka kwa mtawala:
Je zlo, ki sem ga videl pod soncem, kakor pomota, ki izvira od vladarja:
6 Wapumbavu wanapewa nafasi za uongozi, wakati watu walio faulu wanapewa nafasi za chini.
neumnost je postavljena na visoko dostojanstvo, bogati pa sedijo na nizkem kraju.
7 Nimewaona watumwa wakipanda farasi, na watu walio faulu wakitembea kama watumwa juu ya ardhi.
Videl sem služabnike na konjih, prince pa hoditi kakor služabniki po tleh.
8 Yeyote anayechimba shimo anaweza kutumbukia yake, na popote mtu anayevunja ukuja, nyoka anaweza kumuuma.
Kdor koplje jamo, bo padel vanjo, kdorkoli pa lomi ograjo, ga bo pičila kača.
9 Yeyote achongaye mwawe, anaweza kuumizwa nayo. Na mtu achongaye mbao, anaweza kujihatarisha kwa hiyo.
Kdorkoli odstranja kamne, bo z njimi poškodovan in kdor cepi drva, bo s tem izpostavljen nevarnosti.
10 Kama chuma bapa kisicho na makali, na mtu hainoi, kisha ni lazima atumie nguvu nyingi, lakini hekima hutoa faida kwa ufaulu.
Če je železo topo in ne nabrusi ostrine, potem mora vložiti več moči; toda modrost je koristna, da usmerja.
11 Kama nyoka akiuma kabla hajafurahi, hivyo hakuna faida kwa mfurahishaji.
Zagotovo bo kača pičila brez izrekanja uroka in blebetavec ni boljši.
12 Maneno ya kinywa cha mtu mwenye hekima yana huruma. Lakini midomo ya mpumbavu humumeza mwenyewe.
Besede iz ust modrega moža so milostljive, toda ustnice bedaka bodo samega sebe pogoltnile.
13 Kama maneno yanavyo anza kutiririka mdomoni mwa mpumbavu, ujinga hutoka, na mwisho mdomo wake hutiririka wazimu mbaya.
Začetek besed iz njegovih ust je nespametnost, konec njegovega govora pa je pogubna norost.
14 Mpumbavu huongeza maneno, lakini hakuna ajuaye kinachokuja. Ni nani ajuaye baada yake?
Tudi bedak je poln besed. Človek ne more povedati kaj bo, in kaj bo za njim, kdo mu lahko pove?
15 Jasho la wapumbavu huwavaa wao, hivyo hawajui hata barabara ya kwenda mjini.
Trud nespametnih izčrpava vsakogar izmed njih, ker ne ve kako iti do mesta.
16 Ole wako ardhi kama mfalme wako ni kijana mdogo, na kama viongozi wako huanza karamu ahsubuhi!
Gorje tebi, oh dežela, kadar je tvoj kralj otrok in tvoji princi jedo zjutraj!
17 Lakini umebarikiwa ardhi kama mfalme wako ni mwana wa waungwana, na kama vingozi wako hula wakati muafaka, kwa nguvu, na sio kwa ulevi.
Blagoslovljena si ti, oh dežela, kadar je tvoj kralj sin plemičev in tvoji princi jedo v pravšnjem obdobju, za moč in ne za pijanost!
18 Kwa sababu ya uvivu paa huanguka. Na kwa sababu isiyo fanya kazi nyumba hupata ufa.
Z veliko lenobe zgradba propada in zaradi brezdelja rok kaplja skozi hišo.
19 Watu huandaa chakula kwa kicheko, divai huleta furaha maishani, na fedha hutimiza hitaji kwa kila kitu.
Praznovanje je narejeno za smeh in vino dela vesele, toda denar odgovarja vsem stvarem.
20 Usimlaani mfalme, hata katika akili, na usiwalaani wenye mali katika chumba chako cha kulala. Kwa kuwa ndege wa angani inaweza kuchukua maneno yako. Chochote kilicho na mabawa kinaweza kusambaza jambo.
Ne preklinjaj kralja niti v svojih mislih in ne preklinjaj bogatega v svoji spalnici, kajti zračna ptica bo odnesla glas in kar ima peruti, bo povedalo zadevo.

< Mhubiri 10 >