< Torati 9 >
1 Sikiliza, Israeli; umekaribia kuvuka ng'ambo ya pili ya Yordani leo, kuyafukuza mataifa yenye nguvu na ushujaa kuliko ninyi, na miji ambayo ni mikuu na yenye boma iliyoenda juu,
to hear: hear Israel you(m. s.) to pass [the] day [obj] [the] Jordan to/for to come (in): come to/for to possess: take nation great: large and mighty from you city great: large and to gather/restrain/fortify in/on/with heaven
2 watu wakuu na warefu, wana wa Anakimu, ambaye mnamjua, na yule mliomsikia watu wakisema, 'Nani atasimama mbele ya wana wa Anak?
people great: large and to exalt son: child Anakite which you(m. s.) to know and you(m. s.) to hear: hear who? to stand to/for face: before son: child Anak
3 Kwa hiyo tambua leo kwamba, Yahwe Mungu wenu ni yeye ambaye huenda mbele yenu kama moto uwalao; atawaharibu na kuwaangamiza mbele yenu, kwa hiyo mtawaondosha na kuwafanya kuwapoteza kwa haraka, kama Yahwe alivyosema kwenu.
and to know [the] day for LORD God your he/she/it [the] to pass to/for face: before your fire to eat he/she/it to destroy them and he/she/it be humble them to/for face: before your and to possess: take them and to perish them quickly like/as as which to speak: promise LORD to/for you
4 Msiseme kwenye mioyo yenu, baada ya Yahwe Mungu wenu kuwatupilia toka mbele yenu, “ilikuwa kwa sababu ya haki yangu kwamba Yahwe amenileta mimi kuimiliki nchi hii; kwa kuwa ilikuwa kwa sababu ya maovu ya mataifa haya kwamba Yahwe anawaondowa toka mbele yenu.
not to say in/on/with heart your in/on/with to thrust LORD God your [obj] them from to/for face: before your to/for to say in/on/with righteousness my to come (in): bring me LORD to/for to possess: take [obj] [the] land: country/planet [the] this and in/on/with wickedness [the] nation [the] these LORD to possess: take them from face: before your
5 Si kwa sababu ya uadilifu wenu au unyofu wa mioyo yenu ambayo mnaenda kuingia kumiliki nchi yao, lakini ni kwa sababu ya maovu ya mataifa haya ambayo Mungu anawaondowa kutoka mbele zenu, na kusudi alifanye kuwa kweli neno ambalo aliapa kwa mababu zenu, Ibrahimu, Isaka na Yakabo.
not in/on/with righteousness your and in/on/with uprightness heart your you(m. s.) to come (in): come to/for to possess: take [obj] land: country/planet their for in/on/with wickedness [the] nation [the] these LORD God your to possess: take them from face: before your and because to arise: establish [obj] [the] word which to swear LORD to/for father your to/for Abraham to/for Isaac and to/for Jacob
6 Kwa hiyo tambua, kwamba Yahwe Mungu wenu awapi ninyi nchi hii nzuri kuimiliki kwa sababu ya uadilifu wenu kwa kuwa ni watu wakaidi.
and to know for not in/on/with righteousness your LORD God your to give: give to/for you [obj] [the] land: country/planet [the] pleasant [the] this to/for to possess: take her for people severe neck you(m. s.)
7 Kumbuka na msisahau jinsi mlivyomchochea Yahwe Mungu wenu katika hasira huko jangwani; kutoka siku hiyo ambayo mliacha nchi ya Misri mpaka mlipokuja kwenye eneo hili, mmekuwa waasi dhidi ya Yahwe.
to remember not to forget [obj] which be angry [obj] LORD God your in/on/with wilderness to/for from [the] day which to come out: come from land: country/planet Egypt till to come (in): come you till [the] place [the] this to rebel to be with LORD
8 Pia huko Horebu mlimchochea Yahwe katika hasira, na Yahwe alikasirika vya kutosha kwenu kuwaangamiza.
and in/on/with Horeb be angry [obj] LORD and be angry LORD in/on/with you to/for to destroy [obj] you
9 Wakati nilipoenda juu ya mlima kupokea mbao za mawe, mbao za agano ambalo Yahwe alifanya nanyi, Nilibaki kwenye mlima kwa siku arobaini na usiku arobaini; Wala sikula mkate wala kunywa maji.
in/on/with to ascend: rise I [the] mountain: mount [to] to/for to take: recieve tablet [the] stone tablet [the] covenant which to cut: make(covenant) LORD with you and to dwell in/on/with mountain: mount forty day and forty night food: bread not to eat and water not to drink
10 Yahwe alinipa mbao mbili za mawe zilizoandikwa kwa kidole chake; juu yake kuliandikwa kila kitu kama tu maneno yote ambayo Yahwe alitangaza kwenu juu ya mlima toka katikati mwa moto siku hiyo ya kusanyiko.
and to give: give LORD to(wards) me [obj] two tablet [the] stone to write in/on/with finger God and upon them like/as all [the] word which to speak: speak LORD with you in/on/with mountain: mount from midst [the] fire in/on/with day [the] assembly
11 Ilitokea mwishoni mwa siku hizo arobaini na usiku arobaini ya kwamba Yahwe alinipa mimi mbao mbili za mawe, mbao za agano.
and to be from end forty day and forty night to give: give LORD to(wards) me [obj] two tablet [the] stone tablet [the] covenant
12 Yahwe alisema nami, 'Inuka, nenda chini haraka kutokea hapa, kwa kuwa watu wako, ambao uliwaleta toka Misri, wamekuwa wafisadi wenyewe. Kwa haraka wamegeuka toka kwenye njia ambayo niliwaamuru. Wamejifanyia wenyewe umbo la kutupwa.
and to say LORD to(wards) me to arise: rise to go down quickly from this for to ruin people your which to come out: send from Egypt to turn aside: turn aside quickly from [the] way: conduct which to command them to make to/for them liquid
13 Zaidi ya hayo, Yahwe alizungumza na mimi na kusema, “Nimewaona watu hawa; ni watu wakaidi.
and to say LORD to(wards) me to/for to say to see: see [obj] [the] people [the] this and behold people severe neck he/she/it
14 Acha mimi peke yangu, ili kwamba niweze kuwaangamiza na kulifuta jina lao kutoka chini ya mbingu, na nitawafanya ninyi taifa lenye nguvu na kuu kuliko wao.”
to slacken from me and to destroy them and to wipe [obj] name their from underneath: under [the] heaven and to make [obj] you to/for nation mighty and many from him
15 Kwa hiyo niligeuka nyuma na kushuka chini ya mlima, na mlima ulikuwa ukiwaka moto. Mbao mbili za agano zilikuwa kwenye mikono yangu.
and to turn and to go down from [the] mountain: mount and [the] mountain: mount to burn: burn in/on/with fire and two tablet [the] covenant upon two hand my
16 Nilitazama, na tazama, mlikuwa mmefanya dhambi dhidi ya Yahwe Mungu wenu. Mmejitengenezea wenyewe ndama. Kwa haraka mmegeuka toka njia ambayo Yahwe alikuwa amewaamuru.
and to see: see and behold to sin to/for LORD God your to make to/for you calf liquid to turn aside: turn aside quickly from [the] way: conduct which to command LORD [obj] you
17 Nilizichukua mbao mbili na kuzitupa toka mikononi mwangu. Nilizivunja mbele ya macho yenu.
and to capture in/on/with two [the] tablet and to throw them from upon two hand my and to break them to/for eye: before(the eyes) your
18 Tena nilala kifudifudi mbele ya Yahwe kwa siku arobaini na usiku arobaini; wala sikula mkate wala kunywa maji, kwa sababu dhambi zenu zote ambazo mlikuwa mmefanya, kwa kufanya hivyo ambavyo ilikuwa ni mbaya machoni pa Yahwe, ili kwamba kumchochea yeye katika hasira.
and to fall: fall to/for face: before LORD like/as first: previous forty day and forty night food: bread not to eat and water not to drink upon all sin your which to sin to/for to make: do [the] bad: evil in/on/with eye: seeing LORD to/for to provoke him
19 Kwa kuwa nilikuwa nimeogopa hasira na gadhabu kali ambayo Yahwe alikuwa amekasirika vya kutosha dhidi yenu kuwaangamiza. Lakini Yahwe alinisikiliza mimi kwa wakati huo pia.
for to fear from face of [the] face: anger and [the] rage which be angry LORD upon you to/for to destroy [obj] you and to hear: hear LORD to(wards) me also in/on/with beat [the] he/she/it
20 Yahwe alikuwa na hasira nyingi na Aaroni kwa kusudi la kumuangamiza; pia niliomba kwa ajili ya Aaroni kwa wakati huohuo.
and in/on/with Aaron be angry LORD much to/for to destroy him and to pray also about/through/for Aaron in/on/with time ([the] he/she/it *L(abh)*)
21 Nilichukua dhambi zenu, ndama mliyekuwa mmentengeza, na kumchoma, kumpiga, kumweka chini kuwa mdogo, mpaka ilipokuwa laini kama vumbi. Nilirusha vumbi lake katika mkondo ambao ulitiririka chini kutoka mlimani.
and [obj] sin your which to make [obj] [the] calf to take: take and to burn [obj] him in/on/with fire and to crush [obj] him to grind be good till which to crush to/for dust and to throw [obj] dust his to(wards) [the] torrent: river [the] to go down from [the] mountain: mount
22 Huko Taberah, Massah, na huko Kibrothi Hattaavah, mlimchochea Yahwe kwenye adhabu.
and in/on/with Taberah and in/on/with Massah and in/on/with Kibroth-hattaavah Kibroth-hattaavah be angry to be [obj] LORD
23 Wakati Yahwe aliwatoa kutoka Kadeshi ya Barnea na kusema, 'Nenda juu na umiliki nchi ambayo nimekupa, 'ndipo mliasi dhidi ya agizo la Yahwe Mungu wenu, na hamkumwamini na kumsikiliza sauti yake.
and in/on/with to send: depart LORD [obj] you from Kadesh-barnea Kadesh-barnea to/for to say to ascend: rise and to possess: take [obj] [the] land: country/planet which to give: give to/for you and to rebel [obj] lip: word LORD God your and not be faithful to/for him and not to hear: obey in/on/with voice his
24 Mmekuwa waasi dhidi ya Yahwe toka siku ile nilipowajua.
to rebel to be with LORD from day to know I [obj] you
25 Kwa hiyo nilala kifudifudi mbele ya Yahwe siku zile arobaini na usiku arobaini, kwa sababu alikuwa amesema kwamba angewaangamiza.
and to fall: fall to/for face: before LORD [obj] forty [the] day and [obj] forty [the] night which to fall: fall for to say LORD to/for to destroy [obj] you
26 Niliomba kwa Yahwe na kusema, 'Oh Bwana Yahwe, usiwaangamize watu wako au warithi wako ambao uliwaokoa kwa ukuu wako, ambapo uwatoa toka Misri kwa mkono wa uweza.
and to pray to(wards) LORD and to say Lord YHWH/God not to ruin people your and inheritance your which to ransom in/on/with greatness your which to come out: send from Egypt in/on/with hand: power strong
27 Akilini waite watumishi wenu Ibrahimu, Isaka, na Yakobo; msiangalie ukaidi wa watu hawa, wala maovu yao, dhambi zao,
to remember to/for servant/slave your to/for Abraham to/for Isaac and to/for Jacob not to turn to(wards) stubbornness [the] people [the] this and to(wards) wickedness his and to(wards) sin his
28 ili kwamba nchi ambayo ulitutoa iseme, “Kwa sababu Yahwe hakuweza kuwaleta katika nchi aliyowaahadia, na kwa sababu aliwachukia, amewaleta nje kuwauwa katika jangwa.
lest to say [the] land: country/planet which to come out: send us from there from without be able LORD to/for to come (in): bring them to(wards) [the] land: country/planet which to speak: promise to/for them and from hating his [obj] them to come out: send them to/for to die them in/on/with wilderness
29 Bado ni watu wa kwenu na urithi wenu, ambao uliwatoa kwa nguvu zako kuu na kwa kuonesha mamlaka yako,
and they(masc.) people your and inheritance your which to come out: send in/on/with strength your [the] great: large and in/on/with arm your [the] to stretch