< Mhubiri 1 >

1 Haya ni maneno ya Mwalimu, mwana wa Daudi na mfalme katika Yerusalemu.
Sia: dabe Alofele Iasu dunu afae dawa: laidafa, e da goe sia: olelei. Amo dunu da Da: ibidi egefe amola e da musa: Isala: ili ilia hina bagade Yelusaleme moilai bai bagade amo ganodini esalu.
2 Mwalimu asema hivi, “Kama mvuke wa ukungu, kama upepo mwanana katika upepo, kila kitu hutoweka na kuacha maswali mengi.
Amo Sia: dabe Alofele Iasu dawa: laidafa dunu da amane sia: i, “Bai hamedei! Bai hamedei! Esalusu huluane da bai hame gala.
3 Ni faida gani wanadamu huipata kutoka katika kazi zote wazifanyazo chini ya jua?
Osobo bagade dunu da eso huluane hawa: hahamona ahoana, be bididafa hame ba: sa.
4 Kizazi kimoja huenda, na kizazi kingine huja, lakini nchi yabaki milele.
Musa: fi ilia bogole bu buga: le, gaheabolo fifi mana, be amomane osobo bagade da mae afadenene amaiwane diala.
5 Jua huchomoza na jua huzama na kwenda kwa kasi, na kurudi mahali linapochomozea tena.
Eso da mana amola dala, bu sinidigili amanewane ogobe digili heda: le bu diga: la: lebe ba: sa.
6 Upepo huvuma kusini na huzunguka kasikazi, na mara zote ukizunguka katika njia yake na kurudi tena.
Fo da na: iyado bega: dili amola na: iyado bega: dili momafunana, amola gebewane sisiga: sisiga: la.
7 Mito yote hutiririka katika bahari, lakini bahari haijai. Mahali mito inakoenda, ndiko inakoenda tena.
Hano huluane da wayabo bagadega adimina ahoa, be amomane hano wayabo da hamedafa nabala heda: Amola hano da siba hamone banugumaga bu sa: ili, amanewane sinididigilala.
8 Kila kitu huwa uchovu, na hakuna yeyote awezae kukielezea. Jicho halishibina kile linachokiona, wala sikio halishibi na kile linachosikia.
Liligi huluane loboga hamobe amola sia: ga sia: be amola hele bagadedafa naba. Ninia siga ba: sa be hame ba: le dagosa, amola ninia gega naba be hame naba dagosa.
9 Chochote kilichopo ndicho kitakachokuwepo, kila kilichofanyika ndicho kitakachofanyika. Hakuna jipya chini ya jua.
Liligi musa: hamosu da bu ba: mu. Osobo bagade huluane amo ganodini da liligi gaheabolo eno hame.
10 Je kuna jambo lolote ambalo watu wanaweza kusema, 'Tazama, hili ni jipya'? Chochote kilichopo kimekwisha kuwepo muda mwingi, wakati uliokuwepo kabla yetu.
“Ba: ma!” ilia da sia: sa. “Liligi gaheabolo da goea.” Be amomane hame. Be ninia hame lalelegei amo galu, amo liligi huluane da dialu.
11 Hakuna anayeonekana kukumbuka kilichotokea nyakati za zamani. Na mambo yaliyo tokea siku zilizo pita na yale yatakayo tokea siku za mbele nayo hayatakumbukwa.”
Dunu afaega da musa: hamoi hame dawa: Amola dunu afae da fa: no misunu hou hamedafa dawa:
12 Mimi ni mwalimu, na nimekuwa mfalme juu ya Isareli katika Yerusalemu.
“Na, Sia: dabe Alofele Iasu dawa: lai dunu, na da Isala: ili dunu fi ilia hina bagade Yelusaleme moilai bai bagade amo ganodini esalusu.
13 Nilitia akili yangu katika kusoma na kutafuta kwa hekima kila kitu kinachofanywa chini ya mbingu. Hili nalo ni jukumu zito ambalo Mungu amewapa wana wa watu kujishughulisha nalo.
Na da liligi huluane dunu ilia osobo bagade ganodini hamonana, amo ilia bai hogoi helemusa: dawa: i galu. Na da agoane ba: i. Gode da ninima da: i diosu bagade ninima iana.
14 Nimeona matendo yote ambayo yanafanyika chini ya jua, na tazama yote ni mvuke ni kujaribu kuuchunga upepo.
Na da osobo bagade goe ganodini hamoi huluane na ba: i dagoi, amola na da sia: sa amo da hamedei liligi, fo mabe se bobogebe agoai galebe.
15 Palipopinda hapawezi kunyoshwa! Kisicho kuwepo hakiwezi kuhesabiwa!
Dia da liligi guga: loi amo molomu da hamedei. Liligi dia hame ba: be amo idimu da hamedei.
16 Nimeuambia moyo wangu nikisema, “Tazama, nimepata hekima kubwa kuliko walioishi Yerusalemu kabla yangu. Akili yangu imeona hekima kubwa na ufahamu.”
Na da nisu amane sia: i, “Na da bagadedafa dawa: lai dunu, amola na dawa: i hou da musa: Yelusaleme ouligisu dunu ilia dawa: i hou baligisa.
17 nimetia moyo wangu kujua hekima na upumbuvu na ujinga. Nikagundua kuwa hili nalo pia lilikuwa ni kujaribu kuuchunga upepo.
Bagade dawa: su hou, amola gagaoui hou, da hisu. Noga: i dawa: su hou, amola gagaoui hou, da hisu. Amo afafama: ne dawa: musa: , na da logo hogoi helei. Be hamedeiba: le, na da gagaoui dunu fo mabe se bobogebe agoai ba: i.
18 Kwa kuwa katika wingi wa hekima kuna masumbufu mengi, naye aongezae ujuzi, aongeza masikitiko.
Di da dawa: bagade lasea, da: i diosu amola baligili ba: mu. Di da dawa: su hou baligili lasea, se baligili nabimu.

< Mhubiri 1 >