< Torati 9 >
1 Sikiliza, Israeli; umekaribia kuvuka ng'ambo ya pili ya Yordani leo, kuyafukuza mataifa yenye nguvu na ushujaa kuliko ninyi, na miji ambayo ni mikuu na yenye boma iliyoenda juu,
Слыши, Израилю, ты преходиши Иордан днесь, внити еже наследити языки великия и крепчайшы паче вас, грады велики и ограждены до небесе,
2 watu wakuu na warefu, wana wa Anakimu, ambaye mnamjua, na yule mliomsikia watu wakisema, 'Nani atasimama mbele ya wana wa Anak?
люди велики и многи и предолги, сыны Енаковы, яже ты веси, и ты слышал еси: кто противу станет сыном Енаковым?
3 Kwa hiyo tambua leo kwamba, Yahwe Mungu wenu ni yeye ambaye huenda mbele yenu kama moto uwalao; atawaharibu na kuwaangamiza mbele yenu, kwa hiyo mtawaondosha na kuwafanya kuwapoteza kwa haraka, kama Yahwe alivyosema kwenu.
И увеси днесь, яко Господь Бог твой Сей предидет пред лицем твоим: огнь попаляяй есть: Сей потребит я, и Сей отвратит я от лица твоего, и потребит я вскоре, якоже рече тебе Господь.
4 Msiseme kwenye mioyo yenu, baada ya Yahwe Mungu wenu kuwatupilia toka mbele yenu, “ilikuwa kwa sababu ya haki yangu kwamba Yahwe amenileta mimi kuimiliki nchi hii; kwa kuwa ilikuwa kwa sababu ya maovu ya mataifa haya kwamba Yahwe anawaondowa toka mbele yenu.
Не рцы в сердцы твоем, егда потребит Господь Бог твой языки сия пред лицем твоим, глаголя: правд ради моих введе мя Господь наследити землю благую сию:
5 Si kwa sababu ya uadilifu wenu au unyofu wa mioyo yenu ambayo mnaenda kuingia kumiliki nchi yao, lakini ni kwa sababu ya maovu ya mataifa haya ambayo Mungu anawaondowa kutoka mbele zenu, na kusudi alifanye kuwa kweli neno ambalo aliapa kwa mababu zenu, Ibrahimu, Isaka na Yakabo.
не ради правды твоея, ниже преподобия ради сердца твоего ты входиши наследити землю их, но нечестия ради и беззакония языков сих Господь от лица твоего потребит я, и да уставит завет, имже клятся Господь отцем вашым, Аврааму и Исааку и Иакову:
6 Kwa hiyo tambua, kwamba Yahwe Mungu wenu awapi ninyi nchi hii nzuri kuimiliki kwa sababu ya uadilifu wenu kwa kuwa ni watu wakaidi.
и да увеси днесь, яко не ради правды твоея Господь Бог твой дает тебе землю благую сию наследити: яко людие жестоковыйнии есте.
7 Kumbuka na msisahau jinsi mlivyomchochea Yahwe Mungu wenu katika hasira huko jangwani; kutoka siku hiyo ambayo mliacha nchi ya Misri mpaka mlipokuja kwenye eneo hili, mmekuwa waasi dhidi ya Yahwe.
Помни, не забуди, колико разгневасте Господа Бога своего в пустыни: от негоже дне изыдосте из земли Египетския, даже внидосте в место сие, не покаряющеся совершасте яже противу Господа:
8 Pia huko Horebu mlimchochea Yahwe katika hasira, na Yahwe alikasirika vya kutosha kwenu kuwaangamiza.
и в Хориве разгневасте Господа, и разгневася Господь на вы, потребити вас,
9 Wakati nilipoenda juu ya mlima kupokea mbao za mawe, mbao za agano ambalo Yahwe alifanya nanyi, Nilibaki kwenye mlima kwa siku arobaini na usiku arobaini; Wala sikula mkate wala kunywa maji.
восходящу мне на гору, взяти скрижали каменныя, скрижали завета, яже завеща Господь к вам: и пребых в горе четыредесять дний и четыредесять нощей: хлеба не ядох и воды не пих.
10 Yahwe alinipa mbao mbili za mawe zilizoandikwa kwa kidole chake; juu yake kuliandikwa kila kitu kama tu maneno yote ambayo Yahwe alitangaza kwenu juu ya mlima toka katikati mwa moto siku hiyo ya kusanyiko.
И даде ми Господь две скрижали каменны, написаны перстом Божиим, и на них бяху написана вся словеса, яже глагола Господь к вам в горе из среды огня в день собрания:
11 Ilitokea mwishoni mwa siku hizo arobaini na usiku arobaini ya kwamba Yahwe alinipa mimi mbao mbili za mawe, mbao za agano.
и бысть но четыредесяти днех и по четыредесяти нощех, даде ми Господь две скрижали каменны, скрижали завета,
12 Yahwe alisema nami, 'Inuka, nenda chini haraka kutokea hapa, kwa kuwa watu wako, ambao uliwaleta toka Misri, wamekuwa wafisadi wenyewe. Kwa haraka wamegeuka toka kwenye njia ambayo niliwaamuru. Wamejifanyia wenyewe umbo la kutupwa.
и рече Господь ко мне: востани и сниди скоро отсюду, яко беззаконноваша людие твои, яже извел еси из земли Египетски: соступиша скоро с пути, егоже заповедал еси им, и сотвориша себе слияние.
13 Zaidi ya hayo, Yahwe alizungumza na mimi na kusema, “Nimewaona watu hawa; ni watu wakaidi.
И рече Господь ко мне: глаголах тебе единою и дважды, глаголя: видех люди сия, и се, людие жестоковыйнии суть:
14 Acha mimi peke yangu, ili kwamba niweze kuwaangamiza na kulifuta jina lao kutoka chini ya mbingu, na nitawafanya ninyi taifa lenye nguvu na kuu kuliko wao.”
остави Мя, да потреблю Я, и погублю имя их под небесем, и сотворю тя в язык велик и крепок и мног паче сих.
15 Kwa hiyo niligeuka nyuma na kushuka chini ya mlima, na mlima ulikuwa ukiwaka moto. Mbao mbili za agano zilikuwa kwenye mikono yangu.
И возвратився снидох с горы, и гора горяше огнем: и две скрижали свидений во обою руку моею:
16 Nilitazama, na tazama, mlikuwa mmefanya dhambi dhidi ya Yahwe Mungu wenu. Mmejitengenezea wenyewe ndama. Kwa haraka mmegeuka toka njia ambayo Yahwe alikuwa amewaamuru.
и видев, яко согрешисте пред Господем Богом вашим, и сотвористе себе телца слияна, и соступисте с пути скоро, егоже заповеда Господь вам творити,
17 Nilizichukua mbao mbili na kuzitupa toka mikononi mwangu. Nilizivunja mbele ya macho yenu.
и взем обе скрижали, повергох я из руку моею и сокруших их пред вами.
18 Tena nilala kifudifudi mbele ya Yahwe kwa siku arobaini na usiku arobaini; wala sikula mkate wala kunywa maji, kwa sababu dhambi zenu zote ambazo mlikuwa mmefanya, kwa kufanya hivyo ambavyo ilikuwa ni mbaya machoni pa Yahwe, ili kwamba kumchochea yeye katika hasira.
И молихся пред Господем второе, якоже и первое, четыредесять дний и четыредесять нощей, хлеба не ядох и воды не пих, всех ради грехов ваших, имиже согрешисте, творяще злое пред Господем Богом вашим, еже разгневати Его:
19 Kwa kuwa nilikuwa nimeogopa hasira na gadhabu kali ambayo Yahwe alikuwa amekasirika vya kutosha dhidi yenu kuwaangamiza. Lakini Yahwe alinisikiliza mimi kwa wakati huo pia.
и боязнен бех гнева ради и ярости, яко разгневася Господь на вы, да потребит вас: и послуша мене Господь и в то время.
20 Yahwe alikuwa na hasira nyingi na Aaroni kwa kusudi la kumuangamiza; pia niliomba kwa ajili ya Aaroni kwa wakati huohuo.
И на Аарона разгневася Господь зело, еже погубити его: и молихся и за Аарона во время оно.
21 Nilichukua dhambi zenu, ndama mliyekuwa mmentengeza, na kumchoma, kumpiga, kumweka chini kuwa mdogo, mpaka ilipokuwa laini kama vumbi. Nilirusha vumbi lake katika mkondo ambao ulitiririka chini kutoka mlimani.
И грех ваш, егоже сотвористе, телца, взях его и сожгох его на огни, и избих его и сотрох его зело, даже бысть дробен, и бысть яко прах, и изсыпах прах в водотечу сходящую с горы.
22 Huko Taberah, Massah, na huko Kibrothi Hattaavah, mlimchochea Yahwe kwenye adhabu.
И в Запалении, и во Искушении, и во гробех Похотения разгневасте Господа Бога вашего.
23 Wakati Yahwe aliwatoa kutoka Kadeshi ya Barnea na kusema, 'Nenda juu na umiliki nchi ambayo nimekupa, 'ndipo mliasi dhidi ya agizo la Yahwe Mungu wenu, na hamkumwamini na kumsikiliza sauti yake.
И егда посла вас Господь от Кадис-Варни, глаголя: взыдите и наследите землю, юже Аз даю вам: и сопротивитися глаголголу Господа Бога вашего, и не веровасте Ему, и не послушасте гласа Его:
24 Mmekuwa waasi dhidi ya Yahwe toka siku ile nilipowajua.
и не покаряющеся бысте Господу от дне, в оньже познася вам.
25 Kwa hiyo nilala kifudifudi mbele ya Yahwe siku zile arobaini na usiku arobaini, kwa sababu alikuwa amesema kwamba angewaangamiza.
И молихся пред Господем четыредесять дний и четыредесять нощей, в няже молихся: рече бо Господь погубити вас.
26 Niliomba kwa Yahwe na kusema, 'Oh Bwana Yahwe, usiwaangamize watu wako au warithi wako ambao uliwaokoa kwa ukuu wako, ambapo uwatoa toka Misri kwa mkono wa uweza.
И молихся Богу и рекох: Господи, Господи Царю богов, не погуби людий Твоих и наследия Твоего, еже избавил еси крепостию Твоею великою, яже извел еси из земли Египетския крепостию Твоею великою и рукою сильною и мышцею Твоею высокою:
27 Akilini waite watumishi wenu Ibrahimu, Isaka, na Yakobo; msiangalie ukaidi wa watu hawa, wala maovu yao, dhambi zao,
помяни Авраама и Исаака и Иакова, рабы Твоя, имже клялся еси Собою: не призирай на жестокость людий сих, и на нечестие их и на грехи их:
28 ili kwamba nchi ambayo ulitutoa iseme, “Kwa sababu Yahwe hakuweza kuwaleta katika nchi aliyowaahadia, na kwa sababu aliwachukia, amewaleta nje kuwauwa katika jangwa.
да не когда рекут живущии на земли, отнюдуже извел еси нас, глаголюще: не могий Господь ввести их в землю, юже им обеща, и ненавидя их Господь, изведе погубити их в пустыни:
29 Bado ni watu wa kwenu na urithi wenu, ambao uliwatoa kwa nguvu zako kuu na kwa kuonesha mamlaka yako,
и сии людие Твои и жребий Твой, ихже извел еси из земли Египетския крепостию Твоею великою и мышцею Твоею высокою.