< Torati 8 >

1 Mnapaswa kuyashika maagizo yote ninayowapa leo, ili kwamba mweze kuishi na kuongezeka, na kuingia na kuimiliki nchi ambayo Yahwe aliaapa kwa baba zenu.
Be thou war diligentli, that thou do ech comaundement which Y comaunde to thee to dai, that ye moun lyue, and be multiplied, and that ye entre, and welde the lond, for which the Lord swoor to youre fadris.
2 Mtakumbuka akilini njia zote ambazo Yahwe Mungu amewaongoza miaka hii arobaini kwenye jangwa, ili kwamba apate kuwanyenyekeza, ili kwamba awajaribu kujua nini kilikuwa ndani ya mioyo yenu, kama mungeweza kuyashika maagizo yake au hapana.
And thou schalt haue mynde of al the weie, bi which thi Lord God ledde thee by fourti yeer, bi deseert, that he schulde turmente, and schulde tempte thee; and that tho thingis that weren tretid in `thi soule schulden be knowun, whether thou woldist kepe hise comaundementis, ethir nay.
3 Aliwanyenyekeza, na kuwafanya kuwa na njaa, na kuwalisha manna, ambayo hamkuijua na ambayo baba zenu hawakuijua. Alifanya hivyo kuwafanya nyie kujua si kwa mkate tu watu wanaishi, badala ni kwa chochote hutoka kwenye kinywa cha Yahwe kwamba watu wanaishi.
And he turmentide thee with nedynesse, and he yaf to thee meete, manna which thou knewist not, and thi fadris `knewen not, that he schulde schewe to thee, that a man lyueth not in breed aloone, but in ech word that cometh `out of the Lordis mouth, `that is, bi manna, that cam down `at the heest of the Lord.
4 Mavazi yenu hayakuchanika na kudondoka, na miguu yenu haikuvimba kipindi cha miaka hiyo arobaini.
Thi cloth, bi which thou were hilid, failide not for eldnesse, and thi foot was not brokun undernethe, lo!
5 Mtatafakari katika mioyo yenu kuhusu, namna, kama mtu anavyo mwadibisha kijana wake, hivyo Yahwe Mungu wenu anawadibisha ninyi.
the fourtith yeer is; that thou thenke in thin herte, for as a man techith his sone,
6 Mtayashika maagizo ya Yahwe Mungu wenu, ili kwamba mweze kutembea katika njia zake na kumheshimu.
so thi Lord God tauyte thee, that thou kepe the comaundementis of thi Lord God, and go in hise weies, and drede hym.
7 Kwa kuwa Yahwe Mungu wenu anawaleta katika nchi nzuri, nchi ya vijito vya maji, visima na chemchemi, vitiririkavyo kwenda kwenye mabonde na miongoni mwa milima,
For thi Lord God schal lede thee in to a good lond, in to the lond of ryueris, and of `stondynge watris, and of wellis, in whos feeldis and mounteyns the depthis of floodis breken out;
8 nchi ya ngano na shayiri, mizabibu, mtini, na komamanga; nchi mizeituni na asali.
in to the lond of wheete, of barli, and of vyneris, in which lond fige trees, and pumgranadis, and `olyue trees comen forth; in to the lond of oile, and of hony;
9 Ni nchi ambayo mtakula mkate bila kupungukiwa, na ambapo mtaenda bila chochote; nchi ambayo mawe yametengenezwa kwa chuma, na kutokana na milima mtaweze kuchimba shaba.
where thow schalt ete thi breed with out nedynesse, and schalt vse the aboundaunce of alle thingis; of which lond the stonys ben yrun, and metals of tyn ben diggid of the hillis therof;
10 Mtakula na kushiba, na mtambariki Yahwe Mungu wenu kwa nchi nzuri ambayo amewapa.
that whanne thou hast ete, and art fillid, thou blesse thi Lord God for the beste lond which he yaf to thee.
11 Iweni makini kwamba msimsahau Yahwe Mungu wenu, na kwamba msipuuzie maagizo yake, hukumu zake, na sheria zake ambazo ninakuamuru leo,
Therfor kepe thou, and be war, lest ony tyme thou foryete thi Lord God, and dispise hise comaundementis, and domes, and cerymonyes, whiche Y comaunde to thee to dai;
12 vinginenyo unapokula na ukashiba, na wakati unajenga nyumba nzuri na kuishi ndani zao.
lest aftir that thou hast ete, and art fillid, hast bildid faire housis, and hast dwellid in tho,
13 Na muwe makini wakati makundi yenu na mifugo yenu ikiongezeka, na wakati wa fedha zenu na dhahabu zenu zikiongezeka, na vyote mlivyonavyo kuongezeka,
and hast droues of oxun, and flockis of scheep, and plente of siluer, and of gold, and of alle thingis, thine herte be reisid,
14 basi kwamba mioyo yenu iliniuliza juu ya kumsahau Yahwe Mungu wenu-aliyewaleta kutoka nchi ya Misri, toka nyumba ya utumwa.
and thenke not on thi Lord God, that ledde thee out of the lond of Egipt, and fro the hous of seruage,
15 Usimsahau yeye aliyewaongoza kupitia jangwa kuu na la kutisha, ambako ndani yake kulikuwa na nyoka wa moto na nge, na pitia nchi yenye kiu ambako hapakuwa na maji, ambaye yeye alileta maji toka kwenye mwamba wa jiwe.
and was thi ledere in the greet wildirnesse and ferdful, in which was a serpent brenninge with blast, and scorpioun, and dipsas, and outirli no `watris; which Lord ledde out stremes of the hardeste stoon,
16 Ambaye aliwalisha kwenye jangwa kwa manna ambayo mababu zenu hawakuijua, ili kwamba awajaribu, kufanya uzuri kwenu mwishoni-
and fedde thee with manna in the wildirnesse, which manna thi fadris knewen not. And after that the Lord turmentid thee, and preuede, at the last he hadd mersi on thee,
17 lakini mnaweza kusema mioyoni mwenu, Nguvu yangu na mkono wangu wa uweza umepata utajiri huu wote.
lest thou woldist seie in thin herte, My strengthe, and the myyt of myn hond yaf alle these thingis to me.
18 Lakini mtamkumbuka akilini Yahwe Mungu wenu, kwa kuwa ni yeye awapae ninyi nguvu ya kupata utajiri, ili kwamba aweze kuanzisha agano lake aliloapa kwa baba zenu, kama ilivyo leo.
But thenke thou on thi Lord God, that he yaf strengthis to thee, that he schulde fille his couenaunt, of whiche he swoor to thi fadris, as present dai schewith.
19 Itakuwa kwamba, kama mtamsahau Yahwe Mungu wenu na kuwaendea miungu mingine, kuibudu, na kuiheshimu, nashuhudia kinyume dhidi yenu leo kwamba mtateketea.
Forsothe if thou foryetist thi Lord God, and suest aliene goddis, and worschipist hem `in herte, and onourist `with outforth, lo! now Y biforseie to thee, that thou schalt perische outerli;
20 Kama mataifa ambayo Yahwe anatengeneza kuyaangamiza mbele yenu, hivyo mtaangamia, kwa sababu hamkusikiliza sauti ya Yahwe Mungu wenu.
as hethen men perischiden, whiche the Lord dide awei in thin entryng, so and ye schulen perische, if ye schulen be vnobedient to the vois of youre Lord God.

< Torati 8 >