< Torati 8 >

1 Mnapaswa kuyashika maagizo yote ninayowapa leo, ili kwamba mweze kuishi na kuongezeka, na kuingia na kuimiliki nchi ambayo Yahwe aliaapa kwa baba zenu.
Prends bien garde de pratiquer tous les préceptes, que moi, je te prescris aujourd’hui, afin que vous puissiez vivre, que vous vous multipliiez, et, qu’après y être entrés, vous possédiez la terre au sujet de laquelle le Seigneur a juré à vos pères.
2 Mtakumbuka akilini njia zote ambazo Yahwe Mungu amewaongoza miaka hii arobaini kwenye jangwa, ili kwamba apate kuwanyenyekeza, ili kwamba awajaribu kujua nini kilikuwa ndani ya mioyo yenu, kama mungeweza kuyashika maagizo yake au hapana.
Et tu te souviendras de tout le chemin par lequel le Seigneur ton Dieu t’a conduit pendant quarante ans à travers le désert, pour t’affliger, t’éprouver et faire connaître ce qui se passait dans ton cœur: si tu garderais ses commandements, ou non.
3 Aliwanyenyekeza, na kuwafanya kuwa na njaa, na kuwalisha manna, ambayo hamkuijua na ambayo baba zenu hawakuijua. Alifanya hivyo kuwafanya nyie kujua si kwa mkate tu watu wanaishi, badala ni kwa chochote hutoka kwenye kinywa cha Yahwe kwamba watu wanaishi.
Il t’a affligé par la faim, et il t’a donné pour nourriture la manne que tu ignorais, toi, et tes pères, afin de te montrer que ce n’est pas de pain seulement que l’homme vit, mais de toute parole qui sort de la bouche de Dieu.
4 Mavazi yenu hayakuchanika na kudondoka, na miguu yenu haikuvimba kipindi cha miaka hiyo arobaini.
Ton vêtement dont tu étais couvert, n’a pas manqué par la vétusté, et ton pied n’a pas été déchiré en dessous, et voici la quarantième année.
5 Mtatafakari katika mioyo yenu kuhusu, namna, kama mtu anavyo mwadibisha kijana wake, hivyo Yahwe Mungu wenu anawadibisha ninyi.
C’est afin que tu penses en ton cœur, que comme un homme instruit son fils, ainsi le Seigneur ton Dieu t’a instruit;
6 Mtayashika maagizo ya Yahwe Mungu wenu, ili kwamba mweze kutembea katika njia zake na kumheshimu.
Afin que tu gardes les commandements du Seigneur ton Dieu, que tu marches dans ses voies, et que tu le craignes.
7 Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu anawaleta katika nchi nzuri, nchi ya vijito vya maji, visima na chemchemi, vitiririkavyo kwenda kwenye mabonde na miongoni mwa milima,
Car le Seigneur ton Dieu t’introduira dans une terre bonne, terre de ruisseaux, d’eaux, et de fontaines, dans les champs et les montagnes de laquelle jaillissent des sources de fleuves.
8 nchi ya ngano na shayiri, mizabibu, mtini, na komamanga; nchi mizeituni na asali.
Terre de blé, d’orge et de vignes, dans laquelle naissent les figuiers, les grenadiers et les oliviers; terre d’huile et de miel.
9 Ni nchi ambayo mtakula mkate bila kupungukiwa, na ambapo mtaenda bila chochote; nchi ambayo mawe yametengenezwa kwa chuma, na kutokana na milima mtaweze kuchimba shaba.
Où tu mangeras ton pain sans en manquer jamais, où tu jouiras de l’abondance de toutes choses, dont les pierres sont du fer; et de ses montagnes on exploite des mines d’airain;
10 Mtakula na kushiba, na mtambariki Yahwe Mungu wenu kwa nchi nzuri ambayo amewapa.
Afin que, lorsque tu auras mangé, et que tu te seras rassasié, tu bénisses le Seigneur ton Dieu pour la terre excellente qu’il t’a donnée.
11 Iweni makini kwamba msimsahau Yahwe Mungu wenu, na kwamba msipuuzie maagizo yake, hukumu zake, na sheria zake ambazo ninakuamuru leo,
Aie soin, et prends garde de n’oublier jamais le Seigneur ton Dieu, et de ne point négliger ses préceptes, ses ordonnances et ses cérémonies, que moi, je te prescris aujourd’hui;
12 vinginenyo unapokula na ukashiba, na wakati unajenga nyumba nzuri na kuishi ndani zao.
De peur qu’après que tu auras mangé, et que tu seras rassasié, que tu auras bâti de belles maisons, et que tu t’y seras établi,
13 Na muwe makini wakati makundi yenu na mifugo yenu ikiongezeka, na wakati wa fedha zenu na dhahabu zenu zikiongezeka, na vyote mlivyonavyo kuongezeka,
Et que tu auras eu des troupeaux de bœufs, et des troupeaux de brebis, et une abondance d’argent et d’or de toutes choses,
14 basi kwamba mioyo yenu iliniuliza juu ya kumsahau Yahwe Mungu wenu-aliyewaleta kutoka nchi ya Misri, toka nyumba ya utumwa.
Ton cœur ne s’élève, et que tu ne te souviennes plus du Seigneur ton Dieu, qui t’a retiré de la terre d’Egypte, de la maison de servitude;
15 Usimsahau yeye aliyewaongoza kupitia jangwa kuu na la kutisha, ambako ndani yake kulikuwa na nyoka wa moto na nge, na pitia nchi yenye kiu ambako hapakuwa na maji, ambaye yeye alileta maji toka kwenye mwamba wa jiwe.
Qui a été ton guide dans le désert grand et terrible, dans lequel étaient des serpents au souffle brûlant, des scorpions et des dipsas, et où il n’y avait absolument aucune eau; qui a fait jaillir des ruisseaux de la pierre la plus dure,
16 Ambaye aliwalisha kwenye jangwa kwa manna ambayo mababu zenu hawakuijua, ili kwamba awajaribu, kufanya uzuri kwenu mwishoni-
Et qui t’a nourri dans le désert d’une manne que n’ont pas connue tes pères. Et après qu’il t’a eu affligé et éprouvé, il a eu enfin pitié de toi,
17 lakini mnaweza kusema mioyoni mwenu, Nguvu yangu na mkono wangu wa uweza umepata utajiri huu wote.
Afin que tu ne dises pas en ton cœur: C’est ma force, et la vigueur de ma main qui m’ont acquis toutes ces choses;
18 Lakini mtamkumbuka akilini Yahwe Mungu wenu, kwa kuwa ni yeye awapae ninyi nguvu ya kupata utajiri, ili kwamba aweze kuanzisha agano lake aliloapa kwa baba zenu, kama ilivyo leo.
Mais que tu te souviennes que c’est le Seigneur ton Dieu lui-même qui t’a donné des forces, afin qu’il accomplît ainsi l’alliance au sujet de laquelle il a juré à tes pères, comme le montre le présent jour.
19 Itakuwa kwamba, kama mtamsahau Yahwe Mungu wenu na kuwaendea miungu mingine, kuibudu, na kuiheshimu, nashuhudia kinyume dhidi yenu leo kwamba mtateketea.
Mais si, oubliant le Seigneur ton Dieu, tu suis des dieux étrangers, et que tu les serves et les adores, voici maintenant que je te prédis que tu périras entièrement.
20 Kama mataifa ambayo Yahwe anatengeneza kuyaangamiza mbele yenu, hivyo mtaangamia, kwa sababu hamkusikiliza sauti ya Yahwe Mungu wenu.
Comme les nations qu’a détruites le Seigneur à ton entrée, ainsi vous aussi, vous périrez, si vous êtes désobéissants à la voix du Seigneur votre Dieu.

< Torati 8 >